ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Bora itafsirike hivyo kulko huo ujinga mnao utaka nyieKwa tafsiri nyingine ni kwamba Yanga sio mahali pazuri kuchezea mchezaji mwenye ndoto za kwenda kucheza timu nyingine kubwa.
Wana roho mbaya ya kuruhusu mchezaji kutoka.
Hongera kwa Wewe usiye Taahira kuendelea kupoteza muda wako mwingi na Mimi Taahira kwa Kunifuatilia na Kunisoma katiks kila Thread na Posts zangu hapa JamiiForums. au nawe ni Kiongozi wangu katika huo / huu Utaahaira?Punguza kuandika ujinga humu ndani eti unajiita king labda king wa maaskari wa kizanzibar [emoji1787][emoji1787]
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Ukweli utajulikana tu. Tunasubiri kuona hukumu. Shuzi limepata mjambaji. Mama atafunguka yote ilikuwa Siri Siri hiviMi sio mwana sheria, ila kwa mtazamo wako na ujuvi wako unafikiri Fei angeshinda hii kesi? Hata angekua katokea upande wa pili asinge shinda ,Hii ni Tz mkuu
Weka VideoKwenye kesi ya Morrison na UTO yule mwenyekiti wa kamati sijui alikuja mbele ya waandishi wa habari na akaelezea utata uliopo
Japo alikuwa ni UTO mwenzao ila alielezea kushindwa kwa UTO kwenye shauri
Kinachonishangaza sasa hivi habari zinatolewa kiuoga na kifichoficho
Sasa kama maelezo watapewa kina Fei toto kwanini sisi watujuze maamuzi yao
Wangekaa kimya Fei ndio angetueleza au UTO.
Yan penye haki unapatetea kwa kujaribu kulinganisha na utumbo huo📌 Duh watz kwel Akili ni brain zero kabsaKupitia hili sakata nimeamini mama yetu Hana nguvu yeyote hapo jumba jeupe ,yupo Kama kivuli ,Ila mwenye control wa hii nchi ni mzee wa msoga na akina madelu.
Hili sakata linajionyesha waz kuwa Kuna wanasiasa wapo nyuma ya hili Jambo na hao tff wamepewa mwongozo.
Najiuliza fei angekua anatokea huko chato na enzi hizo jiwe yupo madarakan ,kwa vyovyote tff wangekua upande wa fei bila kujar Ana makosa au Hana .
Na wangekua upande wa fei bila hata kuambiwa lolote na jiwe ,yaan ingekua gia ya kujiendekeza kwake.
Sasa napata picha halisi huyu mama wanamchukulia poa had wanacheza na kijana wake wa ukerewe walikozaliwa pamoja