Ila sisi wadada jamani...

Ila sisi wadada jamani...

Hata mimi mwanaume mfano ningekuta demu wangu kakaa na msela ningemchomoa kwa nguvu .....na mbaya zaidi nikute msela ni handsome kunizidi au ana status kunizidi ndo ningejaa sumu kinoma...mtu chake...
 
Labda sio kwa purukushani zile za Dar.....utapata wapi muda wa kuombana.

Ila mimi namwonea wivu huyo jamaa. Wadada mimi nikiwahi kwenye seat huwa wanapita wanaenda kukaa nyuma.

Kuna siku nimezuia wana na wazee kama watano kisa tu atokee mdada nikae nae...nikaambulia sifuri...

Nikaishia kumruhusu bibi na kumsaidia kupaka mjukuu wake aliyeishia kunikojolea.
😂 😂 😂 😂 😂
 
Kama kwenye hicho kipicha huyo ni wewe tafadhali kwa heshima na taadhima ninaomba ikukupendeza unipe nafasi moyoni mwako kwani toka kitambo nimekuwa nikiteseka sana nikionapo hiko kipicha.kwahiyo rangi nitakuwa hata sihitaji kuwasha taa nikuone
 
Nimeshindwa kuvumilia akii tena..! Nitawasalimia tu hata kesho wapendwa wangu,

Leo bwana nimejitokea zangu huko duniani kwenye mihangaiko, nikafika zangu kituoni, nikasubiri daladala ya ninakoelekea, ikaja nikapanda,

Sasa tumepanda zetu kama watu kadhaa hivii, sina zangu hili wala lile, kulikuwa na seat mbili jirani kabisa na mlangoni pale, akatangulia mkaka akakaa, kisha nikafuatia mie nikakaa,

the next person kupanda akawa mdada, ila akafika pale pembeni yetu cha ajabu akasimama motionless for few seconds akanitazama kwa macho ya khasira halafu akaenda kukaa seat nyingine ya mbele yetu ipo upande wa dirishani..!

Sasa nikashindwaa, kwani this girl nimewahi ona wapi.? Ni nini mbaya naye.? Ni nini nimefanyiana naye mbona kanitazama kwa macho kama vile niliwahi patana naye sehemu.??

Nikawachana tu naye, nikachukua kisimu changu nikadumbukia JF, after a while nikaona yule mrembo akageuka then akawa ana discuss na huyo jamaa aliyeko jirani yangu kuwa washuke kituo gani..!!

Ndiyo nikaelewa, anhaaa' hawa watu kumbe wapo pamoja, nikajiambia tu huyu dada kwa lile jicho kanikata walaqhi' huyu pembeni yangu itakuwa ni kifaa yake, angekuwa brother ake asingeni maindi vile.!

Luckily, wakashuka zao baada ya vituo kadhaa, nikaona afadhali wapeleke ukuch kuch hotae wao huko mbele, (ain't jealous hata)..

Ila wadada hii wivu nyingine muwachane tu nayo, It's a public transport, ingawa ningejua they're together I swear nisinge interfere ningewapisha kabisa.!

I ain't even that mad though, Jioni njema kwenu.!
Nmekukumbuka, dreadstyle,white ,teethbraces...ulikuwa hvyo,kama wewe sorry....aliniambia
 
Ahahahah. Wanaume sisi tuna akil sanaa walah 😂😂😂

Kwa kifupi hapo ni kwamba huyo Me ndio alitia mgomo kumfuata huyo dem wake wakakae pamoja.Inawezekan alipiga hesab akathaminisha mzigo aloketi nao siti moja akaona usinitanie ngoja nitulie hapa hpa ni test zari ,kuku wako manati ya nn, gf wake tayar wake tu .Anyway nadhan mleta mada atakuja na season 2 kuhusu nini kilitokea hapo "sitini" 😁😁😎😎😎
 
Afu unakuta uyo demu ni mbovu na akikuangalia ww ni pisi kali na umekaa na kibwana chake🤣🤣lazima amaind
 
Nimeshindwa kuvumilia akii tena. Nitawasalimia tu hata kesho wapendwa wangu,

Leo bwana nimejitokea zangu huko duniani kwenye mihangaiko, nikafika zangu kituoni, nikasubiri daladala ya ninakoelekea, ikaja nikapanda,

Sasa tumepanda zetu kama watu kadhaa hivii, sina zangu hili wala lile, kulikuwa na seat mbili jirani kabisa na mlangoni pale, akatangulia mkaka akakaa, kisha nikafuatia mie nikakaa,

the next person kupanda akawa mdada, ila akafika pale pembeni yetu cha ajabu akasimama motionless for few seconds akanitazama kwa macho ya khasira halafu akaenda kukaa seat nyingine ya mbele yetu ipo upande wa dirishani.

