Ile pisi ni kali imenifanya mpaka niunde business card

Ile pisi ni kali imenifanya mpaka niunde business card

Duuu haitakiwi uwe na njaa na asipokupa usiumie laki yako kwenda na unaanza zile Bora ningeifanyia hichi.
Ila siwezi toa hela yote kisa mbususu.
Mo mwenyewe akihonga kubwa Sana ni laki. C6 duu wa kibongo akina mooobeeeto Wana complain kuwa unatoka na bilionea afu unaambulia laki. Waweza ona how blacks we invest in sex. It takes much of our energy and our resources like brains,time,money.

Mie naenda na ratio ya Mo kuhonga.
Mo anamiliki dola bilioni 1+ so namie namiliki dola 10k.
So tafuta ratio ya laki to 1+ USD bilioni namie nayemiliki 10k USD natakiwa nihonge ngapi.

Kila la heri mkuu Kama unaitoa laki Kama sh Mia kwangu.
Mie Kuna demu ameshawahi niomba hela ndo amenipa namba nikaifuta.
Naamini anayekupenda hakuombi hela ama kukupiga mzinga
Mkuu uyo sio mimi nimemshauri tu jamaa angu! Maana anaonekana kazi kaielewa....!!! Sasa mkono mtupu haulambwi.... Maana hao viumbe wanacheza na hela muda wote kwaiyo huwa wao wenyewe wajilengeshaga kwa wateja wenye miamala mikubwa sasa ndugu lazima Ajikaze na ukikosa atulie ila hakuna kisichowezekana!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiwe na tamaa na wanawake wanaonekana na kila mtu,
Walinzi
Mama ntilie
Wafanyakazi wa bank

Utakuja kupotea kijana hao mpaka ww unawaona washakutana na watu wengi sana.
Manesi wauza maduka mawakalaa mabaaa medi na wengine wengi hao kwa siku wanakutana na wanaume wengi sana
 
Mkuu uyo sio mimi nimemshauri tu jamaa angu! Maana anaonekana kazi kaielewa....!!! Sasa mkono mtupu haulambwi.... Maana hao viumbe wanacheza na hela muda wote kwaiyo huwa wao wenyewe wajilengeshaga kwa wateja wenye miamala mikubwa sasa ndugu lazima Ajikaze na ukikosa atulie ila hakuna kisichowezekana!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes! exactly you said and you've done it.
Ishu ikiwa uko vizuri muamala huko adi demu ahesabu zile Zoro ziko ngapi Ila ,utapewa nyapu fasta bila hata kuitafuta ama kuihangaikia ukweli ndio huo.
Ukishakuwa na hadhi Fulani maku za mademu zinawashwa ziliwe na wewe.
Unadhani Cr7 anahangaika na mademu ama wao ndio wanaomsumbua. Like mond nyapu akazichoka Sana so hashoboki Mana ndizo zinazomtafuta.

Sasa ngoja uwe na akaunti Kama za kwetu Ile jicho Mara moja salio ni below milioni ama laki.
Wewe utatumia nguvu Sana kumpata demu yaani sana.utajifanya Kama unajua ku care,kuhonga ama gentleman.
Kuwa na jina afu mtokee demu yaani Ile fasta ameileta Mana yenyewe inadunda dunda inasumbuwa ama inawashwa kuliwa na mwanaume mwenye jina ambaye hahitaji kujitambulisha sie akina kapuku tutajitutumua unanijua mie no Nani.
Sasa anayejulikana hata hangaiki kujinadi kuwa mie ni Nani.

Tafuta hela weka lijighorofa wakipita wanahesabu hizi ziko ngapi ghorofa nakuambia utazikimbia.

Wahongaji na wazamaji wa uvinza ama baharini,wabembelezaji,wanaojua ku care, Mara kuchelewa kumaliza ili demu adate kiukweli hatuna kitu.
Sasa chelewa kumaliza,mfikishe kileleni,mjali mpe mapenzi yote,yaani honga Sana Ila Mo akisonta kidole demu anapanda kwa ndinga anapigwa kimoja tu na jamaa hahongi,hajamkojelesha demu na kesho yake Mo ndiye anayetafutwa wa kwanza.
 
