Uchaguzi 2020 Ili kuondoa kelele za kutotendewa haki, nawashauri CHADEMA na ACT wekeni Mawakala kila Kituo ili kujiridhisha, Uchaguzi Mkuu ni huru na wa haki

Uchaguzi 2020 Ili kuondoa kelele za kutotendewa haki, nawashauri CHADEMA na ACT wekeni Mawakala kila Kituo ili kujiridhisha, Uchaguzi Mkuu ni huru na wa haki

Huhitaji mawakala wote hao 88,000, kwa kila kata unahitaji wakala mmoja tuu, kuna vituo hadi 6, viko eneo moja, kazi ya wakala ni kutumia tuu simu janja na kupiga picha matokeo ya vituo vyote, kisha kufanya independent tallying, na kusubiria matokeo ya NEC, numbers zisipo tally na matokeo ya NEC, kwa vile, they have solid, documentary evidence to prove, then, they have a strong case to argue.
P
Kaka Mayala sio bure utakuwa ushasamehewa ile kodi uliyokuwa unadaiwa sio kwa kujipendekeza huku. Uchaguzi huru na haki sio kuhesabu kura ni mchakato wote mpaka kuisha kwa uchaguzi, mbona ujaongolea figusi za tume kwa wagombea waliowaengua kwa mizengwe?
 
Wanabodi
Declaration of Interest
Naomba kuanza na ku declare interest kuwa mimi ni Kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM ambaye ni muumini wa haki na demokrasia ya kweli ndani ya Bunge. Nautoa ushauri huu kwa dhati ya moyo wangu, licha ya ukada wangu kwa chama changu, CCM.

Asiyekubali Kushindwa Sio Mshindani. Tumechoka na Kelele za Kutotendewa Haki Kila Mnaposhindwa!
Kufuatia kilio cha wapinzani kutotendewa haki chaguzi zote za nyuma kila wanaposhindwa, na uchaguzi huu kwenye urais, kuna wengi tayari tunajua upinzani unakwenda kushindwa, hivyo kuliko kusubiria vilio vya kelele za kutokutendewa haki, sasa tunapojiandaa kwa Uchanguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo October 28, nautoa ushauri huu sababu tayari hisia za kutotendewa haki zimeanza kujitokeza miongoni mwa wapinzani kuwa uchaguzi Mkuu ujao hautakuwa huru na wa haki, hivyo kufuatia wasiwasi huo kwa wapinzani, licha ya mimi kuwa ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, ninatoa ushauri very honestly kwa wapinzani, kuwa ni kweli uchaguzi mkuu huu utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki kama alivyoahidi rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, tumwaminie na tusiwe na shaka yoyote kabisa licha ya yeye pia kuwa mmoja wa wagombea.

