Ile meli imeshazama yote Houth wasema wataacha kushambulia Israel ikisitisha vita Gaza

Ile meli imeshazama yote Houth wasema wataacha kushambulia Israel ikisitisha vita Gaza

Israel hata izame hawana shida ikizama na wao wanazamisha gaza nyumba za Gaza kibao wanazamisha chini kwa kuziporomosha na makombira maelfu wanakosa makazi na kulala nje tofauti na meli yenye wafanyakazi 20 wa melini kwa hasira.

Kuwa zamisha meli moja ya wafanyakazi 20 halafu Israel inaporomosha majengo yenye wakazi laki moja wakose mahali pa kuishi nani zaidi hapo?

Hapo ni nani mwanaume! Anaezuia silaha zisiende kuuwa raia? Au anaeuwa Raia/watoto, wanalipua misikiti, makanisa, majumba, mahospital n.k?

Ni nani mwanaume kati yao?
 
Ni kama vile Hamas walipiga kidogo ndani ya Israel halafu Israel ikaenda kuua maelfu na kubomoa majengo 80% ya Gaza.
Jee kuna ulingano hapo
Iko hivi jambazi akikukosa na kisu mkate mkono ajue sio mchezo, maana anaweza nogewa akajua mnacheza akakukata shingo.
 
Back
Top Bottom