Ili awe Mshangazi anapaswa kuwa na umri gani?

Ili awe Mshangazi anapaswa kuwa na umri gani?

Kwa kuongezea tu:

โžก๏ธ Lijishangazi ni lazima liwe tipwatipwa vinginevyo kitakuwa ni kijishangazi kama ni ka kimbaumbau full mkondeano na mnyong'onyeo.

โžก๏ธ Lazima liwe na mtako teketeke unaomeng'enyulika.

โžก๏ธ Liwe na pigo za kisasa na halijafulia wala kubagazwa na maisha.

โžก๏ธ Likiwa jeupe inapendeza zaidi!๐Ÿšถ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿšถ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿšถ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ

View attachment 3028457
๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ˜‹
 
Mama cookie hivi yeye anashika kitengo gani? Junaita na director Joan wale wajumbe wa halmashauri kuu ya MASHANGAZI
Tena wale ni wajumbe wakuu wa umoja wa mashangazi Tz.
Aunt Ezekiel yeye yuko kitengo cha kuuwauzia cream mishangazi ili iendelee kung'aa, akiwa na msaidizi wa kuwavalisha vigodoro lishangazi Jack Wolper
 
Hapo vip!!

Nimekuwa nasikia sana huu msemo wa lishangzi.

Sifa za mashangazi ni kama zifuatazo.
1. Awe na miaka kuanzia 30 na kuendelea
2. Awe single mother au single kawaida.

Kama unasifa zingine zitaje ili wajitambue.
Shangazi anaanzia 35yrz mpka 45yrz..kuanzia miaka 45 mpka 50 huyo ni aunt....kuanzia 51yrz mpka 55yrz huyo ni lishangaziiii.
 
Hapo vip!!

Nimekuwa nasikia sana huu msemo wa lishangzi.

Sifa za mashangazi ni kama zifuatazo.
1. Awe na miaka kuanzia 30 na kuendelea
2. Awe single mother au single kawaida.

Kama unasifa zingine zitaje ili wajitambue.
Awe na wowowo na avae shanga kiunoni
 
Back
Top Bottom