AmKATRINA
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 882
- 2,044
Wanawaroga mashangazi ili wasiachwe ref: kesi ya Shishi na ben10 wakeMmmh wanarogaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawaroga mashangazi ili wasiachwe ref: kesi ya Shishi na ben10 wakeMmmh wanarogaje?
Hajui mambo huyoEmu tupe MWONGOZO
Huyo sio mweusi mzee wangu, mm ndio mtaalamu wa hayo mambo hvy najuaHuyo ni black mkuu paja lazima li glow kidogo kwasababu halipati suluba ya jua.
Subiria Fundi MaikoHajui mambo huyo
Hahahaa pale kwenye T3 nimecheka sana aiseeSasa hizo sifa tatu zimetoka katika chama la wapenda mashangazi tanzania kama una bisha sawa.
Mzee wa kupambania tupe sifa za mshangazi
Weupe, gari na ziwa lililolalaEmu tupe MWONGOZO
Shepu je?Weupe, gari na ziwa lililolala
Au mkuu hapo unaonaje wewe.....Hahahaa pale kwenye T3 nimecheka sana aisee
Au sio fundi magetiSubiria Fundi Maiko
Namsubir pm 😎....haposawa
Una date na kiboko....Mwenzako nafaidi wee endelea kusifia mashangazi wa wenzako
Usijali mzigo upo wa kukutoshaSasa unakuwaje na mshangazi kisha umebeba le kibamiaziiii🐒
Zile T3 zimejitosheleza unajua ni hadimu sana kupata mshangazi kimbaumbauAu mkuu hapo unaonaje wewe.....
Nimute na mzabzab atupe sifa za mshangazi ni T3 au T4
Ataenda Uturuki, muhimu awe na pesaShepu je?
Hayo wewe wasema..Una date na kiboko....
Usisahau ndox, maana wanapita na wengiHayo wewe wasema..
Kingine mi sichagui ata akija nyati kikubwa ni mshangazi
Umeonaaa mkuu an ni kweli kabisa mshangazi awezi kuwa model..Zile T3 zimejitosheleza unajua ni hadomu sana kupata mshangazi kimbaumbau
Katoto kapi hako?Ila hapa kuna katoto kamoja aiseee
Haka ni kashangazi ila ni underground
Mkuu sijawahi kutumia ndom wala sitowahi....Usisahau ndox, maana wanapita na wengi