Mpaka sasa najiuliza hivi ni mimi kweli nimefikia hatua ya kupelekwa puta na pisi.

Wakuu nipo Mwanza kuna pisi moja matata rangi nyeupe imenipiga ganzi nikienda kupata huduma kwenye moja ya taasisi za fedha hapa Mwanza.

Mara ya kwanza nimeenda pale hakukuwa na foleni kubwa kwa hiyo nikapata muda wa kupiga stori mbili tatu lakini kuomba namba nikaona soo kubwa (roho huuma sana nikiomba namba halafu ninyimwe). Lakini roho ilinisumbua sana,imeogopa kuomba namba halafu tena imeumia kukosa namba.

Ikabidi nikae kikao kujadili nini kifanyike. Nikapata wazo la kutengeneza business card itakuwa rahisi kumuachia. Nikaingia stationary wakanipa pieces 100. Siku hiyo hiyo nikatinga tena kwa pisi, iko pale counter inawaka hatari.

Kama kawaida nikaipa muamala wangu na stori mbili tatu,bahati nzuri ilikuwa inanikumbuka. Wakati inanipa docs nisaini nikaiachia business card.

Mimi: Madam sorry naomba nikuachie na business card yangu.
Pisi: Asante, lakini sasa nitaifanyia kazi gani,ya kazi gani (ikaweka pembeni yake)
Mimi: Baki nayo tu kuna contacts hapo
Pisi: Sawa ila siwezi kukupigia (ikanirudishia fomu za miamala)
Mimi: (Nikajifanya sijasikia,nikaaga).

Mpaka sasa yamepita masaa mengi pisi haijapiga wala sms. Wewe bidada kama upo humu najua unanipata. Niokoe kijana wa watu. Usipofanya hivyo kesho ntarudi tena
to yeye njoo umusikilize kijana wa watu haya ni maisha tu.
 
Duuu haitakiwi uwe na njaa na asipokupa usiumie laki yako kwenda na unaanza zile Bora ningeifanyia hichi.
Ila siwezi toa hela yote kisa mbususu.
Mo mwenyewe akihonga kubwa Sana ni laki. C6 duu wa kibongo akina mooobeeeto Wana complain kuwa unatoka na bilionea afu unaambulia laki. Waweza ona how blacks we invest in sex. It takes much of our energy and our resources like brains,time,money.

Mie naenda na ratio ya Mo kuhonga.
Mo anamiliki dola bilioni 1+ so namie namiliki dola 10k.
So tafuta ratio ya laki to 1+ USD bilioni namie nayemiliki 10k USD natakiwa nihonge ngapi.

Kila la heri mkuu Kama unaitoa laki Kama sh Mia kwangu.
Mie Kuna demu ameshawahi niomba hela ndo amenipa namba nikaifuta.
Naamini anayekupenda hakuombi hela ama kukupiga mzinga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Mpaka sasa najiuliza hivi ni mimi kweli nimefikia hatua ya kupelekwa puta na pisi.

Wakuu nipo Mwanza kuna pisi moja matata rangi nyeupe imenipiga ganzi nikienda kupata huduma kwenye moja ya taasisi za fedha hapa Mwanza.

Mara ya kwanza nimeenda pale hakukuwa na foleni kubwa kwa hiyo nikapata muda wa kupiga stori mbili tatu lakini kuomba namba nikaona soo kubwa (roho huuma sana nikiomba namba halafu ninyimwe). Lakini roho ilinisumbua sana,imeogopa kuomba namba halafu tena imeumia kukosa namba.

Ikabidi nikae kikao kujadili nini kifanyike. Nikapata wazo la kutengeneza business card itakuwa rahisi kumuachia. Nikaingia stationary wakanipa pieces 100. Siku hiyo hiyo nikatinga tena kwa pisi, iko pale counter inawaka hatari.

