Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #61
Mbowe ndio anashikiria msimamo wa Lissu?
Kama Lissu alikubaliana na Mbowe kuhusu Lowassa maana yake hana msimamo kama wanasiasa wengine.
Unless kama una tafsiri yako nyingine kuhusu msimamo.
Wengine wote hatuwajui lkn magu sio shujaa na mjinga kafa kwa COVIDTundu Lissu hakuweka matangazo kwasababu za kibajeti, mfumo Dola uliokuwepo pamoja na umaarufu aliokuwa nao baada ya kuja kugombea akitokea Belgium.
Utawekaje matangazo bila idhini ya DED, na huyo DED alikuwa hajipendi?
Kwa vyovyote vile Mbowe alilazimika kumweka Lissu dhidi ya Magufuli, lakini Lissu dhidi ya mtu mwingine hawezi kuwa na impact sana.
Abadili msimamo ili iwe vipi ?
Maana binafsi ninachojua, Lissu alitakata kuuawa, sasa kubadili msimamo ili uungane tena na watu waliotaka kukuua maana yake hata watu duniani uliokuwa unawahubiria kuwa hao watu ni wabaya watakuona MPUUZI tu.
Jifunze tena kuhusu binadamu. Naona hujawajua vizuri.
Dunia hii unayoiona, kuna watu wanamwona IDDI AMINI ni SHUJAA, MOBUTU ni SHUJAA, GADDAFF ni SHUJAA, MUGABE ni SHUJAA, MAGUFULI ni SHUJAA.
Vile vile kuna watu wanamwona NYERERE HAFAI, MANDELA HAFAI.
Narudia tena JIFUNZE TENA KUHUSU AKIKI ZA BINADAMU.
Hata Lissu ana la kujibu katika hilo! So Mbowe akiamua chochote kile yeye anafuata blindly??? Then hana msimamo!! Slaa alikuwa karibu zaidi na Mbowe kuliko Lissu lakini still alisimamia msimamo wake na akajitoa, matokeo yake akaambuliwa kutukanwa na hao akina Lissu na watu wake na kumuita mzee wa kula mihogo!! Wanasema mtu mzima akikosea huchutama, August 2015 CDM (Wote, not only Mbowe) walifanya kosa kubwa sana ambalo litawafuata kwa miaka mingi ijayo😀😀😀😀
Unataka nimtetee?
Hapo wakulaumiwa ni Mbowe ndio maana Mimi simuamini Sana mbowe lakini kwenye Siasa za upinzani Lisu anamsimamo wa kiwango cha juu.
Kwahiyo hicho cheo alichonacho sasa hivi ndicho kimemfanya kuwa na msimamo,Kipindi kile Lisu Hakuwa na Cheo alichonacho sasa hivi, walikuwepo kina Slaa na mbowe
Lisu alikuwa mpiga Debe na Mwanasheria wa CHADEMA
Wewe na familia yako hamuwezi kuona ushujaa wake^miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa^
Ni wazi unakiri kwamba hana wafuasi wowote wanaomkubali katika kizazi cha sasa. Kama walio naye leo hawamwoni kama shujaa, hatuwezi kutarajia lolote jipya kwa kizazi kijacho.
Hayo yangewezekana kwa jeshi dhaifu kama la Congo au Mozambique, sio hapa JMT. Hata angekuwa na wanajeshi waliofuzu 10000, asingeweza kuchukua chochote, na hakuna mtu angeongea hayo 'mengine' kama ulivyosema. Sio rahisi hivyo.Maalim Seiph sina uhakika, hata Mbowe sina uhakika.
Ila Kwa Lisu hata adui zake wanalijua hili kuwa jamaa ni Kiboko.
Hata JPM mwenyewe akiamshwa sasa hivi aulizwe hapa TANZANIA Nani chuma atakutajia Tundu Lisu HAO wengine atakuambia ni uzani wa Kati, Lisu ni Heavy weight ambaye kama angekuwa na Jeshi tuu la watu elfu tatu lenye Mafunzo ya kijeshi sasa hivi tungeongea mengine.
