Ila Watanzania tulio wengi tuna maisha magumu sana!

Heeeh jamani, yaani buku 10 yote hiyo bando tuπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈ
Kuna watu mna helaaaa!!
 
Heeeh jamani, yaani buku 10 yote hiyo bando tuπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈ
Kuna watu mna helaaaa!!
na msio na hela mnaenda kausha damu mnashenyentwa
 
Bora uunge bando la 10k Mara moja kuliko kununua izo jero jero
 
Wanashindia chips kavu na tomato ya kumwaga...
Hahahaha mbavu zangu. Hawa ndugu zetu tuingilie kati tu maana wanatia huruma viswahili vingi. Tukiwaambia warudi huku hawataki.
Dar ni kwa wenye hela masikini ni mates sana.
 
Kuna mtu nilimuazima kama laki na 30 hivi ,makubaliano yalikua anilipe tangu mwezi July, cha kushangaza kashindwa kulipa hilo deni dogo kiasi hicho,imebidi nisamehe tu sio kwa dana Dana anazonipiga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…