Uchaguzi 2020 Ilani ya CCM 2020: Mkitupa kura ndani ya miaka 5 tutatengeneza ajira milioni 8

Uchaguzi 2020 Ilani ya CCM 2020: Mkitupa kura ndani ya miaka 5 tutatengeneza ajira milioni 8

Muujiza si hili dubwasha mtu hajui hata kuongea katoboa...Mungu ana hesabu kali sana na Lissu kama unabisha chukua bunduki sa hiv kampige DUBWASHA 16 zinuingie kama hatujapata msiba wa kitaifa
Hayomaigizo yenu ya kitoto ondoeni hapaaa, yaaaani mtualiekaaa mkowa kushoto wa dereva wake apigwe mguuu wa kuria kwake halafu dereva yeye asipate atamchubuko, kweliii? Jambazi gani akupige za matakoni kwani huko kuna moyo?
Acha uzwazwaa
Halafu jamaa yenu anavyopenda kiki za ujuaji wa sheria, angekua hajaripoti mahakamani??
Kamuuulize kwanini hataki kwenda kuripoti mahakamaniiiii
 
Hivi mnataka JPM aongee nini tena? yote aliyoyaongea kwenye kampeni 2015

kayaanza mengine kayatimiza,sasa mnataka saivi awa ahidi uongo ili mje mumsute 2020?

mimi nadhani JPM angetakiwa kipnd hiki cha kampeni akipanda jukwaani Akae kwenye kiti

Wananchi wapewe maiki,watu wapige story na RAIS wao maana hiki ndio kipindi ni rahisi

kuonana na JPM face to FACE mkiwa zero distance kuliko kipindi kingine chochote,hivyo

ungekua wakati mzuri kwa rais kupga story tu na apewe kikombe cha kahawa,Hamna kuongea

kitu hapa,n sawa na wewe uende saloon kunyoa umpe maelekezo kinyozi ninyoe hivi na vle

ukamaliza kila kitu,akashika mashine ndani ya dk 5,umeme unakatika.Inawabidi msubiri umeme urudi

ili kinyozi aendelee kukunyoa.Umeme ukisharudi sidhani kama kuna maelezo mengine yanahtajika

kumpa kinyozi,maana tayari kazi ya kunyoa alishaanza na anajua akunyoe vipi,nk sasa ktk hili

Sisi (mimi na Team JPM wote) ni wanyolewaji na kinyozi wetu ni JPM,ila bahati mbaya sasa hivi

tupo ktk mGAO WA UMEME tunasubiri urudi kinyozi wetu aendelee pale pale alipoishia mwanzo.
 
Wewe unamchukia kuliko nyaa, hivyo huwezi kuona jipya
 
Mimi ningeshangaa km angeongelea suala la mishahara na madaraja au mikopo ya elimu ya juu masuala ambayo ni ya kundi fulani katika nchi. Nchi hii ina zaidi ya watu 45 million, wengi wakiwa wakulima, wafanyabiashara wa chini na kati, sasa uanze kuongezea minority utakuwa Rais wa namna gani.


CCM wanatatibu kampeni na kunakuwa na ujumbe kwa kila eneo la kampeni akiongela kilichofanyika hapo, atakachofanya na anayo fanya kwa Taifa. Si jamaa yule kila mahali ni RISASI, madaraja, mikopo audience ni wafanyakazi na wanafunzi ukiongea mara moja ujumbe umefika huhitaji kwenda kuwaambia watu wa Bahi, kiteto na Shinyanga kwa wafugaji na wakulima.


Halafu wagombea waache porojo nani kasema madaraja hayapandi, nani kasema hakuna mikopo ya elimu ya juu? Km serikali imeweza ku subsidies gharama za elimu kwa elimu msingi awali hadi kidato cha nne I nawezaje kushindwa kwa mikopo elimu ya juu?. Watanzania wa leo sio vilaza kwamba ukibwabwaja tu watawaamini, tafuteni kura kwa Sera makini si kutaka huruma ya watumishi wa Umma na wanafunzi.

