Ila TFF imeamua kupuuza kabisa Feitoto. Kuna ugumu gani kusema hoja alizoweka mezani Feitoto na kufafanua kisheria kwanini hazikuwa za Msingi?

Ila TFF imeamua kupuuza kabisa Feitoto. Kuna ugumu gani kusema hoja alizoweka mezani Feitoto na kufafanua kisheria kwanini hazikuwa za Msingi?

Kwa tafsiri nyingine ni kwamba Yanga sio mahali pazuri kuchezea mchezaji mwenye ndoto za kwenda kucheza timu nyingine kubwa.

Wana roho mbaya ya kuruhusu mchezaji kutoka.
Bora itafsirike hivyo kulko huo ujinga mnao utaka nyie
 
Punguza kuandika ujinga humu ndani eti unajiita king labda king wa maaskari wa kizanzibar [emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Hongera kwa Wewe usiye Taahira kuendelea kupoteza muda wako mwingi na Mimi Taahira kwa Kunifuatilia na Kunisoma katiks kila Thread na Posts zangu hapa JamiiForums. au nawe ni Kiongozi wangu katika huo / huu Utaahaira?
 
Mi sio mwana sheria, ila kwa mtazamo wako na ujuvi wako unafikiri Fei angeshinda hii kesi? Hata angekua katokea upande wa pili asinge shinda ,Hii ni Tz mkuu
Ukweli utajulikana tu. Tunasubiri kuona hukumu. Shuzi limepata mjambaji. Mama atafunguka yote ilikuwa Siri Siri hivi
 
Kwenye kesi ya Morrison na UTO yule mwenyekiti wa kamati sijui alikuja mbele ya waandishi wa habari na akaelezea utata uliopo

Japo alikuwa ni UTO mwenzao ila alielezea kushindwa kwa UTO kwenye shauri

Kinachonishangaza sasa hivi habari zinatolewa kiuoga na kifichoficho

Sasa kama maelezo watapewa kina Fei toto kwanini sisi watujuze maamuzi yao

Wangekaa kimya Fei ndio angetueleza au UTO.
 
Kwenye kesi ya Morrison na UTO yule mwenyekiti wa kamati sijui alikuja mbele ya waandishi wa habari na akaelezea utata uliopo

Japo alikuwa ni UTO mwenzao ila alielezea kushindwa kwa UTO kwenye shauri

Kinachonishangaza sasa hivi habari zinatolewa kiuoga na kifichoficho

Sasa kama maelezo watapewa kina Fei toto kwanini sisi watujuze maamuzi yao

Wangekaa kimya Fei ndio angetueleza au UTO.
Weka Video
 
Kupitia hili sakata nimeamini mama yetu Hana nguvu yeyote hapo jumba jeupe ,yupo Kama kivuli ,Ila mwenye control wa hii nchi ni mzee wa msoga na akina madelu.

Hili sakata linajionyesha waz kuwa Kuna wanasiasa wapo nyuma ya hili Jambo na hao tff wamepewa mwongozo.
Najiuliza fei angekua anatokea huko chato na enzi hizo jiwe yupo madarakan ,kwa vyovyote tff wangekua upande wa fei bila kujar Ana makosa au Hana .
Na wangekua upande wa fei bila hata kuambiwa lolote na jiwe ,yaan ingekua gia ya kujiendekeza kwake.

Sasa napata picha halisi huyu mama wanamchukulia poa had wanacheza na kijana wake wa ukerewe walikozaliwa pamoja
Yan penye haki unapatetea kwa kujaribu kulinganisha na utumbo huo📌 Duh watz kwel Akili ni brain zero kabsa
 
Yan kabla sijachukua shauli la kujiunga JF nilijuwa JF ni jukwaa la wasomi na wanaojielewa tupu,,nikiamini bongo lala na perege zpo FB na Insta..kumbe Msafara wa mamba Kenge wamo..naomba kabla ya mtu ku join JF apimwe kwanz akili na cheti kionyeshe yupo timamu ndo apite mana bongo kamasi zpo nying humu
 
Back
Top Bottom