Ila Tundu Lissu Kiboko; nimekumbuka hii

Ila Tundu Lissu Kiboko; nimekumbuka hii

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Mimi mwenyewe nilijiona kaoga Fulani hivi sema nikajificha kwenye kichaka cha utoto Kama utetezi wanguπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
hahahaa....kichaka muhimu mkuu Robby...hasa kama huna power ya mawakili au kusepa foreign countries
 
Maalim Seiph sina uhakika, hata Mbowe sina uhakika.

Ila Kwa Lisu hata adui zake wanalijua hili kuwa jamaa ni Kiboko.

Hata JPM mwenyewe akiamshwa sasa hivi aulizwe hapa TANZANIA Nani chuma atakutajia Tundu Lisu HAO wengine atakuambia ni uzani wa Kati, Lisu ni Heavy weight ambaye kama angekuwa na Jeshi tuu la watu elfu tatu lenye Mafunzo ya kijeshi sasa hivi tungeongea mengine.
Elfu 3 wengi mno,sema elfu 1 tu makamanda wenye msimamo kama yeye, HARAFU AKAINGIA MSITUNI
 
Maalim Seiph sina uhakika, hata Mbowe sina uhakika.

Ila Kwa Lisu hata adui zake wanalijua hili kuwa jamaa ni Kiboko.

Hata JPM mwenyewe akiamshwa sasa hivi aulizwe hapa TANZANIA Nani chuma atakutajia Tundu Lisu HAO wengine atakuambia ni uzani wa Kati, Lisu ni Heavy weight ambaye kama angekuwa na Jeshi tuu la watu elfu tatu lenye Mafunzo ya kijeshi sasa hivi tungeongea mengine.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwema Wakuu!

Nimejikuta nacheka Sana nilipokumbuka habari za mwaka Jana. Yaani ilikuwa vituko na aibu kubwa.

Hivi ni kweli Tundu Lissu hakuweka matangazo kwenye nguzo na barabarani Kama alivyoweka mwenzake nchi nzimaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ na bado akawa anaogopwa??πŸ˜€πŸ˜€
Tundu Lissu hakuweka matangazo kwasababu za kibajeti, mfumo Dola uliokuwepo pamoja na umaarufu aliokuwa nao baada ya kuja kugombea akitokea Belgium.

Utawekaje matangazo bila idhini ya DED, na huyo DED alikuwa hajipendi?

Kwa vyovyote vile Mbowe alilazimika kumweka Lissu dhidi ya Magufuli, lakini Lissu dhidi ya mtu mwingine hawezi kuwa na impact sana.
Ila Lisu Kiboko tuacheni utani.
Lisu ni Kiboko Kwa sababu kuu ifuatavyo;

1. Kapigwa RISASI za kutosha tuu lakini hajabadili msimamo wake.
Tumeshawaona wanasiasa wengi wakitishiwa kidogo tuu wanasalimu amri, wengine wakipigwa wanakaa kimya, lakini Kwa Lisu πŸ˜€πŸ˜€

Jambo hili wengi hatuliwezi.
Abadili msimamo ili iwe vipi ?

Maana binafsi ninachojua, Lissu alitakata kuuawa, sasa kubadili msimamo ili uungane tena na watu waliotaka kukuua maana yake hata watu duniani uliokuwa unawahubiria kuwa hao watu ni wabaya watakuona MPUUZI tu.
Katika Siasa za TANZANIA, Rekodi ambayo haitavunjwa kirahisi ni rekodi ya Tundu Antipas Lisu, na miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa.

Kiongozi hawezi kuwa Kiboko Kwa kujenga sijui miundombinu kwani mtu yeyote anaweza fanya hivyo akipewa Madaraka Ila anakuwa kiboko Kwa kupitia Mateso na Hali ngumu na bado asibadilishe msimamo wake.

Ni Kama vile kina Yesu WA Nazareth, Stephano aliyepigwa mawe mpaka Kufa, kina Nelson Mandela n.k

Je, wewe ni mwanasiasa yupi unayehisi ni Kiboko ambaye Lisu ni chamtoto?
Jifunze tena kuhusu binadamu. Naona hujawajua vizuri.