Ushauri huu nauweka kwa points format na kuwaomba wana jf, tuirudishe ile jf ya zamani ya kujadili hoja iliyo mezani kwa kupangua hoja kwa hoja na sio kujibu hoja kwa viroja ikiwemo mtindo mpya wa wana jf wa kisasa kumjadili mtoa hoja badala ya kuijadili hoja iliyo mezani. Karibuni sana.
  1. Ushauri huu wa bure nimeuekekeza kwa vyama viwili tuu vya Chadema na ACT, kwasababu kwa maoni yangu hivi ndio vyama viwili pekee ambayo vimeonyesha at least some seriousness ya kiasi fulani kwa upinzani, kwa vyama vingine vyote vya upinzani, ikitokea vikashinda hata kiti kimoja cha ubunge au udiwani, ushindi huo utatokana na personal merits za mgombea individually na sio kutokana na strength ya chama chake. Tukiongelea upinzani Tanzania ya leo, tunaongelea Chadema na ACT Wazalendo.
  2. Ukiondoa CCM, hakuna chama kingine chochote cha siasa nchini Tanzania ambacho kina the ability, capacity na capabilities za kusimamisha wagombea majimbo yote na kata zote, hivyo pazia la NEC litakapofungwa, kuna wagombea wa CCM wa ubunge na udiwani watapita bila kupingwa hivyo kwenye majimbo yao, wagombea watatangazwa moja kwa moja na hawatapigiwa kura, ila kura za urais zitapigwa. Hii itakuwa ni dalili ya kwanza ya uthibitisho wa udhaifu wa upinzani wa Tanzania na nyota njema ya dalili ya ushindi wa kishindo wa CCM katika uchaguzi Mkuu huru na wa haki
  3. Kwa vile zoezi la upigaji kura kwa kura zote zinapigwa vituoni very transparently na zinahesabiwa hapo hapo vituoni very transparently mbele ya mawakala, na matokeo hadi ya urais yanabandikwa kwenye ubao wa matangazo very transparently ili kila mmoja aone,
  4. Hakuna namna yoyote ya kufanya rigging ya matokeo ya kura zilizopigwa vituoni kwa uhuru na uwazi na matokeo yakabandikwa ubaoni.
  5. Kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, kuruhusu matokeo yote hadi ya urais kuhesabiwa vituoni na kubandikwa ubaoni, hii maana yake ni NEC inaendesha zoezi la uchaguzi very transparently with no any schemes and nothing to hide.
  6. Kitendo cha matokeo kubandikwa ubaoni, hiyo maana yake is to make it public ili kila mtu ayaone na kujiridhisha.
  7. Hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kutumia simu janja yake kupiga picha karatasi za matokeo ya kila kituo kwa lengo la kutunza kumbukumbu.
  8. Nawashauri Chadema na ACT Wazalendo, wawatume wanachama wao na wafuasi wao nchi nzima, watumie simu janja zao, kupiga picha matokeo ya kila kituo, kisha kufanya an independent tallying zao. Hakuna kosa lolote kisheria kufanya an independent tallying, kosa ni kutangaza matokeo, hivyo hii independent tallying ifanyike kwa kutunza tuu kumbukumbu na kujiridhisha ili mwisho wa siku waje ku compare notes na matokeo ya NEC.
  9. Naamini kabisa NEC itatenda haki, haitazuia independent tallying, bali kusisitiza hao wafanya independent tallying wasithubutu kutangaza matokeo ya independent tallying zao, hata kama mgombea wao ataonekana emeshinda kwa matokeo ya vituoni, halafu matokeo ya NEC yakawa otherwise wise, they'll have a strong case to argue supported by undisputed documentary evidence.
  10. Kwa vile NEC nayo inatangaza matokeo ya majimbo from returning officers direct kadri yanavyopokelewa, kama wapinzani wana ushahidi usiotia shaka kuwa matokeo ya tallying ya NEC ni tofauti na independent tallying zao, na matokeo ya ubunge na udiwani yanapingwa mahakamani, Mhimili wa Mahakama uko chini ya mtu muadilifu sana, namfahamu uadilifu wake, kwasababu alikuwa mwalimu wangu pale UDSM, Prof. Ibrahim Juma, hivyo vijana wake watatenda haki.
  11. Ushauri huu wa bure ni kufuatia ukweli wa trends za hali halisi ya kisiasa nchini Tanzania zinazoonyesha hakuna ubishi kwenye urais ni mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli anakwenda kushinda urais kwa ushindi wa kishindo kufuatia track record yake supported by the deliverable visible tangible developments ya maendeleo ya kuonekanika vs empty promises za wapinzani wake,
  12. hivyo ushindi huu kwa CCM ni ushindi msafi, very clean, clear undisputed sweet victory uliopatikana kwenye uchaguzi huru na wa haki.
  13. Na kwa vile wapinzani nao watakuwa na ushahidi wa uhalali wa matokeo baada ya kujiridhisha kupitia ushauri huu wa bandiko hili, for the sake of national unity,
  14. Nawashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo, nao wawepo ukumbini pale Dodoma siku ya kutangazwa kwa matokeo ya urais ya NEC, nao wampongeze mshindi, na mshindi awapongeze alioshindana nao.
  15. Nimewashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo tuu, kwasababu nafahamu kuwa wagombea urais wengine wote wa vyama vyote watakuwepo.
  16. Na siku ya kuapishwa kwa rais Magufuli kwa awamu ya pili, pia wawepo pale Uwanja wa Jamhuri na kuhitimisha rasmi zoezi la Uchaguzi.
  17. Kazi iliyobaki ni kujenga nchi
  18. Na kwa vile CCM itakuwa imepata ushindi wa kishindo, hivyo Bunge lijalo litakuwa ni one party CCM dominated parliament, ili to make sense of Bunge la vyama vingi, tutamshauri mshindi kuwateua baadhi ya alioshindana nao au wapinzani makini kati ya zile nafasi zake 10 za uteuzi ili wakalete changamoto Bungeni ya kulichangamsha Bunge kuonekana ni Bunge la vyama vingi kweli
  19. Na kufuatia Watanzania kuonyesha imani kubwa kwake na kwa CCM, then awamu ijayo, hakuna haja ya kupiga marufuku mikutano na maandamano ya vyama vya siasa. He has nothing to loose kwa kuiacha demokrasia ushamiri
  20. Tutapata Tanzania ya neema yenye kuzingatia demokrasia, haki za binaadamu na uhuru mkubwa zaidi wa habari, and if ikimpendeza pia atawapatia Watanzania Katiba mpya, and you never know, anaweza kushangaa, mwaka 2025, nchi inzima ikafanya maandamano kushinikiza ukomo wa vipindi viwili vya urais uondolewe kwasababu katiba ni ya watu na sauti ya watu ni sauti ya Mungu, Vox Pupuli is Vox Dei
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali

Angalieni nyomi kama hii, kama wote hawa ni wapiga kura, then ushauri wa bandiko hili ni muhimu sana, this time hatutaki kelele, za watu kuibiwa kura!.
P
 
Wanabodi
Declaration of Interest
Naomba kuanza na ku declare interest kuwa mimi ni Kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM ambaye ni muumini wa haki na demokrasia ya kweli ndani ya Bunge. Nautoa ushauri huu kwa dhati ya moyo wangu, licha ya ukada wangu kwa chama changu, CCM.

