dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hahahahaKwa hiyo umebaki na 99pcs ha ha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaKwa hiyo umebaki na 99pcs ha ha
Umenikumbusha pisi kali moja matata sana. Nilikua Mwanza kikazi. Mahali poa sana tukaondoka nayo hadi hotelini kwangu akagomea kuingia kwa kudai kulikuwa na party pale na si ajabu wanaomfahamu watakuwepo na wakimuona habari zitafika kwa BF basi usiku ule wa manane tukaanza kusaka hotel au guest house tulienda kama nane hivi zote zimejaa. Mrembo akasema nimechoka naomba nikalale tukutane kesho saa fulani mahali fulani nikasema sawa nikampeleka na uber hadi kwake nami nikaenda kulala huku udenda wangu ukiendelea kuchuruzika yule mwanamke jamani alikuwa mzuri sana na ngozi yake sasa utadhani ya mtoto!!! Kesho yake sikuzuka tena pale nilikuwa nimeshanuna hivyo nikabaki na ugwadu wangu [emoji30][emoji30][emoji30]
Kijana nimepewa ile business card yako, acha mara moja kumsumbua mke wanguHii technique itabidi itumike asipopiga,nitakula naye sahani moja labda awe mke wa mtu
AliitupaHajapiga mpaka muda huu. hapa nimeanza na mguu wa kushoto
Haa ha ha; du!Nilishawahi fukuzia Pisi moja benki flan nikatafuta mbinu ya kuipata nikakosa nikaumiza kichwa Sana.
Nikaja na mbinu moja nikawa nachukua hela toka NMB napeleka huko alipokua yeye... mda mwingine nachukua kwa mawakala napeleka pale kwa siku nikawa naenda pale Kama Mara kumi ...siku mbili zilitosha kupata namba mpka kesho nachakata tu na mtoto kanizalia ...!
unaacha kwa sababu ya her days wakati ushalipia...pelekea motoo peleka motoMkuu mbona unazunguka sana!
Chukua notes za dollar [emoji765] 100 kumi au Tshs 10,000 hadi ziwe za laki moja!
Then andika 1 hadi kumi kwenye zile notes, halafu andika number zako za simu hapo! Maana yake akienda unganisha zile note kuanzia moja hadi kumi,anapata number yako pale!
Mfano 1(0) 2(7) 3(6) 4(7) then unaendelea kuweka number zako! Mbona jioni utapokea simu na maneno ya shukrani nyingi,then potea kama week,nifanye uko busy,siku ukitoka naye out chakata mfugo,labda uwe on her days ndo uache!
nimepaishaMkuu umekosa penalt. Ila mchezo bado unaendelea.
FactMkuu, uoga utakunyima fursa nyingi
basi angesema,mbona hana peteKijana nimepewa ile business card yako, acha mara moja kumsumbua mke wangu
huko MC wananiita general[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kuna haja yakukupa cheo cha Luteni Kanali Mkuu,huna mchezo na pesa zako kabisa!
Wanawake gani hawaonekani mkuu.Usiwe na tamaa na wanawake wanaonekana na kila mtu,
Walinzi
Mama ntilie
Wafanyakazi wa bank
Utakuja kupotea kijana hao mpaka ww unawaona washakutana na watu wengi sana.
Hakuna mwanamke ambaye yupo single.We ingia kwenye 18 zake,fanya tu madoido,jiangushe,Refa ndio aamue inakuwaje.Wakati unampatia business card ungemuuliza tu 'are you single?' hapo lazima angekujibu
Mkuu ndio nimemwachia namba hajapiga. nisingeweza kumweleza pale kaunta,unawezaje kumwaga mistari watu foleni?Mkuu jiamini,mweleze dukuduku lako acha kuzungukazunguka.
Unaweza ukaparamia mke wa mtu ukaishia kupewa ulemavu kama kutobolewa macho n.kHakuna mwanamke ambaye yupo single.We ingia kwenye 18 zake,fanya tu madoido,jiangushe,Refa ndio aamue inakuwaje.
Mambo ya kuulizana usingle, sijui nini!?
Hahaaa labda umuulize kama ni single mama😂😂😂