Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐Kwa kuongezea tu:
โก๏ธ Lijishangazi ni lazima liwe tipwatipwa vinginevyo kitakuwa ni kijishangazi kama ni ka kimbaumbau full mkondeano na mnyong'onyeo.
โก๏ธ Lazima liwe na mtako teketeke unaomeng'enyulika.
โก๏ธ Liwe na pigo za kisasa na halijafulia wala kubagazwa na maisha.
โก๏ธ Likiwa jeupe inapendeza zaidi!๐ถ๐ฟโโ๏ธ๐ถ๐ฟโโ๏ธ๐ถ๐ฟโโ๏ธ
View attachment 3028457
Tena kwa kutambaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tutafika mbinguni tumechoka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mchangazi nikiwa nafatilia uzi ili nijinyakulie kijanaView attachment 3028437
Mshereheshaji Shilolee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mweka hazina isha mashauzi ,muhamasishaji Tabu mtingita
Jamaniiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bila pesa, gari na weupe.....hizo T3 ni vifungashio tu vya mwili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chura kiziwi nalo ni lishangazi huko Oman.Hapo vip!!
Nimekuwa nasikia sana huu msemo wa lishangzi.
Sifa za mashangazi ni kama zifuatazo.
1. Awe na miaka kuanzia 30 na kuendelea
2. Awe single mother au single kawaida.
Kama unasifa zingine zitaje ili wajitambue.
Mishangazi myeupe, yenye biashara zao mjini.....
Bila kumsahau mshika kibendera wao Esther Dalali
Wala usiogope ni salama kesho nipo tayari kutoa darasa hapa mkuu
Tena wale ni wajumbe wakuu wa umoja wa mashangazi Tz.Mama cookie hivi yeye anashika kitengo gani? Junaita na director Joan wale wajumbe wa halmashauri kuu ya MASHANGAZI
Mdam welcome again[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Awe na T mbiliHapo vip!!
Nimekuwa nasikia sana huu msemo wa lishangzi.
Sifa za mashangazi ni kama zifuatazo.
1. Awe na miaka kuanzia 30 na kuendelea
2. Awe single mother au single kawaida.
Kama unasifa zingine zitaje ili wajitambue.
Tupe darasa jmn.Mnavopenda mambo ya hovyo sasa ahahahaha
Shangazi anaanzia 35yrz mpka 45yrz..kuanzia miaka 45 mpka 50 huyo ni aunt....kuanzia 51yrz mpka 55yrz huyo ni lishangaziiii.Hapo vip!!
Nimekuwa nasikia sana huu msemo wa lishangzi.
Sifa za mashangazi ni kama zifuatazo.
1. Awe na miaka kuanzia 30 na kuendelea
2. Awe single mother au single kawaida.
Kama unasifa zingine zitaje ili wajitambue.
Awe na wowowo na avae shanga kiunoniHapo vip!!
Nimekuwa nasikia sana huu msemo wa lishangzi.
Sifa za mashangazi ni kama zifuatazo.
1. Awe na miaka kuanzia 30 na kuendelea
2. Awe single mother au single kawaida.
Kama unasifa zingine zitaje ili wajitambue.