Kwa taarifa yenu kundi mnalohangaika nalo ni dogo na wala halijawatuma, nyie ndo mnawatia gundu tu. Mnajifanya kusahau kuwa nchi hii bado inategemea kilimo na huko vijijini bado zana ni duni, teknolojia ya usindikaji ni ndogo au hamna, masoko ni tabu na zaidi kwa nchi yenye mito, maziwa, mabonde, na mvua nzuri bado tu nategemea kilimo cha kuangalia mawingu kisicho na tiba.

Nchi yenye mapori, majani n. k bado wafugaji wanachunga badala ya kufunga kisasa au hajui hata nchi km Namibia ambayo ni jangwa inatuzidi kwa kusafirishwa nje matunda na nyama wao wamewezaje?

Jamaa yule si alitembea sana vipi mbona sioni alicholeta kutushawishi namna ya kuboresha maisha ya anataka wampe dhamana.?. WINO UMEISHA NINGEENDELEA.
 
Kuna Watu wengine huwa nawaza kwanini tu CORONA 'haikuondoka' nanyi kwani mnatuthibitishia kabisa kuwa hamna faida ya kuwepo Ulimwenguni kwakuwa Vichwani mwenu hakuna Tija na Madini ya Kuisaidia Tanzania Kimaendeleo.

Yaani Kampeni hazina hata Siku Saba ( 7 ) na zipo kwa Siku 62 halafu bado unataka 'Kuharakisha' JPM ayaseme yote kwa mara moja. Kampeni za Uchaguzi zina 'Mbinu' zake hasa katika Kuvutia Watu, Kuwapiku 'Kihoja' Wapinzani wako, Kuwasoma na pia kufanya 'Timing' ya uhakika ili Malengo yako yatimie.

Huko Vyuo Vikuu mlienda Kujifunza tu Kujisaficha Mikono baada ya kutoka Haja Kubwa tu au? Mnakera!
Mbona unakuja na matusi badala ya kujibu hoja? Tumekatazwa matusi, tutoe hoja za maana. Kama ni miundombinu hata mkoloni alijenga tena kwa kiwango bora kuliko hiki cha dudu Jiwe. Lakini tuliwafukuza kwa kutukandamiza, kutuziba midomo, na kutweza utu wetu.
 
Magufuli alipokuwa anagombea ubunge chato alizoea kupitishwa na tume bila upinzani.

Leo hii kawa Rais anawataka wagombea wenzake wamuachie yeye abaki peke yake akiamini kwamba yeye ni so special kwenye uwezo wa kuongoza nchi.

Kweli watz mlipatikana mlipowekewa huyu jamaa awe rais wenu.
 
Mimi ningeshangaa km angeongelea suala la mishahara na madaraja au mikopo ya elimu ya juu masuala ambayo ni ya kundi fulani katika nchi. Nchi hii ina zaidi ya watu 45 million, wengi wakiwa wakulima, wafanyabiashara wa chini na kati, sasa uanze kuongezea minority utakuwa Rais wa namna gani.

CCM wanatatibu kampeni na kunakuwa na ujumbe kwa kila eneo la kampeni akiongela kilichofanyika hapo, atakachofanya na anayo fanya kwa Taifa. Si jamaa yule kila mahali ni RISASI, madaraja, mikopo audience ni wafanyakazi na wanafunzi ukiongea mara moja ujumbe umefika huhitaji kwenda kuwaambia watu wa Bahi, kiteto na Shinyanga kwa wafugaji na wakulima.

Halafu wagombea waache porojo nani kasema madaraja hayapandi, nani kasema hakuna mikopo ya elimu ya juu? Km serikali imeweza ku subsidies gharama za elimu kwa elimu msingi awali hadi kidato cha nne I nawezaje kushindwa kwa mikopo elimu ya juu?. Watanzania wa leo sio vilaza kwamba ukibwabwaja tu watawaamini, tafuteni kura kwa Sera makini si kutaka huruma ya watumishi wa Umma na wanafunzi.

