Ile haikuwa back pass bali ni subortage pass!!

Ile haikuwa back pass bali ni subortage pass!!

Kwani Awesu Awesu yuko wapi ?
Huyo dogo anaidharau sana Simba.
Siku ile anajibu kwa dharau kabisa kuwa hakuna mchezaji anaye mwona bora pale Simba.

Inamaana yeye ndio Best player pale Simba.
Yaani akina Shabalala ni cha mtoto kwake.

Nina uhakika yupo Simba ki maslahi tu.
 
hapo golikipa ndiye kavuruga. Huo haukuwa mpira wa kumshinda kwanza ulikuwa umelengwa nje ya goli, golikipa alitakiwa kuutuliza kifuani halafu na augawe mbele, lakini yeye akacheza kama beki na kuu-deflect mpira kwenda golini huku akiwa peke yake wala hakukabwa na mshambulizi yeyote
Huna unachojua kuhusu mpira mkuu,ungenyamaza t
 
Leo kulikuwa na uchale wa kupitiliza, goli la kwanza ni uchale, kadi nyekundu pia ni uchale kuliko wa Chaplin.
Goli la simba halikuwa na shida yoyote, hata kadi nyekundu, nyie magoli halali hadi yafungiwe katikati ya uwanja?
 
Scars kapagawa haongei kiswahili tena ni kithungu tu, dah! mpira huu bora ushabikie familia yako tu maana mambo mengine huwezi kuControl
Hahahaaa. Kabisa ndugu yangu.

Ila wamejua kuchanganyikiwa bana. 🤣
 
Back
Top Bottom