Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 998
Hayomaigizo yenu ya kitoto ondoeni hapaaa, yaaaani mtualiekaaa mkowa kushoto wa dereva wake apigwe mguuu wa kuria kwake halafu dereva yeye asipate atamchubuko, kweliii? Jambazi gani akupige za matakoni kwani huko kuna moyo?Muujiza si hili dubwasha mtu hajui hata kuongea katoboa...Mungu ana hesabu kali sana na Lissu kama unabisha chukua bunduki sa hiv kampige DUBWASHA 16 zinuingie kama hatujapata msiba wa kitaifa
Mbona unakuja na matusi badala ya kujibu hoja? Tumekatazwa matusi, tutoe hoja za maana. Kama ni miundombinu hata mkoloni alijenga tena kwa kiwango bora kuliko hiki cha dudu Jiwe. Lakini tuliwafukuza kwa kutukandamiza, kutuziba midomo, na kutweza utu wetu.Kuna Watu wengine huwa nawaza kwanini tu CORONA 'haikuondoka' nanyi kwani mnatuthibitishia kabisa kuwa hamna faida ya kuwepo Ulimwenguni kwakuwa Vichwani mwenu hakuna Tija na Madini ya Kuisaidia Tanzania Kimaendeleo.
Yaani Kampeni hazina hata Siku Saba ( 7 ) na zipo kwa Siku 62 halafu bado unataka 'Kuharakisha' JPM ayaseme yote kwa mara moja. Kampeni za Uchaguzi zina 'Mbinu' zake hasa katika Kuvutia Watu, Kuwapiku 'Kihoja' Wapinzani wako, Kuwasoma na pia kufanya 'Timing' ya uhakika ili Malengo yako yatimie.
Huko Vyuo Vikuu mlienda Kujifunza tu Kujisaficha Mikono baada ya kutoka Haja Kubwa tu au? Mnakera!
Nimeipenda aya yako ya mwisho ambapo umeungana na watanzania wengi wanohoji serikali kututangazia kwamba tupo uchumi wa kati. kwa hayo mapungufu uliyoyasema kwenye hii aya ya mwisho na ukizingatia tangu tupate uhuru mwaka 1961 ni CCM tu inatawala, hakuna haja ya kuichagua tena CCM. Hata kama CCM itashinda lakini siyo kwa kura yangu.Mimi ningeshangaa km angeongelea suala la mishahara na madaraja au mikopo ya elimu ya juu masuala ambayo ni ya kundi fulani katika nchi. Nchi hii ina zaidi ya watu 45 million, wengi wakiwa wakulima, wafanyabiashara wa chini na kati, sasa uanze kuongezea minority utakuwa Rais wa namna gani.
CCM wanatatibu kampeni na kunakuwa na ujumbe kwa kila eneo la kampeni akiongela kilichofanyika hapo, atakachofanya na anayo fanya kwa Taifa. Si jamaa yule kila mahali ni RISASI, madaraja, mikopo audience ni wafanyakazi na wanafunzi ukiongea mara moja ujumbe umefika huhitaji kwenda kuwaambia watu wa Bahi, kiteto na Shinyanga kwa wafugaji na wakulima.
Halafu wagombea waache porojo nani kasema madaraja hayapandi, nani kasema hakuna mikopo ya elimu ya juu? Km serikali imeweza ku subsidies gharama za elimu kwa elimu msingi awali hadi kidato cha nne I nawezaje kushindwa kwa mikopo elimu ya juu?. Watanzania wa leo sio vilaza kwamba ukibwabwaja tu watawaamini, tafuteni kura kwa Sera makini si kutaka huruma ya watumishi wa Umma na wanafunzi.
Kwa taarifa yenu kundi mnalohangaika nalo ni dogo na wala halijawatuma, nyie ndo mnawatia gundu tu. Mnajifanya kusahau kuwa nchi hii bado inategemea kilimo na huko vijijini bado zana ni duni, teknolojia ya usindikaji ni ndogo au hamna, masoko ni tabu na zaidi kwa nchi yenye mito, maziwa, mabonde, na mvua nzuri bado tu nategemea kilimo cha kuangalia mawingu kisicho na tiba.
