Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakikisha Tatu analipa deni lake lote kisha msalimie sana.sio shati la 2000 tu mkuu ila toka ninunue hili shati mwaka 2017 pale mabibo sokoni DSM bado linanifaa hadi leo😅😅😅
cha pili hili bando linaniingizia elfu 80 mpaka laki 1 kwa wiki...
View attachment 3107050
Matajiri wa JF ni wengi sana sana hahahahaahhaaaNasikitika sana kuona hii hali mtaani, yaani mtu ananishangaa kuona naweka vocha ya elfu kumi naweka bando la mwezi mzima😭😭, nimesikitika mno, tena sana... hali ya maisha huku mtaani ni ngumu. Sasa jirani zangu kila nikionekana wanaomba tu salio la kupiga kwa wapendwa wao...
Kwa kweli wakati nashangaa mnatoa wapi hela za kununua Iphone 16 (6.8mil) kumbe na mimi nina watu wanashangaa wapi napata 10k ya bando la mwezi😅😅😂😂😂
Mimi nalipia 70k unlimited bundle kila mwezi na ajira yangu ni mitandaoni..naweza had ingiza $1000 kwa mwezi...Sio kwamba wana shangaa kiasi kikubwa cha pesa unacho weka, hapana wana kushanga ujinga wako umevaa shati ya mtumba ya sh 2000 tu, unaweka vocha ya sh 10,000........huo ni aina ya ujinga.
😃😃😃😃😃😃 Ila wweSio kwamba wana shangaa kiasi kikubwa cha pesa unacho weka, hapana wana kushanga ujinga wako umevaa shati ya mtumba ya sh 2000 tu, unaweka vocha ya sh 10,000........huo ni aina ya ujinga.
Ametwezwa, naye kajishusha. Yuko sawa tu. Ameonyesha umuhimu wa bando analoweka kapuuzwa.Haya yote ya nini sasa?
Ukiweka umeme wa pesa hyo Tanesco wanakubadlilishia matumizi. Unakuwa large scale industry.Friji gani hilo la kula umeme wa 10m+
Laki tano inanunua IST ukitaka.....Unatupanga,luku mwisho laki tano kununua...
Una maisha magumu huku unaweza kuwa na smartphone na kununuwa data za kuja kubwabwaja na kuhororoja JF?Nasikitika sana kuona hii hali mtaani, yaani mtu ananishangaa kuona naweka vocha ya elfu kumi naweka bando la mwezi mzima😭😭, nimesikitika mno, tena sana. Hali ya maisha huku mtaani ni ngumu. Sasa jirani zangu kila nikionekana wanaomba tu salio la kupiga kwa wapendwa wao.
Kwa kweli wakati nashangaa mnatoa wapi hela za kununua Iphone 16 (6.8mil) kumbe na mimi nina watu wanashangaa wapi napata 10k ya bando la mwezi😅😅😂😂😂
Wala hujakosea uko sawa.Hii inatokana na sababu zifuatazoNasikitika sana kuona hii hali mtaani, yaani mtu ananishangaa kuona naweka vocha ya elfu kumi naweka bando la mwezi mzima😭😭, nimesikitika mno, tena sana. Hali ya maisha huku mtaani ni ngumu. Sasa jirani zangu kila nikionekana wanaomba tu salio la kupiga kwa wapendwa wao.
Kwa kweli wakati nashangaa mnatoa wapi hela za kununua Iphone 16 (6.8mil) kumbe na mimi nina watu wanashangaa wapi napata 10k ya bando la mwezi😅😅😂😂😂
Sawa si ana kiwandaMi niliwahi kuona mtu ananunua luku kwa pesa ambayo unaweza kwenda kununua IST
Hangaya hana sehemu nyingine ya kupata hela zaidi ya humo.Bei ya Vifurushi kwa mitandao yote Tanzania imekuwa janga. Sijui kwanini Serikali iliruhusu haya, ilhali wananchi wengi kuafford hivyo vifurushi ni shida. Nikijiuliza Serikali ipo kwaajili ya haya makampuni au wananchi nazidi kupata hasira..
Ulitakirika awamu ya 5?Hangaya hana sehemu nyingine ya kupata hela zaidi ya humo.
Huyu bibi toka awe rais na kumfanya magulu kuwa waziri wa fedha kila kitu kimepanda bei
Wengi kula tu ni shida. Mfano watu wa Dar wengi wembamba kwasababu hawana lisheNasikitika sana kuona hii hali mtaani, yaani mtu ananishangaa kuona naweka vocha ya elfu kumi naweka bando la mwezi mzima😭😭, nimesikitika mno, tena sana. Hali ya maisha huku mtaani ni ngumu. Sasa jirani zangu kila nikionekana wanaomba tu salio la kupiga kwa wapendwa wao.
Kwa kweli wakati nashangaa mnatoa wapi hela za kununua Iphone 16 (6.8mil) kumbe na mimi nina watu wanashangaa wapi napata 10k ya bando la mwezi😅😅😂
Wakati yy kwa wiki anaweka la,afu 30..maana akijiunga cha wiki kinaisha baada ya masaa..Sahihi mkuu kuna mtu nimemwambia nimetoka kuweka bundle la 20000 la internet gb22 ameshangaa sana