Ila kutapeliwa kunauma wakuu

Binafsi hela yangu kuichukua labda unitolee bastola au unipige roba ya mbao ila kwa utapeli hakuna huo uchawi wakuniingia ili unitapeli.Yaani huu ubahiri nilio nao sijui grade,stage au level gani maana ukiniambia tu nikupe hela hata buku tu wakati tumekutana njiani labda uwe kiwete ila ukiwa viungo vyako vimekamilika kwanza mwili lazima ufe ganzi halafu ntaanza kuvimba balaa.So kunitapeli kuanzia elfu 2 tu reaction ya mwili wangu kutokana na ubahili nilionao automatically huo uchawi wa kutapelia watu unakufa kabla hata haujaniingia
 
Na wala usikubali akiguse sehemu yoyote ya mwili.
 
Mimi nilipata mteja wa mpesa akaniambia anatoa 40K nikamwambia toa, akaomba namba ya wakala nikamtajia, akataja jina nikasema correct, si nikahesabu hela nikampa! kuangalia meseji iliyoingia sio!! alafu jamaa ameshaondoka aah acha kabisa.
We mzembe sana mkuu, nimefanya sana uwakala wa benki na simu sijawahi tapeliwa kwa namna yayote.

Kosa kubwa ambalo nimewahi kulifanya, nilimnunulia umeme mtu wa 20000 badala ya 2000 na hii ni kutokana na uwingi wa wateja na haraka. Lakini hata hivyo sikumpa ile receipt yenye 20k nika correct muamala nikampa wqke wa 2k ile 20k ikawa hasara kwangu.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Pole sana dear
 
Yalinikuta mim mwaka ulioisha Bora umeisha nilitapelewa yaan sijawah kusajil line halaf niwape na sim sijui walinipa dawa wale watu nikajikuta had nataja passwords za mpesa kwenye Ile line kahela kangu ka mtaji[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] kakaenda walaaniwe jaman walaaniwe hawana huruma Hawa watu
 
bahati nzuri namba yako inayoishia 74 tunayo mkuu..

tutakufikia
Nini kujua namba? Hata ujue chumba ninacholala hakuna mpuuzi anayeweza kunitapeli,kuna mpuuzi mmoja walikuwa na ofisi ya kuzugia victoria pale green acres kona ya kuingia mwananyamala ni tapeli balaa . Basi alivyoniona kwa sura yangu ya upole akajua hili fala ngoja nilitapeli,ila kilichomkuta atasimulia wajukuu zake
 
Daaa ndio maana nakuwaga mkorofi nikisemeshwa na mtu nisie mjua. sijibu kitu maana nasikia ukijibu umenasa.
 
Daaa ndio maana nakuwaga mkorofi nikisemeshwa na mtu nisie mjua. sijibu kitu maana nasikia ukijibu umenasa.
Tatizo mimi waliniita majina yangu yote matatu,. Sijui waliyajuaje jamani😥
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…