Ila wanaume na nyie mnataka nini?

Ila wanaume na nyie mnataka nini?

Unakuta mtu upo serious nae ajawai kukushirikisha anapitia nn anapitia hard tym gani baadae ukiombwa ela oh huoni napitia wakati uliwai niambia?😎

Mtu unakaa nae for like 3yrs na kuendelea kanapata mimba unakuja et Sina malengo nae asa iyo miaka mlikua mnafanya mwenzio kaona mna malengo afu unazingua?🙌🏾

Aya et nyie mna offer et pussy tu hamjawai kuongea constructive ideas na mpenzi wako mkikutana ni kulana tu kusema ukweli nikapata mtu atakua anataka malengo lazima ntakucheat niende kwake?😈

Sio Kila single mama alipenda awe ivyo jaman msituchoshe mnakwaza!😹😹😏

Stay focused #2025 #2026#2027.
pole binti yangu ndio ukubwa jalala
 
Unakuta mtu upo serious nae ajawai kukushirikisha anapitia nn anapitia hard tym gani baadae ukiombwa ela oh huoni napitia wakati uliwai niambia?😎

Mtu unakaa nae for like 3yrs na kuendelea kanapata mimba unakuja et Sina malengo nae asa iyo miaka mlikua mnafanya mwenzio kaona mna malengo afu unazingua?🙌🏾

Aya et nyie mna offer et pussy tu hamjawai kuongea constructive ideas na mpenzi wako mkikutana ni kulana tu kusema ukweli nikapata mtu atakua anataka malengo lazima ntakucheat niende kwake?😈

Sio Kila single mama alipenda awe ivyo jaman msituchoshe mnakwaza!😹😹😏

Stay focused #2025 #2026#2027.
Pussy tyuu, pussy tyuu.
Ikifika point ya 'malengo' tunageuka makobe tunanywea nyiiiih, kichwa ndani kabisa kwenye jumba😁😁😆🤣🤣😜.
Lakini jamani miaka mitatu yote hiyo nawe bint ni bubu?

Unapigwa miti kimya kimya kama mnawanga, hamuongei hata mawili matatu ukauelewa msimamo wa huyo fuska wako?

Makosa yapo kwenu pia, kule kufikiri kwa kutumia kichwa cha mtu mwingine kipange malengo ya kukufurahisha wewe huku ukitumika.
 
Wanaume watafanya kazi Kwa jasho na mwanamke atazaa Kwa uchungu andiko limesema na halijasema tufanye kazi Ili tujileee [emoji3][emoji3] Mzee baba fany kazi ugawe jasho lako [emoji3]
Asante📌📌😎
 
Kwanini ubebe mimba bila kumshirikisha in advance kwamba unahitaji kuwa mama (tu-assume mimba haikuwa ya Bahati mbaya I.e.kalenda iliyumba)., though haifanyi huyo mwanaume akwepe majukumu ya kutoa matunzo (matunzo yapo pale pale)

Uwe mwanamke au mwanaume ukigegedana bila condom, outcome ni mimba na magonjwa ya zinaa hivyo ikitokea kimojawapo kama wewe hiyo mimba hilo ni lako mpaka pale msababishi wa mimba ataonyesha dhamira ya kukuoa lakini asipoonyesha dhamira ya kuoa hapaswi kulaumiwa kwa kuwa lengo lenu lilikuwa ni kugegedana

Hata mwanaume pia, akiambiwa amesababisha mimba hata kama hataki kuoa, lazima wallet itoboke atoe matunzo.
Na wale walio kwenye ndoa zao tayari, inakuwaje?
 
🤣😂🤣😂🤣😂😂🤣😂
 

Attachments

  • TikTok_7476274486531198216.mp4
    404.8 KB
Unakuta mtu upo serious nae ajawai kukushirikisha anapitia nn anapitia hard tym gani baadae ukiombwa ela oh huoni napitia wakati uliwai niambia?😎

Mtu unakaa nae for like 3yrs na kuendelea kanapata mimba unakuja et Sina malengo nae asa iyo miaka mlikua mnafanya mwenzio kaona mna malengo afu unazingua?🙌🏾

Aya et nyie mna offer et pussy tu hamjawai kuongea constructive ideas na mpenzi wako mkikutana ni kulana tu kusema ukweli nikapata mtu atakua anataka malengo lazima ntakucheat niende kwake?😈

Sio Kila single mama alipenda awe ivyo jaman msituchoshe mnakwaza!😹😹😏

Stay focused #2025 #2026#2027.
Mimba umepigwa, na kuachwa umeachwa. Mimi kuna mazingira mengine huwa nasema ni sawa tu mpate haya mnayofanyiwa. Mwanamke serious hawezi kukubali kuchezewa hovyo. Mnajirahisisha sana sasa sisi hatuwezi kukataa kitonga mserereko.
 
Back
Top Bottom