Ile pisi ni kali imenifanya mpaka niunde business card

Mkuu uyo sio mimi nimemshauri tu jamaa angu! Maana anaonekana kazi kaielewa....!!! Sasa mkono mtupu haulambwi.... Maana hao viumbe wanacheza na hela muda wote kwaiyo huwa wao wenyewe wajilengeshaga kwa wateja wenye miamala mikubwa sasa ndugu lazima Ajikaze na ukikosa atulie ila hakuna kisichowezekana!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiwe na tamaa na wanawake wanaonekana na kila mtu,
Walinzi
Mama ntilie
Wafanyakazi wa bank

Utakuja kupotea kijana hao mpaka ww unawaona washakutana na watu wengi sana.
Manesi wauza maduka mawakalaa mabaaa medi na wengine wengi hao kwa siku wanakutana na wanaume wengi sana
 
Yes! exactly you said and you've done it.
Ishu ikiwa uko vizuri muamala huko adi demu ahesabu zile Zoro ziko ngapi Ila ,utapewa nyapu fasta bila hata kuitafuta ama kuihangaikia ukweli ndio huo.
Ukishakuwa na hadhi Fulani maku za mademu zinawashwa ziliwe na wewe.
Unadhani Cr7 anahangaika na mademu ama wao ndio wanaomsumbua. Like mond nyapu akazichoka Sana so hashoboki Mana ndizo zinazomtafuta.

Sasa ngoja uwe na akaunti Kama za kwetu Ile jicho Mara moja salio ni below milioni ama laki.
Wewe utatumia nguvu Sana kumpata demu yaani sana.utajifanya Kama unajua ku care,kuhonga ama gentleman.
Kuwa na jina afu mtokee demu yaani Ile fasta ameileta Mana yenyewe inadunda dunda inasumbuwa ama inawashwa kuliwa na mwanaume mwenye jina ambaye hahitaji kujitambulisha sie akina kapuku tutajitutumua unanijua mie no Nani.
Sasa anayejulikana hata hangaiki kujinadi kuwa mie ni Nani.

Tafuta hela weka lijighorofa wakipita wanahesabu hizi ziko ngapi ghorofa nakuambia utazikimbia.

Wahongaji na wazamaji wa uvinza ama baharini,wabembelezaji,wanaojua ku care, Mara kuchelewa kumaliza ili demu adate kiukweli hatuna kitu.
Sasa chelewa kumaliza,mfikishe kileleni,mjali mpe mapenzi yote,yaani honga Sana Ila Mo akisonta kidole demu anapanda kwa ndinga anapigwa kimoja tu na jamaa hahongi,hajamkojelesha demu na kesho yake Mo ndiye anayetafutwa wa kwanza.
 
to yeye njoo umusikilize kijana wa watu haya ni maisha tu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Duh...aisee...nimecheka sana kwa kweli...
 
Hizi ni mbinu za kijeshi. Wakulungwa kibao wameshatumia kuopoa kazi na pisi kali hadi ndoa. Wewe unakuja kuzileta public unatuharibia michakato.


Matoto ya kiume ya siku hizi ya akili za kindezi kweli kweli.

Anyways. Kikao kijacho tutajadili namna ya kusimamisha uanachama wako kwa muda hadi utakapojirekebisha tabia na kuacha kutoa siri na mbinu za wakulungwa.
 
Uber ingekuwa guest
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…