Asiyekubali Kushindwa Sio Mshindani. Tumechoka na Kelele za Kutotendewa Haki Kila Mnaposhindwa!
Kufuatia kilio cha wapinzani kutotendewa haki chaguzi zote za nyuma kila wanaposhindwa, na uchaguzi huu kwenye urais, kuna wengi tayari tunajua upinzani unakwenda kushindwa, hivyo kuliko kusubiria vilio vya kelele za kutokutendewa haki, sasa tunapojiandaa kwa Uchanguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo October 28, nautoa ushauri huu sababu tayari hisia za kutotendewa haki zimeanza kujitokeza miongoni mwa wapinzani kuwa uchaguzi Mkuu ujao hautakuwa huru na wa haki, hivyo kufuatia wasiwasi huo kwa wapinzani, licha ya mimi kuwa ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, ninatoa ushauri very honestly kwa wapinzani, kuwa ni kweli uchaguzi mkuu huu utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki kama alivyoahidi rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, tumwaminie na tusiwe na shaka yoyote kabisa licha ya yeye pia kuwa mmoja wa wagombea.

Ushauri huu nauweka kwa points format na kuwaomba wana jf, tuirudishe ile jf ya zamani ya kujadili hoja iliyo mezani kwa kupangua hoja kwa hoja na sio kujibu hoja kwa viroja ikiwemo mtindo mpya wa wana jf wa kisasa kumjadili mtoa hoja badala ya kuijadili hoja iliyo mezani. Karibuni sana.
  1. Ushauri huu wa bure nimeuekekeza kwa vyama viwili tuu vya Chadema na ACT, kwasababu kwa maoni yangu hivi ndio vyama viwili pekee ambayo vimeonyesha at least some seriousness ya kiasi fulani kwa upinzani, kwa vyama vingine vyote vya upinzani, ikitokea vikashinda hata kiti kimoja cha ubunge au udiwani, ushindi huo utatokana na personal merits za mgombea individually na sio kutokana na strength ya chama chake. Tukiongelea upinzani Tanzania ya leo, tunaongelea Chadema na ACT Wazalendo.
  2. Ukiondoa CCM, hakuna chama kingine chochote cha siasa nchini Tanzania ambacho kina the ability, capacity na capabilities za kusimamisha wagombea majimbo yote na kata zote, hivyo pazia la NEC litakapofungwa, kuna wagombea wa CCM wa ubunge na udiwani watapita bila kupingwa hivyo kwenye majimbo yao, wagombea watatangazwa moja kwa moja na hawatapigiwa kura, ila kura za urais zitapigwa. Hii itakuwa ni dalili ya kwanza ya uthibitisho wa udhaifu wa upinzani wa Tanzania na nyota njema ya dalili ya ushindi wa kishindo wa CCM katika uchaguzi Mkuu huru na wa haki
  3. Kwa vile zoezi la upigaji kura kwa kura zote zinapigwa vituoni very transparently na zinahesabiwa hapo hapo vituoni very transparently mbele ya mawakala, na matokeo hadi ya urais yanabandikwa kwenye ubao wa matangazo very transparently ili kila mmoja aone,
  4. Hakuna namna yoyote ya kufanya rigging ya matokeo ya kura zilizopigwa vituoni kwa uhuru na uwazi na matokeo yakabandikwa ubaoni.
  5. Kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, kuruhusu matokeo yote hadi ya urais kuhesabiwa vituoni na kubandikwa ubaoni, hii maana yake ni NEC inaendesha zoezi la uchaguzi very transparently with no any schemes and nothing to hide.
  6. Kitendo cha matokeo kubandikwa ubaoni, hiyo maana yake is to make it public ili kila mtu ayaone na kujiridhisha.
  7. Hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kutumia simu janja yake kupiga picha karatasi za matokeo ya kila kituo kwa lengo la kutunza kumbukumbu.
  8. Nawashauri Chadema na ACT Wazalendo, wawatume wanachama wao na wafuasi wao nchi nzima, watumie simu janja zao, kupiga picha matokeo ya kila kituo, kisha kufanya an independent tallying zao. Hakuna kosa lolote kisheria kufanya an independent tallying, kosa ni kutangaza matokeo, hivyo hii independent tallying ifanyike kwa kutunza tuu kumbukumbu na kujiridhisha ili mwisho wa siku waje ku compare notes na matokeo ya NEC.
  9. Naamini kabisa NEC itatenda haki, haitazuia independent tallying, bali kusisitiza hao wafanya independent tallying wasithubutu kutangaza matokeo ya independent tallying zao, hata kama mgombea wao ataonekana emeshinda kwa matokeo ya vituoni, halafu matokeo ya NEC yakawa otherwise wise, they'll have a strong case to argue supported by undisputed documentary evidence.
