Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,335
- 1,967
Pengine zipo nyingi tu ila wamechagua hiyo!Huko ni kujichosha tu.Hakuna njia nyingine za kufika Israel zaidi ya hiyo?Hizboollah wanao gudemagudema?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pengine zipo nyingi tu ila wamechagua hiyo!Huko ni kujichosha tu.Hakuna njia nyingine za kufika Israel zaidi ya hiyo?Hizboollah wanao gudemagudema?
Uko sahihi kabisa.hamas wanatosha kuipiga israel,wanachofanya houth ni kumdhoofisha israel kiuchumi...baada ya vitu kuisha kila kitu kitajiweka hadharani,hivi tunavyozungumza hali tete huko israel
Wee lalamika lakini hakuna kitu utabadilishaHii kauli IDF waliambiwa wathibitishe na wakakosa ushahidi.
Katika hao raia hakukupatikanika silaha wala kisu cha mwanamgambo.
Hayo madai unayoyaleta Israel mpaka ICJ walishindwa kuthibitisha mkuu.
Kinachonishangaza ni ukimya wa.Hizbullah.Mbona kama wamewasaliti.wenzao?Lengo linafahamika.
Ni kukata mirija na kuvuruga uendeshaji uchumi wa Israel ili vita ikome Gaza na matakwa yatimizwe.
Kama kuhusu kupigana na Israel Hizbollah wapo.
Ila meli za biashara shirika na Israel hazipaswi pita bahari nyekundu.
Mie silalamiki bro bali nasema kilichopo na nachokifaham.Wee lalamika lakini hakuna kitu utabadilisha
Hizbullah anachukua hatua kwa mipaka,maana haihitaji kuingia vita ya ujumla na ikazidi kudhohofisha uchumi wa Lebanon.Kinachonishangaza ni ukimya wa.Hizbullah.Mbona kama wamewasaliti.wenzao?
Wewe akili yako mbona kama panzi, kwahyo ndo umefurahi mwenyewe, mabwabwa siku zote akili zao zipo.makalioni kama wewe.Israel hata izame hawana shida ikizama na wao wanazamisha gaza nyumba za Gaza kibao wanazamisha chini kwa kuziporomosha na makombira maelfu wanakosa makazi na kulala nje tofauti na meli yenye wafanyakazi 20 wa melini kwa hasira.
Kuwa zamisha meli moja ya wafanyakazi 20 halafu Israel inaporomosha majengo yenye wakazi laki moja wakose mahali pa kuishi nani zaidi hapo?
Hamas wanatosha kuifanya nini Israel?Vichekesho hivi.hamas wanatosha kuipiga israel,wanachofanya houth ni kumdhoofisha israel kiuchumi...baada ya vitu kuisha kila kitu kitajiweka hadharani,hivi tunavyozungumza hali tete huko israel
Nini kitabadilika?Mie silalamiki bro bali nasema kilichopo na nachokifaham.
Hakuna kitakachobadilika ila angalau watu watapata fahamu ukweli tofauti na ule uongo waliouzoea.Nini kitabadilika?
Hamas inatosha kumpiga Israel.Hamas wanatosha kuifanya nini Israel?Vichekesho hivi.
Sahihi.Watoke nyuma ya mawowo ya akina mama wawanalize "magaidi ya kiyahudi"!Hamas inatosha kumpiga Israel.
Eneo lipiHizbullah kwa Israel muda huu ni tishio kubwa na ndio maana Israel inashambuia kwa tahadhari kubwa na Marekani inaogopa sana hivyo vita.
Kuna eneo la Israel muda wote limezingirwa na Hizbullah kwa nyuzi 270.Vita vikianza kwa kasi kama vile vya mwaka 2016 basi Hizbullah wana uwezo wa kuliteka hilo eneo na Israel baada ya majeraha ya Gaza hawana nguvu za kuwasukuma nyuma Hizbullah kirahisi.
Ghaza ingepata huduma za uhakika kama mafuta , maji .na uhuru wa kuijgiza malighafi yoyote kama afanyavyo isrelei mbona Israeli ingekoma .Hamas wanatosha kuifanya nini Israel?Vichekesho hivi.
Usiwe punguani unashikiwa akili tumua akili uliyopewa na Mungu yaani Hamas wanajificha kwa raia Israel anapiga mabomu nyumba anauwa watato na raia wasiyokuwa na hatia halafu Hamas wanapona🤣🤣Kwa sababu ujificha kwa raia
Labda we unaetumia kamasi kufikri ujificha kwa raia kama targetUsiwe punguani unashikiwa akili tumua akili uliyopewa na Mungu yaani Hamas wanajificha kwa raia Israel anapiga mabomu nyumba anauwa watato na raia wasiyokuwa na hatia halafu Hamas wanapona🤣🤣
Magaidi ni raia pia. Ngoja wachapwe tuYani nilichomaanisha zaidi tofauti na hiko mkuu Hamas na makundi mengine yanalenga MAMLAKA za Israel ila Israel inalenga raia.
Ndio sawa jamaa akutie kofi(Hamas and allies) wewe ulipize kwa mtotowe(Gaza residents).
Sina cha kukujibu maana ulichoongea ni mtihaniMagaidi ni raia pia. Ngoja wachapwe tu
Hayo madai yalishathibitishwa ni uongo.Sahihi.Watoke nyuma ya mawowo ya akina mama wawanalize "magaidi ya kiyahudi"!