Ila Tundu Lissu Kiboko; nimekumbuka hii

Ila Tundu Lissu Kiboko; nimekumbuka hii

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Nimejikuta nacheka Sana nilipokumbuka habari za mwaka Jana. Yaani ilikuwa vituko na aibu kubwa.

Hivi ni kweli Tundu Lissu hakuweka matangazo kwenye nguzo na barabarani Kama alivyoweka mwenzake nchi nzima😀😀😀 na bado akawa anaogopwa??😀😀

Ila Lisu Kiboko tuacheni utani.
Lisu ni Kiboko Kwa sababu kuu ifuatavyo;

1. Kapigwa RISASI za kutosha tuu lakini hajabadili msimamo wake.
Tumeshawaona wanasiasa wengi wakitishiwa kidogo tuu wanasalimu amri, wengine wakipigwa wanakaa kimya, lakini Kwa Lisu 😀😀

Jambo hili wengi hatuliwezi.

Katika Siasa za TANZANIA, Rekodi ambayo haitavunjwa kirahisi ni rekodi ya Tundu Antipas Lisu, na miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa.

Kiongozi hawezi kuwa Kiboko Kwa kujenga sijui miundombinu kwani mtu yeyote anaweza fanya hivyo akipewa Madaraka Ila anakuwa kiboko Kwa kupitia Mateso na Hali ngumu na bado asibadilishe msimamo wake.

Ni Kama vile kina Yesu WA Nazareth, Stephano aliyepigwa mawe mpaka Kufa, kina Nelson Mandela n.k

Je, wewe ni mwanasiasa yupi unayehisi ni Kiboko ambaye Lisu ni chamtoto?
 
Katika Siasa za TANZANIA, Rekodi ambayo haitavunjwa kirahisi ni rekodi ya Tundu Antipas Lisu, na miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa.
 
Kwangu wanasiasa wanaotakiwa kukumbukwa Tanzania ni Mbowe, Lissu na Maalimu seif ukiacha hawa wachumi wa matumbo yao akina nyepesi

Maalim Seiph sina uhakika, hata Mbowe sina uhakika.

Ila Kwa Lisu hata adui zake wanalijua hili kuwa jamaa ni Kiboko.

Hata JPM mwenyewe akiamshwa sasa hivi aulizwe hapa TANZANIA Nani chuma atakutajia Tundu Lisu HAO wengine atakuambia ni uzani wa Kati, Lisu ni Heavy weight ambaye kama angekuwa na Jeshi tuu la watu elfu tatu lenye Mafunzo ya kijeshi sasa hivi tungeongea mengine.
 
Hao utakaowasifu wewe nakuhakikishia wanajua kuwa Lisu ni Kiboko.

Kwenye nchi hii nakuhakikishia watu Aina ya Lisu hawafiki 10. Tena hiyo 10 ni wengi. Labda uwe mnafiki tuu.

Kipindi cha awamu ya tano ndio kilidhihirisha kwenye hii nchi watu wasiowaoga hawafiki 10 Kati ya milioni 60.

Hata jpm aamshwe sasa hivi atakubaliana na Mimi.

Hata makomando wenyewe wa nchi hii wanajua kuwa Lisu ni Kiboko. Tukiacha ushabiki
 
Lisu anastahili tuzo ya ujasiri na heshima

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kuna watu wanapinga sijui ni Uelewa mdogo au ushabiki.

Kuna watu waalimu tuu WA shule wakuwaringishia, maprofesa Chuoni waliwalamba miguu alafu wanamuona Lisu aliyepambana na chuma ati wakawaida😀😀
 
Kwema Wakuu!

Nimejikuta nacheka Sana nilipokumbuka habari za mwaka Jana. Yaani ilikuwa vituko na aibu kubwa...?
Mataga wanaimba eti mwendakuzimu ameacha legasi ya kujenga Sgr na stiglers,

leo ndugai anasema nchi itauzwa KWA Deni kubwa zaidi ya tril 70

Serikali yoyote inaweza kopo ikajenga miundombinu hiyo siyo legasi

Like jamaa lilikuwa linakopa kizembe na kishamva sana,
Hela nyingi lilipeleka kujenga Kijijini kwao Ili pawe mkoa
 
^miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa^

Ni wazi unakiri kwamba hana wafuasi wowote wanaomkubali katika kizazi cha sasa. Kama walio naye leo hawamwoni kama shujaa, hatuwezi kutarajia lolote jipya kwa kizazi kijacho.
 
Back
Top Bottom