  10. Kwa vile NEC nayo inatangaza matokeo ya majimbo from returning officers direct kadri yanavyopokelewa, kama wapinzani wana ushahidi usiotia shaka kuwa matokeo ya tallying ya NEC ni tofauti na independent tallying zao, na matokeo ya ubunge na udiwani yanapingwa mahakamani, Mhimili wa Mahakama uko chini ya mtu muadilifu sana, namfahamu uadilifu wake, kwasababu alikuwa mwalimu wangu pale UDSM, Prof. Ibrahim Juma, hivyo vijana wake watatenda haki.
  11. Ushauri huu wa bure ni kufuatia ukweli wa trends za hali halisi ya kisiasa nchini Tanzania zinazoonyesha hakuna ubishi kwenye urais ni mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli anakwenda kushinda urais kwa ushindi wa kishindo kufuatia track record yake supported by the deliverable visible tangible developments ya maendeleo ya kuonekanika vs empty promises za wapinzani wake,
  12. hivyo ushindi huu kwa CCM ni ushindi msafi, very clean, clear undisputed sweet victory uliopatikana kwenye uchaguzi huru na wa haki.
  13. Na kwa vile wapinzani nao watakuwa na ushahidi wa uhalali wa matokeo baada ya kujiridhisha kupitia ushauri huu wa bandiko hili, for the sake of national unity,
  14. Nawashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo, nao wawepo ukumbini pale Dodoma siku ya kutangazwa kwa matokeo ya urais ya NEC, nao wampongeze mshindi, na mshindi awapongeze alioshindana nao.
  15. Nimewashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo tuu, kwasababu nafahamu kuwa wagombea urais wengine wote wa vyama vyote watakuwepo.
  16. Na siku ya kuapishwa kwa rais Magufuli kwa awamu ya pili, pia wawepo pale Uwanja wa Jamhuri na kuhitimisha rasmi zoezi la Uchaguzi.
  17. Kazi iliyobaki ni kujenga nchi
  18. Na kwa vile CCM itakuwa imepata ushindi wa kishindo, hivyo Bunge lijalo litakuwa ni one party CCM dominated parliament, ili to make sense of Bunge la vyama vingi, tutamshauri mshindi kuwateua baadhi ya alioshindana nao au wapinzani makini kati ya zile nafasi zake 10 za uteuzi ili wakalete changamoto Bungeni ya kulichangamsha Bunge kuonekana ni Bunge la vyama vingi kweli
  19. Na kufuatia Watanzania kuonyesha imani kubwa kwake na kwa CCM, then awamu ijayo, hakuna haja ya kupiga marufuku mikutano na maandamano ya vyama vya siasa. He has nothing to loose kwa kuiacha demokrasia ushamiri
  20. Tutapata Tanzania ya neema yenye kuzingatia demokrasia, haki za binaadamu na uhuru mkubwa zaidi wa habari, and if ikimpendeza pia atawapatia Watanzania Katiba mpya, and you never know, anaweza kushangaa, mwaka 2025, nchi inzima ikafanya maandamano kushinikiza ukomo wa vipindi viwili vya urais uondolewe kwasababu katiba ni ya watu na sauti ya watu ni sauti ya Mungu, Vox Pupuli is Vox Dei
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Huu mjadala unaendelea kwenye group fulani la WhatsApp, na mimi naendelea kusisitiza

Shemeji @⁨paul sarwatt james⁩, kwanza naheshimu mawazo yako. CCM is the only party that has the capacity and the capability kuweka mawakala kila kituo.
Ballot boxes are transparent, na zinakuja sealed no one can temper, kura zinapigwa kituoni na zinahesabiwa kituoni na matokeo ya vituo vyote yanabandikwa vituoni, hivyo hakuna wizi wowote wa kura vituoni!.

Kama kunafanyika wizi au mchezo mchafu wa bao la mkono ni kupitia vote rigging, ambapo mabox yenye kura, yanapelekwa kwenye tallying centres.

Kama kura zote za vituoni zimebandikwa vituoni, hakuna kosa lolote kwa vyama kufanya an independent tallying kwa kutumia tuu wanachama wao kila kituo, wawe na simu janja. Una downloads scanner program, hivyo huhitaji kuwa na mawakala, unahitaji kuwa na wanachama wenye simu janja, kazi yao ni ku piga picha matokeo ya kila kituo kwa scanner ya simu janja na kuyatuma kwenye independent tallying centre ya Chadema, ACT Wazalendo.

Kama there is nothing to hide, hakuna ubaya wowote kwa vyama kufanya independent tallying, kosa ni kutangaza matokeo. Hiyo independent tallying inafanywa bila kutangaza matokeo.

