Ile pisi ni kali imenifanya mpaka niunde business card

Ile pisi ni kali imenifanya mpaka niunde business card

Mpaka sasa najiuliza hivi ni mimi kweli nimefikia hatua ya kupelekwa puta na pisi.

Wakuu nipo Mwanza kuna pisi moja matata rangi nyeupe imenipiga ganzi nikienda kupata huduma kwenye moja ya taasisi za fedha hapa Mwanza.

Mara ya kwanza nimeenda pale hakukuwa na foleni kubwa kwa hiyo nikapata muda wa kupiga stori mbili tatu lakini kuomba namba nikaona soo kubwa (roho huuma sana nikiomba namba halafu ninyimwe). Lakini roho ilinisumbua sana,imeogopa kuomba namba halafu tena imeumia kukosa namba.

Ikabidi nikae kikao kujadili nini kifanyike. Nikapata wazo la kutengeneza business card itakuwa rahisi kumuachia. Nikaingia stationary wakanipa pieces 100. Siku hiyo hiyo nikatinga tena kwa pisi, iko pale counter inawaka hatari.

Kama kawaida nikaipa muamala wangu na stori mbili tatu,bahati nzuri ilikuwa inanikumbuka. Wakati inanipa docs nisaini nikaiachia business card.

Mimi: Madam sorry naomba nikuachie na business card yangu.
Pisi: Asante, lakini sasa nitaifanyia kazi gani,ya kazi gani (ikaweka pembeni yake)
Mimi: Baki nayo tu kuna contacts hapo
Pisi: Sawa ila siwezi kukupigia (ikanirudishia fomu za miamala)
Mimi: (Nikajifanya sijasikia,nikaaga).

Mpaka sasa yamepita masaa mengi pisi haijapiga wala sms. Wewe bidada kama upo humu najua unanipata. Niokoe kijana wa watu. Usipofanya hivyo kesho ntarudi tena
Ungeomba simu yake

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kuna jamaa alikuwa anatoka na mke wa mtu,kilichotokea alipalalaizi viungo vyote vya mwili; sasa hivi ni marehemu
Hebu usitishe watu bwana we!! Aliparalize kwa magonjwa yake tu.
 
hilo ndiyo kosa kubwa nimefanya. niliamini salio la akaunti litashawishi
Mimi nimewahi kuomba live live uso mkavu na nikapata namba fresh tu.
Imeshakuwa mara 2 moja ilikuwa bank teller pale masaki jina la bank kapuni nikapewa akaandika na nyingine ni pale Makumbusho.
Wote nimeshapiga na marafiki zangu bado.
 
Hahahaha!.

Benki? Sehemu ambayo mtu huweza kuona salio lako bila tatizo. Ameshachungulia, akaona wewe bado.

Kuna pisi niliizimikia. Alikuwa teller PREMIER LOUNGE. Akanihudumia, nikamuomba aniangalizie salio, akaniandikia akanipa. Nikamuachia ya maji. Alinitafuta mwenyewe.

Achana na mambo ya business Card. Hiyo utawapa wanawake wajanja wanaojiweza. Hawa ambao bado wanapata 600k, wewe muombe account number.

Dumbukiza kama 200k. Namba atakupa mwenyewe.

Mengine mtamalizana mnavyojuana.
Hmmmmm
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] duuh all the best nigga!! Ila umekosea business card inaenda na kibunda!!! Unampa business card na laki 1 unamwambia ya vocha iyo kuna namba yangu apo kwa card nicheki alafu unaondoka!!! Na unakuwa umepiga perfume ya kiboss haswa unamuacha na harufu ya kiboss kweri kweri lazima angekucheki... Umeenda kinyonge mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuu haitakiwi uwe na njaa na asipokupa usiumie laki yako kwenda na unaanza zile Bora ningeifanyia hichi.
Ila siwezi toa hela yote kisa mbususu.
Mo mwenyewe akihonga kubwa Sana ni laki. C6 duu wa kibongo akina mooobeeeto Wana complain kuwa unatoka na bilionea afu unaambulia laki. Waweza ona how blacks we invest in sex. It takes much of our energy and our resources like brains,time,money.

Mie naenda na ratio ya Mo kuhonga.
Mo anamiliki dola bilioni 1+ so namie namiliki dola 10k.
So tafuta ratio ya laki to 1+ USD bilioni namie nayemiliki 10k USD natakiwa nihonge ngapi.

Kila la heri mkuu Kama unaitoa laki Kama sh Mia kwangu.
Mie Kuna demu ameshawahi niomba hela ndo amenipa namba nikaifuta.
Naamini anayekupenda hakuombi hela ama kukupiga mzinga
 


Mpaka sasa najiuliza hivi ni mimi kweli nimefikia hatua ya kupelekwa puta na pisi.

Wakuu nipo Mwanza kuna pisi moja matata rangi nyeupe imenipiga ganzi nikienda kupata huduma kwenye moja ya taasisi za fedha hapa Mwanza.

Mara ya kwanza nimeenda pale hakukuwa na foleni kubwa kwa hiyo nikapata muda wa kupiga stori mbili tatu lakini kuomba namba nikaona soo kubwa (roho huuma sana nikiomba namba halafu ninyimwe). Lakini roho ilinisumbua sana,imeogopa kuomba namba halafu tena imeumia kukosa namba.

Ikabidi nikae kikao kujadili nini kifanyike. Nikapata wazo la kutengeneza business card itakuwa rahisi kumuachia. Nikaingia stationary wakanipa pieces 100. Siku hiyo hiyo nikatinga tena kwa pisi, iko pale counter inawaka hatari.

Kama kawaida nikaipa muamala wangu na stori mbili tatu,bahati nzuri ilikuwa inanikumbuka. Wakati inanipa docs nisaini nikaiachia business card.

Mimi: Madam sorry naomba nikuachie na business card yangu.
Pisi: Asante, lakini sasa nitaifanyia kazi gani,ya kazi gani (ikaweka pembeni yake)
Mimi: Baki nayo tu kuna contacts hapo
Pisi: Sawa ila siwezi kukupigia (ikanirudishia fomu za miamala)
Mimi: (Nikajifanya sijasikia,nikaaga).

Mpaka sasa yamepita masaa mengi pisi haijapiga wala sms. Wewe bidada kama upo humu najua unanipata. Niokoe kijana wa watu. Usipofanya hivyo kesho ntarudi tena
 
Ukamuachia bussines card bila hela ya voucher unasubiri tu akutafute we endelea tu kusubiri akutafute
 
Back
Top Bottom