Ile pisi ni kali imenifanya mpaka niunde business card

Igweeeeee [emoji1666][emoji1666][emoji1666]
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwa hili suala blacks , we're good at it hata race zote zinatuheshimu kinouma kwenye ishu za kungonoka.
Na ndo Kuna mabinti wa kizungu ukiwasogelea wazazi wao hawataki wanajua wakionja mziki wetu hawarudi kwao Tena.
"" Once you go black you never come back"" wenyewe Wana kamsemo kao hako.
So watt wanaaminishwa mabaya about blacks so wadada wanakuwa Wana negative na sie.
Mana wanaogopa binti zao wakituonja wameisha. So kwao ni fedhaha kubwa Sana superior race kuolewa na inferior race inayoandamwa na umasikini,ujinga,ukabila,udini,vita ya wenyewe kwa wenyewe,umasikini,inayopenda ngono,inayopenda anasa na Music like,lazy,yaani basi tu Iq ndogo.
Badala ya kulingana tunatengana kisa ukabila cheki Ethiopia kinachotokea ,Rwanda kilitokea Nini na huku Kuna wapo wanaojiona kuwa wao ndio Bora kuliko wengine so wanafaa kumtawala wengine na kuwapangia Cha kufanya.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] duuh all the best nigga!! Ila umekosea business card inaenda na kibunda!!! Unampa business card na laki 1 unamwambia ya vocha iyo kuna namba yangu apo kwa card nicheki alafu unaondoka!!! Na unakuwa umepiga perfume ya kiboss haswa unamuacha na harufu ya kiboss kweri kweri lazima angekucheki... Umeenda kinyonge mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha pisi kali moja matata sana. Nilikua Mwanza kikazi. Mahali poa sana tukaondoka nayo hadi hotelini kwangu akagomea kuingia kwa kudai kulikuwa na party pale na si ajabu wanaomfahamu watakuwepo na wakimuona habari zitafika kwa BF basi usiku ule wa manane tukaanza kusaka hotel au guest house tulienda kama nane hivi zote zimejaa. Mrembo akasema nimechoka naomba nikalale tukutane kesho saa fulani mahali fulani nikasema sawa nikampeleka na uber hadi kwake nami nikaenda kulala huku udenda wangu ukiendelea kuchuruzika yule mwanamke jamani alikuwa mzuri sana na ngozi yake sasa utadhani ya mtoto!!! Kesho yake sikuzuka tena pale nilikuwa nimeshanuna hivyo nikabaki na ugwadu wangu 😩😩😩

 
Dah haya mambo bwana way back mwaka 2017 na 2018 nilikuwa nikitoka nairob break yakwanza kubadilisha fedhapale Dodoma karib na sheli ya gapco kuna benk moja hv siitaji kwa jina
Pisi kali sana kama msomali hv sema ndy hvyo tena sikufanikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…