Chedema wakiwa na kanzi data ya matokeo ya vituo vyote nchi nzima, ambayo ndio NEC wanayo, NEC wakitangaza matokeo tofauti kwa kuongeza kura za bao la mkono, then, the opposition will have a very strong case to argue.

This time around, ushindi wa kishindo kwa CCM is very clear and clean na hatutaki kelele, hivyo nimeshauri
Ili kuondoa kelele za kutotendewa haki, nawashauri CHADEMA na ACT wekeni Mawakala kila Kituo ili kujiridhisha, Uchaguzi Mkuu ni Huru na wa Haki
P
 
Huu mjadala unaendelea kwenye group fulani la WhatsApp, na mimi naendelea kusisitiza

Shemeji @⁨paul sarwatt james⁩, kwanza naheshimu mawazo yako. CCM is the only party that has the capacity and the capability kuweka mawakala kila kituo.
Ballot boxes are transparent, na zinakuja sealed no one can temper, kura zinapigwa kituoni na zinahesabiwa kituoni na matokeo ya vituo vyote yanabandikwa vituoni, hivyo hakuna wizi wowote wa kura vituoni!.

Kama kunafanyika wizi au mchezo mchafu wa bao la mkono ni kupitia vote rigging, ambapo mabox yenye kura, yanapelekwa kwenye tallying centres.

Kama kura zote za vituoni zimebandikwa vituoni, hakuna kosa lolote kwa vyama kufanya an independent tallying kwa kutumia tuu wanachama wao kila kituo, wawe na simu janja. Una downloads scanner program, hivyo huhitaji kuwa na mawakala, unahitaji kuwa na wanachama wenye simu janja, kazi yao ni ku piga picha matokeo ya kila kituo kwa scanner ya simu janja na kuyatuma kwenye independent tallying centre ya Chadema, ACT Wazalendo.

Kama there is nothing to hide, hakuna ubaya wowote kwa vyama kufanya independent tallying, kosa ni kutangaza matokeo. Hiyo independent tallying inafanywa bila kutangaza matokeo.

Chedema wakiwa na kanzi data ya matokeo ya vituo vyote nchi nzima, ambayo ndio NEC wanayo, NEC wakitangaza matokeo tofauti kwa kuongeza kura za bao la mkono, then, the opposition will have a very strong case to argue.

This time around, ushindi wa kishindo kwa CCM is very clear and clean na hatutaki kelele, hivyo nimeshauri
Ili kuondoa kelele za kutotendewa haki, nawashauri CHADEMA na ACT wekeni Mawakala kila Kituo ili kujiridhisha, Uchaguzi Mkuu ni Huru na wa Haki
P
Naona mkuu umeamua tu kujitoa ufahamu
1. 2015 UKAWA walikua na Tallying centers mbili nini kilitokea? THRDC/LHRC? One of them, walikua na joint task force ya waangalizi wa uchaguzi walikua wana tally pia matokeo. Wote tunafahamu taasisi zote mbili zilivamiwa zikapokwa laptops na hard drives na mpka napoongea hazikuwahi rudishwa then unasema tallying inasaidia?
2. Kafulila alifanya tallying ila what happened? Kaambiwa nenda mahakamani kma huajridhika and the rest was history. Hiyo pia ilimkuta wenje,Bungo and Naftali. Maalim pia alikua mpka na Nyaraka ila out of the blues uchaguzi ukafutwa ila kura za muungano kwa zenji hazikufutwa!! Coincidence?
3. Kuhusu mawakala haina faida kma masanduku yataongezwa mfano kule mbagala na kinondoni watu ilibidi wavamie ofisi watishie kuchoma masanduku ndio matokeo yakatangazwa then unasema tallying? Kule kwa Mtolea uchaguzi wa marudio wakiona wizi umegoma wakawatoa mawakala wote wa upinzani nje then unasema wakiwemo tu ni automatic credibility ya uchaguzi? Je nani analimiy movement za ndani ya jengo? Ulinzi wa kura? Fomu kuwa altered?

Bora ungeshauri CCTV zifungwe vituo vyote vya majumuisho na kila fomu iwe scanned itumwe kwenye website ya tume kila mtu aone na kuepuka watu kulia faulo. Ama uchaguzi usimamiwe na wawakilishi kutoka AU watakaokua neutral ama kura zihesabiwe za wazi kabisa kituo kwa kituo ila sio kelele za mawakala bado hazisolve kitu maana uchaguzi ni process sio event hivyo mpaka kura zinaanza kuhesabiwa kuna rafu 100 zishachezwa kinachobaki ni kukamilisha tu utaratibu.
 
