Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 1,056
- 2,118
- Thread starter
-
- #41
๐น๐น๐นHakuna tu nimeuliza tu hata sina Sababu kiukweli ๐
Women have nothing to be accountable for. Everything they put blame on men except their periods.Unakuta mtu upo serious nae ajawai kukushirikisha anapitia nn anapitia hard tym gani baadae ukiombwa ela oh huoni napitia wakati uliwai niambia?๐
Mtu unakaa nae for like 3yrs na kuendelea kanapata mimba unakuja et Sina malengo nae asa iyo miaka mlikua mnafanya mwenzio kaona mna malengo afu unazingua?๐๐พ
Aya et nyie mna offer et pussy tu hamjawai kuongea constructive ideas na mpenzi wako mkikutana ni kulana tu kusema ukweli nikapata mtu atakua anataka malengo lazima ntakucheat niende kwake?๐
Sio Kila single mama alipenda awe ivyo jaman msituchoshe mnakwaza!๐น๐น๐
Stay focused #2025 #2026#2027.
We nae๐น๐๐พWomen have nothing to be accountable for. Everything they put blame on men except their periods.
Yaah sio favour, unapswa kuwa straight kama uko na price tagNa sisi tukitaka ela tukiwachezea tumeamua kumove on sio favour mmefanya so Kila mtu tuseme sio favour kamfanyia mwenzie
Huo ndo ukweliWe nae๐น๐๐พ
Ahahahah..kama una jema vile kumbe akikaa vibaya unamlamba unasonga mbele ๐๐Dada Anastasia21 mambo๐ค
Asante๐Wanawake jitahidini muwe na malengo makubwa zaidi ya ku sleep around
Ndio tunaeka price Kuna lingine linataka mahusiano ili asiwe anatoa price yoyote ๐Yaah sio favour, unapswa kuwa straight kama uko na price tag
Tena Kuna nn๐น๐นNaomba Mawasiliano Yako Bibie Anasta Kama Hutojali Kuna Jambo Nahitaji Kukung'ata Kasikio Naamini Itakuwa Kibingwa Mnoo,,Nakupenda..!!
Je kipi kimekushangaza?Wanataka katikati tu huko kuoa ni mpaka wapate wanayemtaka wao
๐น๐นSawaHuo ndo ukweli
Naunga mkono hoja wanawake wa kiafrika wana vipaumbele vya ajabu sana, ndio maana mwisho wa siku hudhalilika.Wanawake jitahidini muwe na malengo makubwa zaidi ya ku sleep around
Sawa wanaume wa ughaibuniNaunga mkono hoja wanawake wa kiafrika wana vipaumbele vya ajabu sana, ndio maana mwisho wa siku hudhalilika.
Kuna Jambo Nahitaji Kukung'ata KasikioTena Kuna nn๐น๐น
Badilikeni dunia ya sasa ni mchaka mchaka hakuna mtu kwa sasa anafanya uwekezaji wa mapenzi, ni kuchapa kazi tu , gademit.Sawa wanaume wa ughaibuni
Nishaji ng'ata niambie sasa๐น๐นKuna Jambo Nahitaji Kukung'ata Kasikio