Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 1,056
- 2,118
- Thread starter
- #101
NakujaDaah, umeamua kuja kuya sema hapa rudi home tuyamalize mommy!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakujaDaah, umeamua kuja kuya sema hapa rudi home tuyamalize mommy!
Tuache utani upo ivyo nijilengeshe 😹😹🙌🏾Mhm limbwata ndio likitu gani hilo na wewe?
Kinachoshangaza ni kutaka katikati kwa Kila mwanamke alafu waoe wengine...Je kipi kimekushangaza?
Mwanakondooo kashinda,Tumfuate!!!
Tunaenda na kasi ya mabadiliko ya teknolojiaKumbe mwenyeji wa telegram kiongozi😹
Copy that roger"The Suspect Is Considered Armed And Dangerous, Do Not Engage, I Repeat Do Not Engage. Over"
Kwa Hiyo Mpango Wangu Mamii Juu Ya Ung'ataji Wa kijisikio Kako,,Nangoja Neno Lenye Adhma Njema Toka Kwako Anasta21Sawa posta😹
iongoziTunaenda na kasi ya mabadiliko ya teknolojia
Jilengeshe tu ila sina garentii isije sikika milio humu kwa I'd tofauti tofauti ,gademit 😂Tuache utani upo ivyo nijilengeshe 😹😹🙌🏾
Ahahaha..kwaresma ndio kitu gani na hiyo njia ya msalaba ndio nini linapokuja suala la mbunye?😂😂Hapana mkuu nipo kwaresima najiaandaa njia ya msalaba 😁
Ngoja mfungo uishe tusherekee upate jibu😹Kwa Hiyo Mpango Wangu Mamii Juu Ya Ung'ataji Wa kijisikio Kako,,Nangoja Neno Lenye Adhma Njema Toka Kwako Anasta21
Tena 😹😹 wtf is this man?Jilengeshe tu ila sina garentii isije sikika milio humu kwa I'd tofauti tofauti ,gademit 😂
Sawa Mamii,,Shaka Ondoa Ni Tayari Kungoja,,Uwe Na Siku Njema.Ngoja mfungo uishe tusherekee upate jibu😹
Black black white white 😂Tena 😹😹 wtf is this man?
Inyatie tu hadi uikamate.Black black white white 😂
Umeona maendeleo fulani nini mkuu?🤣Inyatie tu hadi uikamate.
Nyingine nauza karibu mtejaBora nika vute bhangi tu.
😹😹😹😹Inyatie tu hadi uikamate.
Ulimjibu vizuri vipi reaction yake ikawaje?Tatizo mwanamke ukimuambia ukweli wa kila kitu huwa anakudharau, ..mke wangu aliniambia eti niwe namshirikisha kwenye mambo yangu nikamuambia haiwezekani kwa sababu wewe huchangii chochote hapa zaidi ya kula na kulala, siku na wewe ukiweza kuchangia hata 10000 Tu ya matumizi nitakushirikisha.....