Pascal acha kuzuga watanzania hao mawakala mtawanyima viapo. R.I.P Dada akwilina
Pia Kanuni ya uchaguzi inasema kuwa wasimamizi wa vituo vya kupigia kura hawalazimiki kuwapa mawakala wa vyama nakala za matokeo ya vituo vyao. Unajua tafsiri yake? Kwa msingi huo, independent tallying inawezekanaje? Kwa simu janja itakuwa sio official. Lakini suppose tunagundua kuwa JPM kashindwa which is likely, twaweza kufanyaje? Mahakamani sheria imekataza. Je atakubali? Tume yake itakubali kutangaza mshindi? Kama majibu ni hasha, nini kitatokea? Mwenyezi Mungu tunusuru!!!
 
Kama kura zinapigwa kituoni, kuhesabiwa kituoni, na matokeo yote hadi ya urais kubandikwa ubaoni hapo hapo kituoni, hizo kura za maruhani, wataziingizia wapi?, huku kila kituo kuna mawakala wa vyama?.
P
Wakubali basi kuwapa nawakala official coppies ili kuwe na independent tallying. Kutokufanya hivyo kikanuni ndio mpenyo wa kura za maruhani.
 
Kutumia phrase kama hii sio busara na sio lugha ya kiungwana kabisa! Kelele inamaanisha kinachopiganiwa hakuna mantiki! This in incorrect kabisa! Usifikiri CCM watabaki daima dawamu kwenye madaraja, chochote ninaweza kutokea dakika yoyote
Mwamba umepotea wapi rudi jamvini. Umeaunga juhudi mkono kimya?
 
Hawana rasilimali watu wala rasilimali fedha
Nilishuhudia wakala wa chadema wakati wa maboresho ya daftari la wapiga kura akiwa ni mwana ccm kindaki ndaki
Kuiondoa ccm sio kazi rahisi
 
JPM hakukosea aliposema wew ni njaa!Hapa umejikalisha uchi kutanguliza tumbo mbele!Huna hadhi tena JF,umedharauliwa na kupuuzwa!Mabandiko yako hayana mvuto,wengi wakiona mwandishi ni Mayalla(njaa),wanajua ni mwendo ule ule wa mapambio kutafuta uteuzi baada ya kuambulia kura moja!
Its a shame!
Paschal alijijengea heshima sana amekuja kuharibu sijui kwanini? hana mvuto tena
 
...
FB_IMG_1600298696800.jpg


Sent from my ANE-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi
Declaration of Interest
Naomba kuanza na ku declare interest kuwa mimi ni Kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM ambaye ni muumini wa haki na demokrasia ya kweli ndani ya Bunge. Nautoa ushauri huu kwa dhati ya moyo wangu, licha ya ukada wangu kwa chama changu, CCM.

Asiyekubali Kushindwa Sio Mshindani. Tumechoka na Kelele za Kutotendewa Haki Kila Mnaposhindwa!
Kufuatia kilio cha wapinzani kutotendewa haki chaguzi zote za nyuma kila wanaposhindwa, na uchaguzi huu kwenye urais, kuna wengi tayari tunajua upinzani unakwenda kushindwa, hivyo kuliko kusubiria vilio vya kelele za kutokutendewa haki, sasa tunapojiandaa kwa Uchanguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo October 28, nautoa ushauri huu sababu tayari hisia za kutotendewa haki zimeanza kujitokeza miongoni mwa wapinzani kuwa uchaguzi Mkuu ujao hautakuwa huru na wa haki, hivyo kufuatia wasiwasi huo kwa wapinzani, licha ya mimi kuwa ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, ninatoa ushauri very honestly kwa wapinzani, kuwa ni kweli uchaguzi mkuu huu utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki kama alivyoahidi rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, tumwaminie na tusiwe na shaka yoyote kabisa licha ya yeye pia kuwa mmoja wa wagombea.

