Ila waganga mmh, hayaa

Mlidanganya hamliwi kumbe mnaliwa chekii hii
 
We tayari nini? Daaah... Tupe story ilikuaje? 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwa miaka mingi hiyo tabia imekuwapo,,Kuna jamaa alikua anausaka utajiri akapigiwa MKE ,,,bintiye na mwisho nae akapigwa pipe...na hayo yanafanywa ili MTU atajirike,,,binadamu tuko wapuuzi sana
 
Kwa miaka mingi hiyo tabia imekuwapo,,Kuna jamaa alikua anausaka utajiri akapigiwa MKE ,,,bintiye na mwisho nae akapigwa pipe...na hayo yanafanywa ili MTU atajirike,,,binadamu tuko wapuuzi sana
Hatarii
 
Unaona ndio nimeona namimi nikastaajabu hadi aibu Sasa mie ni mara mbili me na ke wanapigwa mashine hatari.
Mie sikuwai shuhudia ila jamaa ya mganga anaejua Yule mganga n tapeli ndo aliyamwaga hayo ilikua miaka ya 2010,,,,so probably ME walioliwa na waganga n wengi sana
 
Mie sikuwai shuhudia ila jamaa ya mganga anaejua Yule mganga n tapeli ndo aliyamwaga hayo ilikua miaka ya 2010,,,,so probably ME walioliwa na waganga n wengi sana
Aisee kali
 
Sasa huyo Me ,,shaft ilizama vipi nae au ndo michezo yake ....???[emoji23]
 
Aisee kali
Kuna dada alikua analalamika kwa mwenzie kuwa nimeenda kwa mganga akasema aniingizie dawa kwenye utumbo ,,,ikabidi nimwambie ukweli kuwa tusiweke dawa ndani ya mwili kwani natumia arv,,,,anasema mganga akasema Basi ntakupa ya kuoga,,,,nikajua mganga alitaka kuchana Malinda[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sema hii naisikiaga inawakuta sana wale wanawake wasio na uzazi.
 
Mtoa mada tupatie experience yako!
Nilipendwa na mkaka mara rafiki yangu akamdaka mpenzi wangu Kwa ndumba basi Kwa mapenzi moto moto nilienda kwetu Kwa tambiko hlili arudi na alirudi soon nitasemaga ukweli not now
 
Nilipendwa na mkaka mara rafiki yangu akamdaka mpenzi wangu Kwa ndumba basi Kwa mapenzi moto moto nilienda kwetu Kwa tambiko hlili arudi na alirudi soon nitasemaga ukweli not now
Mapenzi mubashara!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…