Kama kawaida nikaipa muamala wangu na stori mbili tatu,bahati nzuri ilikuwa inanikumbuka. Wakati inanipa docs nisaini nikaiachia business card.

Mimi: Madam sorry naomba nikuachie na business card yangu.
Pisi: Asante, lakini sasa nitaifanyia kazi gani,ya kazi gani (ikaweka pembeni yake)
Mimi: Baki nayo tu kuna contacts hapo
Pisi: Sawa ila siwezi kukupigia (ikanirudishia fomu za miamala)
Mimi: (Nikajifanya sijasikia,nikaaga).

Mpaka sasa yamepita masaa mengi pisi haijapiga wala sms. Wewe bidada kama upo humu najua unanipata. Niokoe kijana wa watu. Usipofanya hivyo kesho ntarudi tena
Duh...aisee...nimecheka sana kwa kweli...
 
Mpaka sasa najiuliza hivi ni mimi kweli nimefikia hatua ya kupelekwa puta na pisi.

Wakuu nipo Mwanza kuna pisi moja matata rangi nyeupe imenipiga ganzi nikienda kupata huduma kwenye moja ya taasisi za fedha hapa Mwanza.

Mara ya kwanza nimeenda pale hakukuwa na foleni kubwa kwa hiyo nikapata muda wa kupiga stori mbili tatu lakini kuomba namba nikaona soo kubwa (roho huuma sana nikiomba namba halafu ninyimwe). Lakini roho ilinisumbua sana,imeogopa kuomba namba halafu tena imeumia kukosa namba.

Ikabidi nikae kikao kujadili nini kifanyike. Nikapata wazo la kutengeneza business card itakuwa rahisi kumuachia. Nikaingia stationary wakanipa pieces 100. Siku hiyo hiyo nikatinga tena kwa pisi, iko pale counter inawaka hatari.

Kama kawaida nikaipa muamala wangu na stori mbili tatu,bahati nzuri ilikuwa inanikumbuka. Wakati inanipa docs nisaini nikaiachia business card.

Mimi: Madam sorry naomba nikuachie na business card yangu.
Pisi: Asante, lakini sasa nitaifanyia kazi gani,ya kazi gani (ikaweka pembeni yake)
Mimi: Baki nayo tu kuna contacts hapo
Pisi: Sawa ila siwezi kukupigia (ikanirudishia fomu za miamala)
Mimi: (Nikajifanya sijasikia,nikaaga).

Mpaka sasa yamepita masaa mengi pisi haijapiga wala sms. Wewe bidada kama upo humu najua unanipata. Niokoe kijana wa watu. Usipofanya hivyo kesho ntarudi tena
Hizi ni mbinu za kijeshi. Wakulungwa kibao wameshatumia kuopoa kazi na pisi kali hadi ndoa. Wewe unakuja kuzileta public unatuharibia michakato.


Matoto ya kiume ya siku hizi ya akili za kindezi kweli kweli.

Anyways. Kikao kijacho tutajadili namna ya kusimamisha uanachama wako kwa muda hadi utakapojirekebisha tabia na kuacha kutoa siri na mbinu za wakulungwa.
 
Umenikumbusha pisi kali moja matata sana. Nilikua Mwanza kikazi. Mahali poa sana tukaondoka nayo hadi hotelini kwangu akagomea kuingia kwa kudai kulikuwa na party pale na si ajabu wanaomfahamu watakuwepo na wakimuona habari zitafika kwa BF basi usiku ule wa manane tukaanza kusaka hotel au guest house tulienda kama nane hivi zote zimejaa. Mrembo akasema nimechoka naomba nikalale tukutane kesho saa fulani mahali fulani nikasema sawa nikampeleka na uber hadi kwake nami nikaenda kulala huku udenda wangu ukiendelea kuchuruzika yule mwanamke jamani alikuwa mzuri sana na ngozi yake sasa utadhani ya mtoto!!! Kesho yake sikuzuka tena pale nilikuwa nimeshanuna hivyo nikabaki na ugwadu wangu 😩😩😩
Uber ingekuwa guest
 
Back
Top Bottom