Ushauri huu nauweka kwa points format na kuwaomba wana jf, tuirudishe ile jf ya zamani ya kujadili hoja iliyo mezani kwa kupangua hoja kwa hoja na sio kujibu hoja kwa viroja ikiwemo mtindo mpya wa wana jf wa kisasa kumjadili mtoa hoja badala ya kuijadili hoja iliyo mezani. Karibuni sana.
  1. Ushauri huu wa bure nimeuekekeza kwa vyama viwili tuu vya Chadema na ACT, kwasababu kwa maoni yangu hivi ndio vyama viwili pekee ambayo vimeonyesha at least some seriousness ya kiasi fulani kwa upinzani, kwa vyama vingine vyote vya upinzani, ikitokea vikashinda hata kiti kimoja cha ubunge au udiwani, ushindi huo utatokana na personal merits za mgombea individually na sio kutokana na strength ya chama chake. Tukiongelea upinzani Tanzania ya leo, tunaongelea Chadema na ACT Wazalendo.
  2. Ukiondoa CCM, hakuna chama kingine chochote cha siasa nchini Tanzania ambacho kina the ability, capacity na capabilities za kusimamisha wagombea majimbo yote na kata zote, hivyo pazia la NEC litakapofungwa, kuna wagombea wa CCM wa ubunge na udiwani watapita bila kupingwa hivyo kwenye majimbo yao, wagombea watatangazwa moja kwa moja na hawatapigiwa kura, ila kura za urais zitapigwa. Hii itakuwa ni dalili ya kwanza ya uthibitisho wa udhaifu wa upinzani wa Tanzania na nyota njema ya dalili ya ushindi wa kishindo wa CCM katika uchaguzi Mkuu huru na wa haki
  3. Kwa vile zoezi la upigaji kura kwa kura zote zinapigwa vituoni very transparently na zinahesabiwa hapo hapo vituoni very transparently mbele ya mawakala, na matokeo hadi ya urais yanabandikwa kwenye ubao wa matangazo very transparently ili kila mmoja aone,
  4. Hakuna namna yoyote ya kufanya rigging ya matokeo ya kura zilizopigwa vituoni kwa uhuru na uwazi na matokeo yakabandikwa ubaoni.
  5. Kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, kuruhusu matokeo yote hadi ya urais kuhesabiwa vituoni na kubandikwa ubaoni, hii maana yake ni NEC inaendesha zoezi la uchaguzi very transparently with no any schemes and nothing to hide.
  6. Kitendo cha matokeo kubandikwa ubaoni, hiyo maana yake is to make it public ili kila mtu ayaone na kujiridhisha.
  7. Hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kutumia simu janja yake kupiga picha karatasi za matokeo ya kila kituo kwa lengo la kutunza kumbukumbu.
  8. Nawashauri Chadema na ACT Wazalendo, wawatume wanachama wao na wafuasi wao nchi nzima, watumie simu janja zao, kupiga picha matokeo ya kila kituo, kisha kufanya an independent tallying zao. Hakuna kosa lolote kisheria kufanya an independent tallying, kosa ni kutangaza matokeo, hivyo hii independent tallying ifanyike kwa kutunza tuu kumbukumbu na kujiridhisha ili mwisho wa siku waje ku compare notes na matokeo ya NEC.
  9. Naamini kabisa NEC itatenda haki, haitazuia independent tallying, bali kusisitiza hao wafanya independent tallying wasithubutu kutangaza matokeo ya independent tallying zao, hata kama mgombea wao ataonekana emeshinda kwa matokeo ya vituoni, halafu matokeo ya NEC yakawa otherwise wise, they'll have a strong case to argue supported by undisputed documentary evidence.
  10. Kwa vile NEC nayo inatangaza matokeo ya majimbo from returning officers direct kadri yanavyopokelewa, kama wapinzani wana ushahidi usiotia shaka kuwa matokeo ya tallying ya NEC ni tofauti na independent tallying zao, na matokeo ya ubunge na udiwani yanapingwa mahakamani, Mhimili wa Mahakama uko chini ya mtu muadilifu sana, namfahamu uadilifu wake, kwasababu alikuwa mwalimu wangu pale UDSM, Prof. Ibrahim Juma, hivyo vijana wake watatenda haki.
  11. Ushauri huu wa bure ni kufuatia ukweli wa trends za hali halisi ya kisiasa nchini Tanzania zinazoonyesha hakuna ubishi kwenye urais ni mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli anakwenda kushinda urais kwa ushindi wa kishindo kufuatia track record yake supported by the deliverable visible tangible developments ya maendeleo ya kuonekanika vs empty promises za wapinzani wake,
  12. hivyo ushindi huu kwa CCM ni ushindi msafi, very clean, clear undisputed sweet victory uliopatikana kwenye uchaguzi huru na wa haki.
  13. Na kwa vile wapinzani nao watakuwa na ushahidi wa uhalali wa matokeo baada ya kujiridhisha kupitia ushauri huu wa bandiko hili, for the sake of national unity,
  14. Nawashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo, nao wawepo ukumbini pale Dodoma siku ya kutangazwa kwa matokeo ya urais ya NEC, nao wampongeze mshindi, na mshindi awapongeze alioshindana nao.
  15. Nimewashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo tuu, kwasababu nafahamu kuwa wagombea urais wengine wote wa vyama vyote watakuwepo.
  16. Na siku ya kuapishwa kwa rais Magufuli kwa awamu ya pili, pia wawepo pale Uwanja wa Jamhuri na kuhitimisha rasmi zoezi la Uchaguzi.
  17. Kazi iliyobaki ni kujenga nchi
  18. Na kwa vile CCM itakuwa imepata ushindi wa kishindo, hivyo Bunge lijalo litakuwa ni one party CCM dominated parliament, ili to make sense of Bunge la vyama vingi, tutamshauri mshindi kuwateua baadhi ya alioshindana nao au wapinzani makini kati ya zile nafasi zake 10 za uteuzi ili wakalete changamoto Bungeni ya kulichangamsha Bunge kuonekana ni Bunge la vyama vingi kweli
  19. Na kufuatia Watanzania kuonyesha imani kubwa kwake na kwa CCM, then awamu ijayo, hakuna haja ya kupiga marufuku mikutano na maandamano ya vyama vya siasa. He has nothing to loose kwa kuiacha demokrasia ushamiri
  20. Tutapata Tanzania ya neema yenye kuzingatia demokrasia, haki za binaadamu na uhuru mkubwa zaidi wa habari, and if ikimpendeza pia atawapatia Watanzania Katiba mpya, and you never know, anaweza kushangaa, mwaka 2025, nchi inzima ikafanya maandamano kushinikiza ukomo wa vipindi viwili vya urais uondolewe kwasababu katiba ni ya watu na sauti ya watu ni sauti ya Mungu, Vox Pupuli is Vox Dei
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Nimesoma tu title ya post yako na kuidisqualify. Kimsingi Post yako imelenga kupotezea watanzania muda wao.

