Ile route ya kupeleka nyama Dubai iliishia wapi?

Ile route ya kupeleka nyama Dubai iliishia wapi?

Waarabu wana imani kweli wanajipendea kula ngamia ambaye kabla hujachinja anageukia kibla! Sawa mbuzi anaetoka Mwanza hawana uhakika nani kachinja wanakumbuka ule ugomvi wa nani achinje kati ya shekhe msukuma au padre msukuma sijui nani alishinda ule ugomvi.

Wasukuma ni wamesababisha yote haya ya kukosa soko ! Huyu mwingine haya kapewa fisiemu iliyokuwa imeshageukia kibla tayari kuchinjwa ona anavyohangaika Mara CCM inataka kujenga Barbara Mara tungeanzisha jiwe rullingparty Mara nikitoka hamtapata Haya maendeleo !

Jk alimgeuzia kabisa CCM kibla mchinjaji anajizungusha tu utadhani shekhe anaetaka kusoma dua ya kuchinja kwenye kitabu anasingizia miwani ameacha nyumbani
 
S
Umeambiwa majaribio inawezekana wameona haina tija
Kumbe unafuatilia sana maendeleo ya shirika letu!mbona unajifanya kuponda na wala huna habari nalo
Soko la dubai la nyama ni kubwa sana na hatuwezi kulitosheleza. Tutamaliza mbhzi na koondoo wote milioni 20 tulio nao. Nyama ikifika dubai inaenda nchi nyingine kama qarta, uajemi, lebanoni mpaka ulaya, sisi ndio hatuwezi kuwa na uhakika wa kupeleka nyama. Wale wanataka UHAKIKA WA KUPATA NYAMA, huo haupooo. Wanyama wetu wanauzwa mtoto akilipiwa ada au mzee anataka aburudike kidgo basi, kazi ni kuwaangalia WAKIONGEZEKA FURAHA INAMJAA, Baadae nchi yote itakuwa ya mifugo, tutakula nini? NYAMA?
 
Wakati hakuna ndege mlisimama majukwaani kubeza, sasa ndege zipo mnakimbilia mitandaoni..always negative..ndo maana naonaga sawa tu Magu akiwa anagonga hivo vichwa..
Hii sio hoja kulingana na bandiko hili!!Kama huna majibu kaa kimya!!
 
Nakumbuka kulikuwa na safari moja ambapo Dreamliner ilitumika kupeleka nyama Dubai (route ya majaribio) na tukaambiwa route hiyo inaweza kuendelea iwapo itaonyesha kuleta faida.

Swali langu ni je,route hiyo imekufa?

Route ile ilifanyiwa utafiti wa kutosha kabla hata ya kufanya safari ile ya majaribio?

Au safari ile ilikuwa ni dili tu kwa mgongo wa kufanya majaribio?
Mzee wa negativity..
hv huchokagi kuandiga hizi mambo...!!??
 
Ndiyo mtupe taarifa mmefikia wapi so far kwenye usafirishaji wa hizo nyama za mbuzi.
Yule bwana wa kule Mwanza wa kiwanda cha kuchakata nyama Bw. Chobo niliwahi kumpigia simu kumuuliza vipi biashara hiyo ya kupeleka nyama ya mbuzi inaendeleaje maana nilikuwa na interest ya kuifanya.
Jibu lake sitasahau, alicheka na kuniambia ule ulikuwa mchezo wa kuigiza ulio mshirikisha RC Mongela kwa maagizo toka juu, na haiwezekani biashara hiyo kufanyika kwa kutumia ATCL labda magari hadi Nairobi kisha KQ au mashirika mengine ya uhakika.
Nikajinyamazia tuu
 
Kwenye Andiko lako umesema "walisema hiyo Route ni ya majaribio na kama faida ikiwepo itakuwa regular route"

May take : Route haikuwa na Faida waka acha nayo..

Mbona simple tu....
 
Nakumbuka kulikuwa na safari moja ambapo Dreamliner ilitumika kupeleka nyama Dubai (route ya majaribio) na tukaambiwa route hiyo inaweza kuendelea iwapo itaonyesha kuleta faida.

Swali langu ni je,route hiyo imekufa?

Route ile ilifanyiwa utafiti wa kutosha kabla hata ya kufanya safari ile ya majaribio?

Au safari ile ilikuwa ni dili tu kwa mgongo wa kufanya majaribio?
Walitegemea vijana wa lumumba watakua wafugaji ila imeshindikana wamebaki kumsifia jiwe
 
kwenye kuinvest lazma cha kwanza uwe risk taker kweny kujaribu..by the way sio kila investment ukutane na risk
 
Nakumbuka kulikuwa na safari moja ambapo Dreamliner ilitumika kupeleka nyama Dubai (route ya majaribio) na tukaambiwa route hiyo inaweza kuendelea iwapo itaonyesha kuleta faida.

Swali langu ni je,route hiyo imekufa?

Route ile ilifanyiwa utafiti wa kutosha kabla hata ya kufanya safari ile ya majaribio?

Au safari ile ilikuwa ni dili tu kwa mgongo wa kufanya majaribio?
Ndege za abiria hazitumiki kubeba nyama.
 
Wakati hakuna ndege mlisimama majukwaani kubeza, sasa ndege zipo mnakimbilia mitandaoni..always negative..ndo maana naonaga sawa tu Magu akiwa anagonga hivo vichwa..

Uko sahihi ndugu yangu. Mimi mwenyewe negativity ya watu kwa kiwango hiki, pengine nadhani inaweza ikawa haipo mahali pengine popote pale duniani. Nadhani hili swala inabidi tufikie mahali tuwakabidhi watumishi wa Mungu. Inaonekana kama kuna laana fulani hivi sijui kutoka kwa nani
 
Back
Top Bottom