Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
MarasmicNyingine nauza karibu mteja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MarasmicNyingine nauza karibu mteja
😹😹😹Umeona maendeleo fulani nini mkuu?🤣
Kumekucha🙌🏾Nitakushirikishaje hayo mambo yangu halafu najua huna cha kunisaidia zaidi ya kunipa pole tu?
nimegundua unataka tu ujue vyanzo vyangu vya mapato then ujue kama nakufaa au la! yaani hapa i don't date you with money in the line maana nakujua ukijua kuna kitu unafaidika nacho basi utaendelea kubaki kwa ajili ya hicho kitu.
nitakuhudumia ila ukiwa na hela yako ndio tutachangiana mawazo na nitakushirikisha. Yaani nakushirikisha jambo nikihitaji support na najua unaweza ukasaidia. Otherwise, napambana mwenyewe!
Sipendi mwanamke mvivu na tegemezi, unachojua ni kutoa mbususu tu na kusema shida zako.
Iyo haipatikan ipo meth 🙌🏾Marasmic
Kama inataka kujaa hiviUmeona maendeleo fulani nini mkuu?🤣
Amekuwa mnyonge sana hana furaha😁😁😁😁 shida ya mwanamke ukimuowa anataka akutawale wewe muowaji na mali zako.....Naona alitaka kutumia kigezo Cha kushirikiana kunitawala😂😂......Ulimjibu vizuri vipi reaction yake ikawaje?
PointTatizo mwanamke ukimuambia ukweli wa kila kitu huwa anakudharau, ..mke wangu aliniambia eti niwe namshirikisha kwenye mambo yangu nikamuambia haiwezekani kwa sababu wewe huchangii chochote hapa zaidi ya kula na kulala, siku na wewe ukiweza kuchangia hata 10000 Tu ya matumizi nitakushirikisha.....
Wewe asili yako ndiyo hii wala sio vinginevyo.lazima ntakucheat niende kwake?😈
📌📌📌📌Haya mambo yapo pande zote
MaskiniAmekuwa mnyonge sana hana furaha😁😁😁😁 shida ya mwanamke ukimuowa anataka akutawale wewe muowaji na mali zako.....Naona alitaka kutumia kigezo Cha kushirikiana kunitawala😂😂......
😹😹💃🏾Wewe asili yako ndiyo hii wala sio vinginevyo.
Pole sana dada Anastasia21 ngoja nikushauri kitu kabla ujazaa na mwanaume lazima ujue Kwanza yeye Kama yeye anataka mtoto sio kwa kulazimisha yeye mwenyewe ndio anatakiwa akuambie, ukitaka kujua mwanaume ambaye ana malengo na wewe lazima akutambilishe kwa watu wake wa karibu Kama vile ndugu, Atakuambia kazi anayofanya, atakuheshimu na hata kupa ushauri na kuongoza kwenye Mambo yako binafsi.Suala la kuficha Mambo binafsi either ni changamoto or anything hili lipo karibia wanaume wote, tunaweza kuwashirikisha wanawake wachache hasa wale wenye mchango wa moja kwa moja ambao tunajua kabisa wanajua kushauri vizuri lakini pia wanaweza pia wanamchngo hata wa helaUnakuta mtu upo serious nae ajawai kukushirikisha anapitia nn anapitia hard tym gani baadae ukiombwa ela oh huoni napitia wakati uliwai niambia?😎
Mtu unakaa nae for like 3yrs na kuendelea kanapata mimba unakuja et Sina malengo nae asa iyo miaka mlikua mnafanya mwenzio kaona mna malengo afu unazingua?🙌🏾
Aya et nyie mna offer et pussy tu hamjawai kuongea constructive ideas na mpenzi wako mkikutana ni kulana tu kusema ukweli nikapata mtu atakua anataka malengo lazima ntakucheat niende kwake?😈
Sio Kila single mama alipenda awe ivyo jaman msituchoshe mnakwaza!😹😹😏
Stay focused #2025 #2026#2027.
Kumbe 📌Pole sana dada Anastasia21 ngoja nikushauri kitu kabla ujazaa na mwanaume lazima ujue Kwanza yeye Kama yeye anataka mtoto sio kwa kulazimisha yeye mwenyewe ndio anatakiwa akuambie, ukitaka kujua mwanaume ambaye ana malengo na wewe lazima akutambilishe kwa watu wake wa karibu Kama vile ndugu, Atakuambia kazi anayofanya, atakuheshimu na hata kupa ushauri na kuongoza kwenye Mambo yako binafsi.Suala la kuficha Mambo binafsi either ni changamoto or anything hili lipo karibia wanaume wote, tunaweza kuwashirikisha wanawake wachache hasa wale wenye mchango wa moja kwa moja ambao tunajua kabisa wanajua kushauri vizuri lakini pia wanaweza pia wanamchngo hata wa hela
Sitaki mwanamke mwenye ka mdomo, eti anajifanya kunishauri, eti anataka kufahamu ninafanya kazi wapi na ninaingiza shilingi ngapi....😁😁Maskini
Ndio kabisa na michango nakuja kukusanya mnisaidie tule na mwanangu😹kwaiyo wakati unampanulia Kei haukujua kuwa kitakachofuata ni nini? mbona wakati mnakulana haukutushirikisha jukwaani hapa! utajua mwenyewe single maza mtarajiwa, sasa jiajiri kwenye ujasiriauchi tu hakuna namna.
Asa ndoa ulifanya ya nnSitaki mwanamke mwenye ka mdomo, eti anajifanya kunishauri, eti anataka kufahamu ninafanya kazi wapi na ninaingiza shilingi ngapi....😁😁
Wanaume wote ni mbwa, umesahau?Unakuta mtu upo serious nae ajawai kukushirikisha anapitia nn anapitia hard tym gani baadae ukiombwa ela oh huoni napitia wakati uliwai niambia?😎
Mtu unakaa nae for like 3yrs na kuendelea kanapata mimba unakuja et Sina malengo nae asa iyo miaka mlikua mnafanya mwenzio kaona mna malengo afu unazingua?🙌🏾
Aya et nyie mna offer et pussy tu hamjawai kuongea constructive ideas na mpenzi wako mkikutana ni kulana tu kusema ukweli nikapata mtu atakua anataka malengo lazima ntakucheat niende kwake?😈
Sio Kila single mama alipenda awe ivyo jaman msituchoshe mnakwaza!😹😹😏
Stay focused #2025 #2026#2027.