Ila Tundu Lissu Kiboko; nimekumbuka hii

Ila Tundu Lissu Kiboko; nimekumbuka hii

^miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa^

Ni wazi unakiri kwamba hana wafuasi wowote wanaomkubali katika kizazi cha sasa. Kama walio naye leo hawamwoni kama shujaa, hatuwezi kutarajia lolote jipya kwa kizazi kijacho.



Mashujaa wote unaowafahamu Duniani hawakuwa na wafuasi wengi kipindi cha uhai wao.

Kuanzia unayemuamini Yesu Kristo au Muhammad hawakuwa na wafuasi wowote mpaka wanaondoka Duniani

Ukiwa unaijua historia ya Duniani huwezi kushindwa kulijua Jambo hili
 
Kwema Wakuu!

Nimejikuta nacheka Sana nilipokumbuka habari za mwaka Jana. Yaani ilikuwa vituko na aibu kubwa.

Hivi ni kweli Tundu Lisu hakuweka matangazo kwenye nguzo na barabarani Kama alivyoweka mwenzake nchi nzima[emoji3][emoji3][emoji3] na bado akawa anaogopwa??[emoji3][emoji3]

Ila Lisu Kiboko tuacheni utani.
Lisu ni Kiboko Kwa sababu kuu ifuatavyo;

1. Kapigwa RISASI za kutosha tuu lakini hajabadili msimamo wake.
Tumeshawaona wanasiasa wengi wakitishiwa kidogo tuu wanasalimu amri, wengine wakipigwa wanakaa kimya, lakini Kwa Lisu [emoji3][emoji3]

Jambo hili wengi hatuliwezi.

Katika Siasa za TANZANIA, Rekodi ambayo haitavunjwa kirahisi ni rekodi ya Tundu Antipas Lisu, na miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa.

Kiongozi hawezi kuwa Kiboko Kwa kujenga sijui miundombinu kwani mtu yeyote anaweza fanya hivyo akipewa Madaraka Ila anakuwa kiboko Kwa kupitia Mateso na Hali ngumu na bado asibadilishe msimamo wake.

Ni Kama vile kina Yesu WA Nazareth, Stephano aliyepigwa mawe mpaka Kufa,
Kina Nelson Mandela n.k

Je wewe ni mwanasiasa yupi unayehisi ni Kiboko ambaye Lisu NI chamtoto?
hata hivyo sifa kuu ya Lissu ni mwanaharakati na sio mwanasiasa!

na ni mwanaharakati 100%, kwa vitendo na kwa maneno! arguably the greatest tumewahi kuwa nae hapa nchini....... kina Mtikila wakasome!
 
Lisu ni kiboko. Alionya mara kadhaa kwamba "mwambieni Magufuli asicheze na uvhabguzi huu".


Magufuli akacheza nao. Kiko wapi Sasa?

Jamani Lisu kiboko
Kwenye hili labda useme lema kiboko maana yeyote aliyemuonya akashupaza shingo yalimkuta
 
Lissu hata hotuba zake bungeni zilikuwa konki sana....mama makinda alimpa sana nafasi ikifika kwenye masuala ya sheria
Ana Makinda anaweza kuwa miongoni mwa maspika bora kuwahi kutoka kwani aliwajua wabunge wake katika medani mbalimbali. Wakifika kwenye mambo ya kisheria utasikia mh Lisu tusaidie hapa.
 
Kwema Wakuu!

Nimejikuta nacheka Sana nilipokumbuka habari za mwaka Jana. Yaani ilikuwa vituko na aibu kubwa.

Hivi ni kweli Tundu Lissu hakuweka matangazo kwenye nguzo na barabarani Kama alivyoweka mwenzake nchi nzima😀😀😀 na bado akawa anaogopwa??😀😀

Ila Lisu Kiboko tuacheni utani.
Lisu ni Kiboko Kwa sababu kuu ifuatavyo;

1. Kapigwa RISASI za kutosha tuu lakini hajabadili msimamo wake.
Tumeshawaona wanasiasa wengi wakitishiwa kidogo tuu wanasalimu amri, wengine wakipigwa wanakaa kimya, lakini Kwa Lisu 😀😀

Jambo hili wengi hatuliwezi.

Katika Siasa za TANZANIA, Rekodi ambayo haitavunjwa kirahisi ni rekodi ya Tundu Antipas Lisu, na miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa.

Kiongozi hawezi kuwa Kiboko Kwa kujenga sijui miundombinu kwani mtu yeyote anaweza fanya hivyo akipewa Madaraka Ila anakuwa kiboko Kwa kupitia Mateso na Hali ngumu na bado asibadilishe msimamo wake.

Ni Kama vile kina Yesu WA Nazareth, Stephano aliyepigwa mawe mpaka Kufa, kina Nelson Mandela n.k

Je, wewe ni mwanasiasa yupi unayehisi ni Kiboko ambaye Lisu ni chamtoto?
Mpiganaji hawezi kukimbia uwanja wa vita. Anamuachia nani sasa apigane iwapo yeye aliamua kuwa mstari wa mbele
 
Na kwa kuweka kumbukumbu sawa jamaa mpka anatokomea kuzimu ckuwah msikia akilitaja jina la huyu mwamba hadharan
Katika Siasa za TANZANIA, Rekodi ambayo haitavunjwa kirahisi ni rekodi ya Tundu Antipas Lisu, na miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa.
 
Nakwambia miaka mitano iliyopita imeonyesha wazi kuwa nchi hii watu wasiowaoga hawafiki 10.
aibu sana najihisi...lakini ukweli ndio huo japo ni ngumu kumesa bwashee........wengi ni HEROES BEHIND KEYBOARDS.. be blessed
 
hata hivyo sifa kuu ya Lissu ni mwanaharakati na sio mwanasiasa!

na ni mwanaharakati 100%, kwa vitendo na kwa maneno! arguably the greatest tumewahi kuwa nae hapa nchini....... kina Mtikila wakasome!


Aisee!! Habari hizi tumeziona Kwa macho yetu wenyewe, zingine tulihadithiwa tungesema uongo lakini hizi tumeziona Kwa macho yetu wenyewe.

Hakika tunajivunia kuwa Zama hizi na kuyashuhudia mambo haya.

Mambo haya ingekuwa zamani yangewekwa kwenye misahafu na leo tungesoma katika mahekalu
 
aibu sana najihisi...lakini ukweli ndio huo japo ni ngumu kumesa bwashee........wengi ni HEROES BEHIND KEYBOARDS.. be blessed



😀😀😀😀

Mimi mwenyewe nilijiona kaoga Fulani hivi sema nikajificha kwenye kichaka cha utoto Kama utetezi wangu🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Back
Top Bottom