Kwa taarifa yenu kundi mnalohangaika nalo ni dogo na wala halijawatuma, nyie ndo mnawatia gundu tu. Mnajifanya kusahau kuwa nchi hii bado inategemea kilimo na huko vijijini bado zana ni duni, teknolojia ya usindikaji ni ndogo au hamna, masoko ni tabu na zaidi kwa nchi yenye mito, maziwa, mabonde, na mvua nzuri bado tu nategemea kilimo cha kuangalia mawingu kisicho na tiba.

Nchi yenye mapori, majani n. k bado wafugaji wanachunga badala ya kufunga kisasa au hajui hata nchi km Namibia ambayo ni jangwa inatuzidi kwa kusafirishwa nje matunda na nyama wao wamewezaje? Jamaa yule si alitembea sana vipi mbona sioni alicholeta kutushawishi namna ya kuboresha maisha ya anataka wampe dhamana.?. WINO UMEISHA NINGEENDELEA.
Nimeipenda aya yako ya mwisho ambapo umeungana na watanzania wengi wanohoji serikali kututangazia kwamba tupo uchumi wa kati. kwa hayo mapungufu uliyoyasema kwenye hii aya ya mwisho na ukizingatia tangu tupate uhuru mwaka 1961 ni CCM tu inatawala, hakuna haja ya kuichagua tena CCM. Hata kama CCM itashinda lakini siyo kwa kura yangu.
 
Nimeipenda aya yako ya mwisho ambapo umeungana na watanzania wengi wanohoji serikali kututangazia kwamba tupo uchumi wa kati. kwa hayo mapungufu uliyoyasema kwenye hii aya ya mwisho na ukizingatia tangu tupate uhuru mwaka 1961 ni CCM tu inatawala, hakuna haja ya kuichagua tena CCM. Hata kama CCM itashinda lakini siyo kwa kura yangu.
Nimeweka hiyo Aya kwa maana sioni wapinzani wakiongea popote, kwa upande wa serikali najua zipo jitihada mfano kuna Kiwanda cha ngozi Moshi kinaendelea kujenga na kipo zaidi ya 90% kukamilika. Na ccm ipo na Sera ya viwanda, kuna viwanda vya usindikaji vinajengwa Muheza Tanga, kubangua korosho n. k. Hayo yote utayasikia mgombea akifika maeneo husika tega sikio.

Lakini la msingi ni kutungwa kwa sheria ya mifugo ya mwaka 2020 ambayo imerekebisha gharama za tozo ya chanjo ya mifugo, kutoa ruzuku ya dawa ya kuogesha mifugo na kuhimiza ufugaji wa kisasa Sera ambazo wapinzani hawana.

Mara fao la kujitoa wakulima na wafugaji wananitoa wapi? Au machinga na wafanyabiashara wadogo wananitoa nini?.

Sera ya kupunguza kodi ili iweje, ukope zaidi? Kufuta vitambulisho vya wajasiriamali halafu unafanyaje ukishafuta?.

Bado sana kuwa na wapinzani wa kupewa nchi, wa jipange.
 
Tatizo la kuongea miaka mitano mfululizo peke yako huku wenzako ukiwapiga bit...sasa kashamaliza yote!!
Bila kuandaa fiesta kwa mikutano yake aisee angeaibika!! Wacha kina Mondi wamfichie siri.
 
Wewe funga vidole vyako usiharibu key board bure hujui Mungu anavyofanyakazi. Labda ni kusaidie hivi, Akwilina ni muhanga parsee wa ulaghai wa cdm wa kuhamasisha maandamano na uasi.