Lowasa sahivi yupo wapi? CHADEMA ni malaika wao hawakosei? poorHata Lissu ana la kujibu katika hilo! So Mbowe akiamua chochote kile yeye anafuata blindly??? Then hana msimamo!! Slaa alikuwa karibu zaidi na Mbowe kuliko Lissu lakini still alisimamia msimamo wake na akajitoa, matokeo yake akaambuliwa kutukanwa na hao akina Lissu na watu wake na kumuita mzee wa kula mihogo!! Wanasema mtu mzima akikosea huchutama, August 2015 CDM (Wote, not only Mbowe) walifanya kosa kubwa sana ambalo litawafuata kwa miaka mingi ijayo
Hata Lissu ana la kujibu katika hilo! So Mbowe akiamua chochote kile yeye anafuata blindly??? Then hana msimamo!! Slaa alikuwa karibu zaidi na Mbowe kuliko Lissu lakini still alisimamia msimamo wake na akajitoa, matokeo yake akaambuliwa kutukanwa na hao akina Lissu na watu wake na kumuita mzee wa kula mihogo!! Wanasema mtu mzima akikosea huchutama, August 2015 CDM (Wote, not only Mbowe) walifanya kosa kubwa sana ambalo litawafuata kwa miaka mingi ijayo
Hizi sasa ni ramli za mchana kweupe, Tundu Lisu hakushambuliwa kwa sababu za kisiasa, kuna biashara nyuma ya pazia iliyomtokea puani. Haya huwakuta wengi tu sema yeye anajificha kwenye kivuli cha siasa, kama kesi ya Mbowe tu na matukio yake ya kigaidi.Katika Siasa za TANZANIA, Rekodi ambayo haitavunjwa kirahisi ni rekodi ya Tundu Antipas Lisu, na miaka ijayo baada ya Sisi kuondoka hapa Duniani kuna kizazi kitamuona shujaa huku adui zake wakionekana kuwa walikuwa dhaifu na sifa zote watanyang'anywa.
Hayo yangewezekana kwa jeshi dhaifu kama la Congo au Mozambique, sio hapa JMT. Hata angekuwa na wanajeshi waliofuzu 10000, asingeweza kuchukua chochote, na hakuna mtu angeongea hayo 'mengine' kama ulivyosema. Sio rahisi hivyo.
Ameni.MUNGU alitulipia deni la Lissu kwa mauti
Asante mkuuAmeni.
Mada yako ni ngumu kidogo mtu kufunguka kwa uwazi maana kwa aliyopitia Lissu yataka moyo, ila kuna mikanganyiko mingi sana jinsi tukio lenyewe lilivyotokea na hadi leo hii kipi kinaendelea kuhusu tukio hilo!! Ishu kubwa zaidi ni jitihada zinazofanyika kumficha shahidi namba moja (Dereva) ambaye naamini kwa utawala uliopo sasa angeweza kurudi na asidhurikeMwendazake ninaweza kumuamini Kwa mengi tuu.
Ila hapa nazungumzia msimamo wa Lisu sijasema namuamini Lisu au Lisu aaminiwe.
Nazungumzia ujasiri wake wengi hatuna.
Sasa ujasiri kwenye nini hiyo ni mada nyingine
Mpuuzi wewe, kwanini mlificha CCTV kamera na mkatoa askari pale eneo la viongozi?Hizi sasa ni ramli za mchana kweupe, Tundu Lisu hakushambuliwa kwa sababu za kisiasa, kuna biashara nyuma ya pazia iliyomtokea puani. Haya huwakuta wengi tu sema yeye anajificha kwenye kivuli cha siasa, kama kesi ya Mbowe tu na matukio yake ya kigaidi.
Haya ni mawazo nitakayobaki nayo kipindi wengine wakimpa cheo cha ushujaa dalali wa mabeberu aliyetaka kudalalia nchi yetu kwa mgongo wa elimu ya sheria.
Dereva angekufa uchunguzi usingefanyika?Mada yako ni ngumu kidogo mtu kufunguka kwa uwazi maana kwa aliyopitia Lissu yataka moyo, ila kuna mikanganyiko mingi sana jinsi tukio lenyewe lilivyotokea na hadi leo hii kipi kinaendelea kuhusu tukio hilo!! Ishu kubwa zaidi ni jitihada zinazofanyika kumficha shahidi namba moja (Dereva) ambaye naamini kwa utawala uliopo sasa angeweza kurudi na asidhurike
Hamna asiyekosea, ishu inakuja pale mkosaji anaposhupaza shingo kwamba alikuwa right! Haijalishi Lowasa yupo wapi kwa sasa, ila uamuzi wa August 2015 ulikuwa ni uamuzi wa hovyo zaidi kupata kutokea katika historia ya vyama vingi nchi hiiLowasa sahivi yupo wapi? CHADEMA ni malaika wao hawakosei? poor
Kumbe unatambua kuwa Chadema sio malaika! Tulieni basi mnapoambiwa Mbowe anatuhuma za ugaidi.Lowasa sahivi yupo wapi? CHADEMA ni malaika wao hawakosei? poor
Lakini si yupo CCM?Hamna asiyekosea, ishu inakuja pale mkosaji anaposhupaza shingo kwamba alikuwa right! Haijalishi Lowasa yupo wapi kwa sasa, ila uamuzi wa August 2015 ulikuwa ni uamuzi wa hovyo zaidi kupata kutokea katika historia ya vyama vingi nchi hii
Umesema ANGE..., as long as yupo hai anaweza kurahisha uchunguzi, ya nini kuhangaika wakati mtu ambaye alishuhudia tukio live yupo na anarushwa rushwa tu sehemu mbalimbali? Ishu ilikuwa angekuja kipindi cha mwendazake usalama wake ungekuwa hatarini, then why asije sasa amwage kila kitu hadharani?Dereva angekufa uchunguzi usingefanyika?