Ila TFF imeamua kupuuza kabisa Feitoto. Kuna ugumu gani kusema hoja alizoweka mezani Feitoto na kufafanua kisheria kwanini hazikuwa za Msingi?

Ila TFF imeamua kupuuza kabisa Feitoto. Kuna ugumu gani kusema hoja alizoweka mezani Feitoto na kufafanua kisheria kwanini hazikuwa za Msingi?

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Ni Kama sakata limeamua kuishia gizani.

Ilichokifanya Tff Ni kuwatisha mawakili wa feitoto wasiliongelee sakata Hilo kiundani na wao kuja kusema juu juu tu.

Hapo hukumu imetoka kiujanja ujanja tu. Na ukweli haifurahishi.

Uenda kweli Feitoto amekosea lkn Kuna ugumu gani kutupitisha kisheria alitumia hoja zipi kuvunja mkataba na kwanini hoja zake hazikukidhi takwa la kisheria la kuvunja mkataba wake?

Vipi wasome hukumu kabla ya kukamilisha kuandika hukumu yote na kutoa hukumu na ufafanuzi kwa pamoja.
 
Akupitishie wewe au?..

Unachoona wewe kwamaba pale kuna wababaishaji yaani?.. Haufahamu pia kuna wanasheria na wana uzoefu na mikataba na kesi hizi eeeh.

Lini ulisikia kitu kama hicho toa TFF kuwa kilipoenda CAS kikabadilika..

Kwa taarifa yako sikumbuki ni lini CAF au CAS ilishatengua maamuzi ya TFF
 
Mwanzo ulikuwa unasema Fei kaonewa sasa umebadili Gia unaanza kusema huenda ukweli Fei kakosea.

Jamaa unahangaika Sana na hii ishu na bahati mbaya Sana unatumia jina lako na kiuhalisia unajivua nguo tu. Nakushauri achana na hili

Unahisi TFF yote hakuna mwanasheria nguli na unawazidi wote? Au unahisi mara zote 2 vikao tofauti vya TFF vimekuwa compromised?
 
Ni Kama sakata limeamua kuishia gizani.
Ilichokifanya Tff Ni kuwatisha mawakili wa feitoto wasiliongelee sakata Hilo kiundani na wao kuja kusema juu juu tu.

Hapo hukumu imetoka kiujanja ujanja tu. Na ukweli haifurahishi.

Uenda kweli Feitoto amekosea lkn Kuna ugumu gani kutupitisha kisheria alitumia hojA zipi kuvunja mkataba na kwanini hojA zake hazikukidhi takwa la kisheria la kuvunja mkataba wake?

Vipi wasome hukumu kabla ya kukamilisha kuandika hukumu yote na kutoa hukumu na ufafanuzi kwa pamoja.

Shangazi Fatuma Karume jana alikuwepo na amesema shtaka limeendeshwa fea kabisa…

Ss wewe kibunzo endelea na porojo zako
 
Ni Kama sakata limeamua kuishia gizani.
Ilichokifanya Tff Ni kuwatisha mawakili wa feitoto wasiliongelee sakata Hilo kiundani na wao kuja kusema juu juu tu.

Hapo hukumu imetoka kiujanja ujanja tu. Na ukweli haifurahishi.

Uenda kweli Feitoto amekosea lkn Kuna ugumu gani kutupitisha kisheria alitumia hojA zipi kuvunja mkataba na kwanini hojA zake hazikukidhi takwa la kisheria la kuvunja mkataba wake?

Vipi wasome hukumu kabla ya kukamilisha kuandika hukumu yote na kutoa hukumu na ufafanuzi kwa pamoja.
Nawewe unajiita great thinker? Rubbish

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
TFF wanatumiwa na wanasiasa, hili halina ubishi, ni wajinga pekee wasioona hili na kuamua kujiliwaza kwenye kivuli cha hisia.

Kila siku wakitoa taarifa kuhusu maamuzi ya hili suala, lazima watoe taarifa nusu, nusu nyingine itatolewa jumatatu, hizi haraka zinazowafanya watoe taarifa nusu nusu ni za nini?

Tuna watendaji wa hovyo sana kwenye shirikisho la mpira wetu, pale TFF panatakiwa kufanyiwa mabadiliko makubwa, wale watendaji waliopo ni corrupt, na wanafanya kazi kwa mahaba, badala ya kufuata sheria na taratibu.
FqOosmbXoAQtub6.jpg
 
TFF wanatumiwa na wanasiasa, hili halina ubishi, ni wajinga pekee wasioona hili na kuamua kujiliwaza kwenye kivuli cha hisia.

