Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Wanashindia chips kavu na tomato ya kumwaga...Wengi kula tu ni shida. Mfano watu wa Dar wengi wembamba kwasababu hawana lishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanashindia chips kavu na tomato ya kumwaga...Wengi kula tu ni shida. Mfano watu wa Dar wengi wembamba kwasababu hawana lishe
na msio na hela mnaenda kausha damu mnashenyentwaHeeeh jamani, yaani buku 10 yote hiyo bando tu🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Kuna watu mna helaaaa!!
Bora uunge bando la 10k Mara moja kuliko kununua izo jero jeroNasikitika sana kuona hii hali mtaani, yaani mtu ananishangaa kuona naweka vocha ya elfu kumi naweka bando la mwezi mzima😭😭, nimesikitika mno, tena sana. Hali ya maisha huku mtaani ni ngumu. Sasa jirani zangu kila nikionekana wanaomba tu salio la kupiga kwa wapendwa wao.
Kwa kweli wakati nashangaa mnatoa wapi hela za kununua Iphone 16 (6.8mil) kumbe na mimi nina watu wanashangaa wapi napata 10k ya bando la mwezi😅😅😂😂😂
Ila sio corollaIST hata laki 3 unauziwa ni uwezo wako tu wa ku bargain
Hahahaha mbavu zangu. Hawa ndugu zetu tuingilie kati tu maana wanatia huruma viswahili vingi. Tukiwaambia warudi huku hawataki.Wanashindia chips kavu na tomato ya kumwaga...
Aisee basi acha niendelee kuweka wa afu 3Ukiweka umeme wa pesa hyo Tanesco wanakubadlilishia matumizi. Unakuwa large scale industry.