Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
😂 🤣 🤝CCM waongo sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 🤣 🤝CCM waongo sana.
Sijabisha...
Tanzania iko uchumi wa katiDeni la taifa mpaka sasa ni 60t, uwezo wa kulilipa ukoje? Kipande cha Dar-Moro kilichotarajiwa kukamilika Dec 2019, mpaka sasa bado kukamilika. Ni muwekezaji gani anakuja zaidi ya mchina aliyekuja na $10b kwenye bandari ya Bagamoyo akagomewa? Hakuna muwekazaji yoyote toka Western anaweza kuja kwenye nchi ambayo wenye Bureau de change walioporwa fedha zao mchana kweupe na dola, na ikaonekana ni uzalendo. Watu wa Western wanajua bado kuna vimelea vya Unyerere vya kutaifisha mali za wawekezaji.
Tanzania iko uchumi wa kati
Uhuni mtupu.