Dunia hii unayoiona, kuna watu wanamwona IDDI AMINI ni SHUJAA, MOBUTU ni SHUJAA, GADDAFF ni SHUJAA, MUGABE ni SHUJAA, MAGUFULI ni SHUJAA.

Vile vile kuna watu wanamwona NYERERE HAFAI, MANDELA HAFAI.

Narudia tena JIFUNZE TENA KUHUSU AKIKI ZA BINADAMU.
 
10 wengi sana


Nchi hii imewahi kuwa na watu wenye misimamo Sana na Mambo wanayoyaamini,nakuhakikishia hawazidi 5!wengi wao Ni marehemu

Orodha ya watanzania waliotayar kufa kutetea wanachokiamini

1.TUNDU ANTIPASS LISSU

2.JOHN POMBE MAGUFULI
3.JULIUS KAMBARAGE NYERERE
4.OSCAR KAMBONA
5.FREEMAN AIKAEL MBOWE

Hao tajwa hapo juu☝️☝️☝️ni vichwa vigumu kwenye siasa,Ni majina ambayo Tanzania haitaacha kuyakumbuka katika harakati za kisiasa since independence 1961.
Hii nchi inahitaji Sana watu wa aina zao,la sivyo hili LINCHI HALITAKUJA KUENDELEA KAMWE.
Tunataka watu wanaojiamini,waliotayari kufa kupigania wanachokiaminiπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ
 
Mashujaa wote unaowafahamu Duniani hawakuwa na wafuasi wengi kipindi cha uhai wao.

Kuanzia unayemuamini Yesu Kristo au Muhammad hawakuwa na wafuasi wowote mpaka wanaondoka Duniani

Ukiwa unaijua historia ya Duniani huwezi kushindwa kulijua Jambo hili
Kwako mashujaa ni kina nani?
 
Lisu ni mwamba kweli kweli. Siku aliniacha hoi na sitakaa nisahau ni pale aliposhtakiwa sijui kwa makosa gani akwawekwa ndani siku kadhaa siku aliyopewa dhamana nikawa nimekaa kwenye TV naangalia taarifa ya habari saa mbili usiku nikashangaa Lisu akihojiwa nje ya mahakama mbele ya waandishi wa habari akatamka na kurudia zaidi ya mara tatu neno dikteta uchwara. Kumbuka wakati huo kila mtu kaufyata nchi nzima.

Kila siku nawaza iwapo Mtikila angekuwa hai halafu akafanya "collabo" na Lisu si ingekuwa balaa. Maana niliwahi kumuona Mtikila kaitisha maandamano halafu wananchi hawakutokea muda ulipofika aisee jamaa aliandamana peke yake mitaa ya posta anaenda ikulu bila kuogopa difenda zilizojaa askari wakiwa na mabomu ya machozi. Kilichotokea mbele ya safari hata sijui nini maana nilisepa fasta mjini kwani enzi hizo ukisikia maandamano tu wewe anza maana mji wote unapigwa mabomu ya machozi bila mpangilio mnabaki kulia na kukohoa tu siku nzima.
 
Lisu ni mwamba kweli kweli. Siku aliniacha hoi na sitakaa nisahau ni pale aliposhtakiwa sijui kwa makosa gani akwawekwa ndani siku kadhaa siku aliyopewa dhamana nikawa nimekaa kwenye TV naangalia taarifa ya habari saa mbili usiku nikashangaa Lisu akihojiwa nje ya mahakama mbele ya waandishi wa habari akatamka na kurudia zaidi ya mara tatu neno dikteta uchwara. Kumbuka wakati huo kila mtu kaufyata nchi nzima.

Kila siku nawaza iwapo Mtikila angekuwa hai halafu akafanya "collabo" na Lisu si ingekuwa balaa. Maana niliwahi kumuona Mtikila kaitisha maandamano halafu wananchi hawakutokea muda ulipofika aisee jamaa aliandamana peke yake mitaa ya posta anaenda ikulu bila kuogopa difenda zilizojaa askari wakiwa na mabomu ya machozi. Kilichotokea mbele ya safari hata sijui nini maana nilisepa fasta mjini kwani enzi hizo ukisikia maandamano tu wewe anza maana mji wote unapigwa mabomu ya machozi bila mpangilio mnabaki kulia na kukohoa tu siku nzima.




πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Mtikila nimemfahamu mwishoni mwa Uhai wake. Nilikuwa mdogo
 
Tundu Lissu hakuweka matangazo kwasababu za kibajeti, mfumo Dola uliokuwepo pamoja na umaarufu aliokuwa nao baada ya kuja kugombea akitokea Belgium.

Utawekaje matangazo bila idhini ya DED, na huyo DED alikuwa hajipendi?

Kwa vyovyote vile Mbowe alilazimika kumweka Lissu dhidi ya Magufuli, lakini Lissu dhidi ya mtu mwingine hawezi kuwa na impact sana.

Abadili msimamo ili iwe vipi ?

Maana binafsi ninachojua, Lissu alitakata kuuawa, sasa kubadili msimamo ili uungane tena na watu waliotaka kukuua maana yake hata watu duniani uliokuwa unawahubiria kuwa hao watu ni wabaya watakuona MPUUZI tu.

Jifunze tena kuhusu binadamu. Naona hujawajua vizuri.

Dunia hii unayoiona, kuna watu wanamwona IDDI AMINI ni SHUJAA, MOBUTU ni SHUJAA, GADDAFF ni SHUJAA, MUGABE ni SHUJAA, MAGUFULI ni SHUJAA.

Vile vile kuna watu wanamwona NYERERE HAFAI, MANDELA HAFAI.

Narudia tena JIFUNZE TENA KUHUSU AKIKI ZA BINADAMU.


Kwa Tundu Lisu hakuna ambaye hajui ni jasiri na mwenye msimamo.
 
Kwa sababu za kimaadili siwezi kujitaja.


Haina shida Mkuu.

Endelea kupambana Ila kuna Uzi wangu nilisema usisaidie masikini Acha wafe. Huo utakusaidiaπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Kwa Tundu Lisu hakuna ambaye hajui ni jasiri na mwenye msimamo.
Ukiongea haya kwa watu makini na wenye kumbukumbu ni lazima wakuchape vibao vya tako.

Muulize Lissu, Je, Lowassa ni FISADI au siyo FISADI.

Halafu utuletee tafsiri yako ya msimamo unayoijua.
 
Ukiongea haya kwa watu makini na wenye kumbukumbu ni lazima wakuchape vibao vya tako.

Muulize Lowassa ni FISADI au siyo FUSADI.

Halafu utuletee tafsiri yako ya msimamo unayoijua.


πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Unataka nimtetee?


Hapo wakulaumiwa ni Mbowe ndio maana Mimi simuamini Sana mbowe lakini kwenye Siasa za upinzani Lisu anamsimamo wa kiwango cha juu.
 
Mwendazake alisema alidaka mawasiliano yake ya simu akitaka kulihujumu taifa, and akasema yeye ni Rais anajua mengi kuliko yeyote nchi hii. Tumuamini Mwendazake au wewe mleta mada?
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Unataka nimtetee?


Hapo wakulaumiwa ni Mbowe ndio maana Mimi simuamini Sana mbowe lakini kwenye Siasa za upinzani Lisu anamsimamo wa kiwango cha juu.
Mbowe ndio anashikiria msimamo wa Lissu?

Kama Lissu alikubaliana na Mbowe kuhusu Lowassa maana yake hana msimamo kama wanasiasa wengine.

Unless kama una tafsiri yako nyingine kuhusu msimamo.
 
Mwendazake alisema alidaka mawasiliano yake ya simu akitaka kulihujumu taifa, and akasema yeye ni Rais anajua mengi kuliko yeyote nchi hii. Tumuamini Mwendazake au wewe mleta mada?


Mwendazake ninaweza kumuamini Kwa mengi tuu.

Ila hapa nazungumzia msimamo wa Lisu sijasema namuamini Lisu au Lisu aaminiwe.

Nazungumzia ujasiri wake wengi hatuna.

Sasa ujasiri kwenye nini hiyo ni mada nyingine
 
Back
Top Bottom