Sasa nikashindwaa, kwani this girl nimewahi ona wapi.? Ni nini mbaya naye.? Ni nini nimefanyiana naye mbona kanitazama kwa macho kama vile niliwahi patana naye sehemu?

Nikawachana tu naye, nikachukua kisimu changu nikadumbukia JF, after a while nikaona yule mrembo akageuka then akawa ana discuss na huyo jamaa aliyeko jirani yangu kuwa washuke kituo gani.

Ndiyo nikaelewa, anhaaa' hawa watu kumbe wapo pamoja, nikajiambia tu huyu dada kwa lile jicho kanikata walaqhi' huyu pembeni yangu itakuwa ni kifaa yake, angekuwa brother ake asingeni maindi vile.

Luckily, wakashuka zao baada ya vituo kadhaa, nikaona afadhali wapeleke ukuch kuch hotae wao huko mbele, (ain't jealous hata)..

Ila wadada hii wivu nyingine muwachane tu nayo, It's a public transport, ingawa ningejua they're together I swear nisinge interfere ningewapisha kabisa.

I ain't even that mad though, Jioni njema kwenu.
samahan eti yule onyango unaijua kama hujui hiyo je obonyo yule kaka ya okothi mtt wa odinga
 
Carleen dear yaani kama nipo na Sakayo ndio ananipa hiyo story uliavyoandika yeye mtupu na ulivyomalizia mirinda nyeusi ndio kabisa sakayo anakujaaa anakataaaa

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mmefanana jamani miandiko mpaka vinywaji mnavyopenda
 
Nimeshindwa kuvumilia akii tena. Nitawasalimia tu hata kesho wapendwa wangu,

Leo bwana nimejitokea zangu huko duniani kwenye mihangaiko, nikafika zangu kituoni, nikasubiri daladala ya ninakoelekea, ikaja nikapanda,

Sasa tumepanda zetu kama watu kadhaa hivii, sina zangu hili wala lile, kulikuwa na seat mbili jirani kabisa na mlangoni pale, akatangulia mkaka akakaa, kisha nikafuatia mie nikakaa,

the next person kupanda akawa mdada, ila akafika pale pembeni yetu cha ajabu akasimama motionless for few seconds akanitazama kwa macho ya khasira halafu akaenda kukaa seat nyingine ya mbele yetu ipo upande wa dirishani.

Sasa nikashindwaa, kwani this girl nimewahi ona wapi.? Ni nini mbaya naye.? Ni nini nimefanyiana naye mbona kanitazama kwa macho kama vile niliwahi patana naye sehemu?

Nikawachana tu naye, nikachukua kisimu changu nikadumbukia JF, after a while nikaona yule mrembo akageuka then akawa ana discuss na huyo jamaa aliyeko jirani yangu kuwa washuke kituo gani.

Ndiyo nikaelewa, anhaaa' hawa watu kumbe wapo pamoja, nikajiambia tu huyu dada kwa lile jicho kanikata walaqhi' huyu pembeni yangu itakuwa ni kifaa yake, angekuwa brother ake asingeni maindi vile.

Luckily, wakashuka zao baada ya vituo kadhaa, nikaona afadhali wapeleke ukuch kuch hotae wao huko mbele, (ain't jealous hata)..

Ila wadada hii wivu nyingine muwachane tu nayo, It's a public transport, ingawa ningejua they're together I swear nisinge interfere ningewapisha kabisa.

I ain't even that mad though, Jioni njema kwenu.
Uzi tayari na like kibao....
Kweli wadada
 
Humuamini mtu wako ndo ukose Raha hata kwa wapita njia? That's insane. Hata mwanamme awe mhuni kiasi kipi hawezi tembea na dunia nzima.

She's just insecure and once the man finds out to what extent she is, atamtesa Sana.
you said it all my smart dada mkubwa..!!
 
Au wangekodi boda wapande mishkaki wabanane vizuri kama hiyo ndo ilikua shida yake😂
Bado asingeweza m- control, kwani wakishuka wataendelea kubanana hadi kwenye maisha.?
 
Back
Top Bottom