SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je wababa wenye vitambi ukiangalia hao wamama wanavitambiiKe yeyote mwenye kitambi noma automatically ni mshangazi.
Umri ni nyongeza tu.
Mada ni mishangazi, ke akishakuwa na kitambi na kanona huyo n mshangazi.Je wababa wenye vitambi ukiangalia hao wamama wanavitambii
We Msenge kweli huyo sio yeye ni Picha tu km ulivyoweka kwani Wewe ndio huyo demu wa Trump?Sema nini SweetyCandy We ni mshangazi mmoja mtamu sana cheki upaja ni kifuniko tosha huitaji Pichu. Vikishirikiana na mtumbo na Mtindi ndo kabisa huitaji hata Nguo. View attachment 3045125
Akiweka breach inafaa zaidiKichwani lazima awe amenyoa kawaida
46-55Ili uitwe shangazi, jitahidi usogee mjini au karibu na mjini ili vijana wakuone.
Ila ukiendelea kuishi Tukuyu, Ujiji, Maswa, Ukerewe ni, wewe utakuwa ni mbibi.
Hivi ulivyo mrefu hivyoo na hicho kifua mashangazi,hAwakimbiiIli uitwe shangazi, jitahidi usogee mjini au karibu na mjini ili vijana wakuone.
Ila ukiendelea kuishi Tukuyu, Ujiji, Maswa, Ukerewe ni, wewe utakuwa ni mbibi.
Jumapili hii iliyopita nilifika Church mapema sana Neno la Injili lilihusu unabiiKijana hovyo wewe...
Mara ya mwisho kwenda nyumba ya ibada lini
Weee jamaa wa kwenda church wewe...Jumapili hii iliyopita nilifika Church mapema sana Neno la Injili lilihusu unabii
MIMI na Church Church na MIMI au hauamini Jesus Boy room kwangu zimetapakaa bible huwezi Amini basi kuanzia leo Amini hivyoWeee jamaa wa kwenda church wewe...
Serious....
Ahahaha wanasema kama kijana wa hovyo ukiona anaanza kufatilia mambo ya church jua kabisa kiama kipo karibuMIMI na Church Church na MIMI au hauamini Jesus Boy room kwangu zimetapakaa bible huwezi Amini basi kuanzia leo Amini hivyo
Sio Church ya kuvunja maaganoAhahaha wanasema kama kijana wa hovyo ukiona anaanza kufatilia mambo ya church jua kabisa kiama kipo karibu