Ila wanaume na nyie mnataka nini?

Women have nothing to be accountable for. Everything they put blame on men except their periods.
 
Mwanaume kukusaidia hela mkiwa kwenye mahusiano ni sawa.
Ila isiwe too much.

Kama hajakuoa kwann unambebea Mimba?!
Hata kama umekaa nae miaka 5 kwa mahusiano, kama hajakuweka ndan au kakuweka ila kwao/kwenu hawajui kama Mnapika na kupakua, usibebe Mimba ya Mwanaume.

Maisha yamebadilika, sikuhizi tunataka wanawake wenye akili,
Wanaojua kutoa mawazo ambayo yatakufungua fikra, wenye heshima, wanaojua kutunza /kutafuta hela.
Wanaojua budget nk nk

Sasa mtu kazi ni kutoa K na kuomba tu hela.
My furend. Mbususu itatwangwa had unazeeka.
Utabak kusema una nuksi kumbe huna akili za maisha..
 
Naomba Mawasiliano Yako Bibie Anasta Kama Hutojali Kuna Jambo Nahitaji Kukung'ata Kasikio Naamini Itakuwa Kibingwa Mnoo,,Nakupenda..!!
Tena Kuna nn๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