Azori alikutwa na madhila katika eneo ambalo uasi wa kutumia silaha na ugaidi vilikuwa vinachipuka na kumea . Hivi wale askari 8 waliodondoshwa wakiwa kazini, viongozi wa ccm na wananchi wengine wengi walopoteza maisha huku kusini nani wa kuwasemea? Ina maana uhai wao thamani yake ni ya mnyama ndio sababu hawa kumbukwi. Mko kila siku mkikumbusha hawa mnao waona ni wenu ila wengine wote waliopoteza maisha wakikupigania ili uweze kuandika hiki unachoandika hapa huoni thamani ya maisha yao.

Umeona kampeni ya wagombea wa ccm leo Ikungi? Mungu ninaye muamini mimi wakati wana Waisraeli wanaiteka Yeriko na kuikalia aliwapa amri kuangamiza na kuteketeza kila kitu ndani ya mji ule mtoto , mke , mume, mnyama nk. Wote akasemema ni sadaka kwake. Chuma, shaba na dhahabu ndivyo vilivyo pona na kuwekwa katika hazina ya Bwana. Nini mamluki?
Nkajua unafika hafi kwa lissu ili na mm nkujibu vizur au nkusaidie kwa akili zako chache utataka kusema " kwa lissu ilikua mvua ya vyuma toka angani inanyesha na kwa bahati mbaya vikamdondokea"..maliza zote afu nikujibu au kama umemaliza nambie, na utaribu wa kuishia kati kama upo hadi kwenye ndoa yako nadhani shemeji atakuwa kakimbia[emoji23][emoji23]
 
Kwanini walipelekwa na nani aliwapeleka na wakati wanapelekwa vip serikali ya ccm ilikua likizo au?.na je uyu mgombea wa sasa alikua sehemu ya hiyo serikali au?
Akijibu nambie nipo chini ya mti navuta kiko.
 
Hayomaigizo yenu ya kitoto ondoeni hapaaa, yaaaani mtualiekaaa mkowa kushoto wa dereva wake apigwe mguuu wa kuria kwake halafu dereva yeye asipate atamchubuko, kweliii? Jambazi gani akupige za matakoni kwani huko kuna moyo?
Acha uzwazwaa
Halafu jamaa yenu anavyopenda kiki za ujuaji wa sheria, angekua hajaripoti mahakamani??
Kamuuulize kwanini hataki kwenda kuripoti mahakamaniiiii
Sikujua najibizana na nani kuandika "KULIA" huwezi unaandika "KURIA" ndo maana kumbee
 
Nitapiga shangazi zenu subiri! Mtu wa hivyo awe na jipya kweli?
 
Mkuu unategemea jipya kwa mtu ambaye hata utu wake HAUTHAMINI na hujiita jiwe na kichaa?

Anajua hakustahili kuingia Ikulu 2015 na hastahili kuingia Ikulu 2020 ndiyo sababu anaikimbia wala hataki kuisikiaTume huru kwani itamuacha UCHI na hataki kusikia kura zihesabiwe hadharani.,
 
Hata hiyo miradi ya ujenzi anaojinasibu kuwa ndo mafanikio yake hakuna hata mmoja uliokamilika na kuleta "impact" katika uchumi.

Walipania SGR segment ya Dar-Moro kimalizika kabla ya uchaguzi wa mwaka huu ili "watulingishie" wapiga kura lakini amechemsha.

Ukweli ni kwamba anatakiwa ajitafakari na kujiridhisha kama ninkweli wapiga kura wanahitaji zaidi miradi yake ya ujenzi au ubora wa maslahi yanayowahusu wao kama raia. Vinginevyo atarajie kushindwa dhidi ya wapinzani wake wanaonadi sera zao juu ya maendeleo ya watu.
 
Ebana,safari hii piga chini muuaji!Ikulu ni sehemu takatifu,si pango la wauaji!

Hapo Singida vipi, nyumbani kwa msaliti Umejifunza chochote kitu? Nasikia kesha chukua advance ya kuwauza vikaragosi vyake kama wewe kwa AJEMMADU..
 
Back
Top Bottom