Huu mjadala unaendelea kwenye group fulani la WhatsApp, na mimi naendelea kusisitiza
Shemeji @paul sarwatt james, kwanza naheshimu mawazo yako. CCM is the only party that has the capacity and the capability kuweka mawakala kila kituo.
Ballot boxes are transparent, na zinakuja sealed no one can temper, kura zinapigwa kituoni na zinahesabiwa kituoni na matokeo ya vituo vyote yanabandikwa vituoni, hivyo hakuna wizi wowote wa kura vituoni!.
Kama kunafanyika wizi au mchezo mchafu wa bao la mkono ni kupitia vote rigging, ambapo mabox yenye kura, yanapelekwa kwenye tallying centres.
Kama kura zote za vituoni zimebandikwa vituoni, hakuna kosa lolote kwa vyama kufanya an independent tallying kwa kutumia tuu wanachama wao kila kituo, wawe na simu janja. Una downloads scanner program, hivyo huhitaji kuwa na mawakala, unahitaji kuwa na wanachama wenye simu janja, kazi yao ni ku piga picha matokeo ya kila kituo kwa scanner ya simu janja na kuyatuma kwenye independent tallying centre ya Chadema, ACT Wazalendo.
Kama there is nothing to hide, hakuna ubaya wowote kwa vyama kufanya independent tallying, kosa ni kutangaza matokeo. Hiyo independent tallying inafanywa bila kutangaza matokeo.
Chedema wakiwa na kanzi data ya matokeo ya vituo vyote nchi nzima, ambayo ndio NEC wanayo, NEC wakitangaza matokeo tofauti kwa kuongeza kura za bao la mkono, then, the opposition will have a very strong case to argue.
This time around, ushindi wa kishindo kwa CCM is very clear and clean na hatutaki kelele, hivyo nimeshauri
Ili kuondoa kelele za kutotendewa haki, nawashauri CHADEMA na ACT wekeni Mawakala kila Kituo ili kujiridhisha, Uchaguzi Mkuu ni Huru na wa Haki
P