Kila siku wakitoa taarifa kuhusu maamuzi ya hili suala, lazima watoe taarifa nusu, nusu nyingine itatolewa jumatatu, hizi haraka zinazowafanya watoe taarifa nusu nusu ni za nini?

Tuna watendaji wa hovyo sana kwenye shirikisho la mpira wetu, pale TFF panatakiwa kufanyiwa mabadiliko makubwa, wale watendaji waliopo ni corrupt, na wanafanya kazi kwa mahaba, badala ya kufuata sheria na taratibu.View attachment 2535607
Yaani unavyoandika as if una akili kumbe kichwani kumejaa kamasi tu[emoji1787]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Kupitia hili sakata nimeamini mama yetu Hana nguvu yeyote hapo jumba jeupe ,yupo Kama kivuli ,Ila mwenye control wa hii nchi ni mzee wa msoga na akina madelu.

Hili sakata linajionyesha waz kuwa Kuna wanasiasa wapo nyuma ya hili Jambo na hao tff wamepewa mwongozo.
Najiuliza fei angekua anatokea huko chato na enzi hizo jiwe yupo madarakan ,kwa vyovyote tff wangekua upande wa fei bila kujar Ana makosa au Hana .
Na wangekua upande wa fei bila hata kuambiwa lolote na jiwe ,yaan ingekua gia ya kujiendekeza kwake.

Sasa napata picha halisi huyu mama wanamchukulia poa had wanacheza na kijana wake wa ukerewe walikozaliwa pamoja
 
Kupitia hili sakata nimeamini mama yetu Hana nguvu yeyote hapo jumba jeupe ,yupo Kama kivuli ,Ila mwenye control wa hii nchi ni mzee wa msoga na akina madelu.

Hili sakata linajionyesha waz kuwa Kuna wanasiasa wapo nyuma ya hili Jambo na hao tff wamepewa mwongozo.
Najiuliza fei angekua anatokea huko chato na enzi hizo jiwe yupo madarakan ,kwa vyovyote tff wangekua upande wa fei bila kujar Ana makosa au Hana .
Na wangekua upande wa fei bila hata kuambiwa lolote na jiwe ,yaan ingekua gia ya kujiendekeza kwake.

Sasa napata picha halisi huyu mama wanamchukulia poa had wanacheza na kijana wake wa ukerewe walikozaliwa pamoja
Ona hili jamaa ndy umeandika ujinga gani huu??[emoji15]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Kupitia hili sakata nimeamini mama yetu Hana nguvu yeyote hapo jumba jeupe ,yupo Kama kivuli ,Ila mwenye control wa hii nchi ni mzee wa msoga na akina madelu.

Hili sakata linajionyesha waz kuwa Kuna wanasiasa wapo nyuma ya hili Jambo na hao tff wamepewa mwongozo.
Najiuliza fei angekua anatokea huko chato na enzi hizo jiwe yupo madarakan ,kwa vyovyote tff wangekua upande wa fei bila kujar Ana makosa au Hana .
Na wangekua upande wa fei bila hata kuambiwa lolote na jiwe ,yaan ingekua gia ya kujiendekeza kwake.

Sasa napata picha halisi huyu mama wanamchukulia poa had wanacheza na kijana wake wa ukerewe walikozaliwa pamoja
Duuh huwezi kuwa muelewa ukaandika hivi.
 
Ni Kama sakata limeamua kuishia gizani.

Ilichokifanya Tff Ni kuwatisha mawakili wa feitoto wasiliongelee sakata Hilo kiundani na wao kuja kusema juu juu tu.

Hapo hukumu imetoka kiujanja ujanja tu. Na ukweli haifurahishi.

Uenda kweli Feitoto amekosea lkn Kuna ugumu gani kutupitisha kisheria alitumia hoja zipi kuvunja mkataba na kwanini hoja zake hazikukidhi takwa la kisheria la kuvunja mkataba wake?

Vipi wasome hukumu kabla ya kukamilisha kuandika hukumu yote na kutoa hukumu na ufafanuzi kwa pamoja.
Hata huu uzi nao ni wa kupuuzia kwa kuwa unakosa hoja za mashiko [emoji706]
 
Back
Top Bottom