Nchi yenye mapori, majani n. k bado wafugaji wanachunga badala ya kufunga kisasa au hajui hata nchi km Namibia ambayo ni jangwa inatuzidi kwa kusafirishwa nje matunda na nyama wao wamewezaje? Jamaa yule si alitembea sana vipi mbona sioni alicholeta kutushawishi namna ya kuboresha maisha ya anataka wampe dhamana.?. WINO UMEISHA NINGEENDELEA.
Nimeweka hiyo Aya kwa maana sioni wapinzani wakiongea popote, kwa upande wa serikali najua zipo jitihada mfano kuna Kiwanda cha ngozi Moshi kinaendelea kujenga na kipo zaidi ya 90% kukamilika. Na ccm ipo na Sera ya viwanda, kuna viwanda vya usindikaji vinajengwa Muheza Tanga, kubangua korosho n. k. Hayo yote utayasikia mgombea akifika maeneo husika tega sikio.Nimeipenda aya yako ya mwisho ambapo umeungana na watanzania wengi wanohoji serikali kututangazia kwamba tupo uchumi wa kati. kwa hayo mapungufu uliyoyasema kwenye hii aya ya mwisho na ukizingatia tangu tupate uhuru mwaka 1961 ni CCM tu inatawala, hakuna haja ya kuichagua tena CCM. Hata kama CCM itashinda lakini siyo kwa kura yangu.
Nkajua unafika hafi kwa lissu ili na mm nkujibu vizur au nkusaidie kwa akili zako chache utataka kusema " kwa lissu ilikua mvua ya vyuma toka angani inanyesha na kwa bahati mbaya vikamdondokea"..maliza zote afu nikujibu au kama umemaliza nambie, na utaribu wa kuishia kati kama upo hadi kwenye ndoa yako nadhani shemeji atakuwa kakimbia[emoji23][emoji23]Wewe funga vidole vyako usiharibu key board bure hujui Mungu anavyofanyakazi. Labda ni kusaidie hivi, Akwilina ni muhanga parsee wa ulaghai wa cdm wa kuhamasisha maandamano na uasi.
Azori alikutwa na madhila katika eneo ambalo uasi wa kutumia silaha na ugaidi vilikuwa vinachipuka na kumea . Hivi wale askari 8 waliodondoshwa wakiwa kazini, viongozi wa ccm na wananchi wengine wengi walopoteza maisha huku kusini nani wa kuwasemea? Ina maana uhai wao thamani yake ni ya mnyama ndio sababu hawa kumbukwi. Mko kila siku mkikumbusha hawa mnao waona ni wenu ila wengine wote waliopoteza maisha wakikupigania ili uweze kuandika hiki unachoandika hapa huoni thamani ya maisha yao.
Umeona kampeni ya wagombea wa ccm leo Ikungi? Mungu ninaye muamini mimi wakati wana Waisraeli wanaiteka Yeriko na kuikalia aliwapa amri kuangamiza na kuteketeza kila kitu ndani ya mji ule mtoto , mke , mume, mnyama nk. Wote akasemema ni sadaka kwake. Chuma, shaba na dhahabu ndivyo vilivyo pona na kuwekwa katika hazina ya Bwana. Nini mamluki?
Akijibu nambie nipo chini ya mti navuta kiko.Kwanini walipelekwa na nani aliwapeleka na wakati wanapelekwa vip serikali ya ccm ilikua likizo au?.na je uyu mgombea wa sasa alikua sehemu ya hiyo serikali au?
Sikujua najibizana na nani kuandika "KULIA" huwezi unaandika "KURIA" ndo maana kumbeeHayomaigizo yenu ya kitoto ondoeni hapaaa, yaaaani mtualiekaaa mkowa kushoto wa dereva wake apigwe mguuu wa kuria kwake halafu dereva yeye asipate atamchubuko, kweliii? Jambazi gani akupige za matakoni kwani huko kuna moyo?
Acha uzwazwaa
Halafu jamaa yenu anavyopenda kiki za ujuaji wa sheria, angekua hajaripoti mahakamani??
Kamuuulize kwanini hataki kwenda kuripoti mahakamaniiiii
Ebana,safari hii piga chini muuaji!Ikulu ni sehemu takatifu,si pango la wauaji!