Ila Watanzania tulio wengi tuna maisha magumu sana!

Ila Watanzania tulio wengi tuna maisha magumu sana!

Down To Earth

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
21,940
Reaction score
16,643
Nasikitika sana kuona hii hali mtaani, yaani mtu ananishangaa kuona naweka vocha ya elfu kumi naweka bando la mwezi mzima😭😭, nimesikitika mno, tena sana. Hali ya maisha huku mtaani ni ngumu. Sasa jirani zangu kila nikionekana wanaomba tu salio la kupiga kwa wapendwa wao.

Kwa kweli wakati nashangaa mnatoa wapi hela za kununua Iphone 16 (6.8mil) kumbe na mimi nina watu wanashangaa wapi napata 10k ya bando la mwezi😅😅😂😂😂
 
Nasikitika sana kuona hii hali mtaani, yaani mtu ananishangaa kuona naweka vocha ya elfu kumi naweka bando la mwezi mzima[emoji24][emoji24]

nimesikitika mno, tena sana... hali ya maisha huku mtaani ni ngumu.

sasa jirani zangu kila nikionekana wanaomba tu salio la kupiga kwa wapendwa wao...

kwa kweli wakati nashangaa mnatoa wapi hela za kununua Iphone 16 (6.8mil) kumbe na mimi nina watu wanashangaa wapi napata 10k ya bando la mwezi[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kwamba wana shangaa kiasi kikubwa cha pesa unacho weka, hapana wana kushanga ujinga wako umevaa shati ya mtumba ya sh 2000 tu, unaweka vocha ya sh 10,000........huo ni aina ya ujinga.
 
Sio kwamba wana shangaa kiasi kikubwa cha pesa unacho weka, hapana wana kushanga ujinga wako umevaa shati ya mtumba ya sh 2000 tu, unaweka vocha ya sh 10,000........huo ni aina ya ujinga.
sio shati la 2000 tu mkuu ila toka ninunue hili shati mwaka 2017 pale mabibo sokoni DSM bado linanifaa hadi leo😅😅😅

cha pili hili bando linaniingizia elfu 80 mpaka laki 1 kwa wiki...
Screenshot_20240926-090940.jpg
 
Nimeishi sana changanyiken familia nyingi zinakula Milo miwili tu hapa mjini Tena asubuh Kila mtu anajitafutia kitafunwa ila jion ndo chakula kinapikwa Kwa wote yaan ni tafran nyama Buchan zimepanda bei Kuna familia hazijui lini zilikula nyama ya ngombe nchi watu wanaishi Ili mrad uhai uzima na pumzi ipo
 
Back
Top Bottom