Unachanganya Uchaguzi na Kupiga Kura. Wakati Post inaongelea Uchaguzi Huru nanwa Haki, maelezo ya ndani yanaongelea nini kifanywe Siku ya Kupiga Kura.

Mayalla sote tunaamini wewe ni mwandishi mzoefu. Na unajua Uchaguzi ni Mchakato (process) na sio tu kupiga Kura (event). Unaposema Uchaguzi Huru na wa Haki wakati Hadi sasa hiyo Haki na Huru hatuvioni unamaanisha nini?? Au unatufanya wajinga?

Upigaji Kura ni kitendo kinachohitimisha Tu Mchakato wa Uchaguzi. Tukukumbushe kuwa, tunapoongelea Uchaguzi Huru na Wa Haki, fahamu tunaongelea mchakato mzima na sio tu kitendo cha kupiga Kura.

So far hadi sasa kinachoendelea sio cha Uchaguzi Huru na wa Haki. Wewe unajua Kwanini sio Huru na Haki. Wagombea wengi wa Upinzani wameenguliwa, wamenyimwa Uhuru na Haki yao kugombea. Ila umekaa kimya Kwa vile unalinda maslahi yako na ya familia yako. Kimsingi umeamua kuisaliti nchi yako Kwavile unapata Maslahi fulani. Ila kwa kivumbi kinachoendelea kutimshwa na TL, wasaliti mjipange.
 
Unajua ndugu Paschal Mayalla, tunajua kwamba CCM itashinda kwakuwa hakuna haki.
Hilo liko wazi kwani hata 2015 hawakushinda bali walitumia mtido huo wakujitangaza washindi regardless matokeo halisi. Sio kwenye ballot box.

Watajitangaza washindi kwani Referree na Commissar wa match ni hao hao Makada watiifu wa CCM. Unategemea mkurugenzi wa Mkoa au Wilaya ambaye ni kada wa ccm amtangaze mpinzani? Unategemea mwenyekiti wa tume ya Taifa ya uchaguzi ambaye ni kada wa ccm amtangaze Lissu? Itakuwa ajabu. (Lakini tutaona yote.)

We don't expect anything less than that.

Kama kungekuwa na Uhuru wakuhesabu kura Kama zilivyopigwa na kutangaza matokeo Kama yanavyopatikana kwenye box la kura, CCM hampati hata 25%.
Mkuu nzotangai , karibu, mitaa hii
Uchaguzi 2020 - Ili kuondoa kelele za kutotendewa haki, nawashauri CHADEMA na ACT wekeni Mawakala kila Kituo ili kujiridhisha, Uchaguzi Mkuu ni huru na wa haki
hapa nimezizungumza hoja zako, kura zinapigiwa kituoni, zinahesabiwa kituoni na matokeo, yanabandikwa kituoni, huo wizi wa kura unauzungumzia, unafanyikia wapi?!.
P
 
Wanabodi
Declaration of Interest
Naomba kuanza na ku declare interest kuwa mimi ni Kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM ambaye ni muumini wa haki na demokrasia ya kweli ndani ya Bunge. Nautoa ushauri huu kwa dhati ya moyo wangu, licha ya ukada wangu kwa chama changu, CCM.

Asiyekubali Kushindwa Sio Mshindani. Tumechoka na Kelele za Kutotendewa Haki Kila Mnaposhindwa!
Kufuatia kilio cha wapinzani kutotendewa haki chaguzi zote za nyuma kila wanaposhindwa, na uchaguzi huu kwenye urais, kuna wengi tayari tunajua upinzani unakwenda kushindwa, hivyo kuliko kusubiria vilio vya kelele za kutokutendewa haki, sasa tunapojiandaa kwa Uchanguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo October 28, nautoa ushauri huu sababu tayari hisia za kutotendewa haki zimeanza kujitokeza miongoni mwa wapinzani kuwa uchaguzi Mkuu ujao hautakuwa huru na wa haki, hivyo kufuatia wasiwasi huo kwa wapinzani, licha ya mimi kuwa ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, ninatoa ushauri very honestly kwa wapinzani, kuwa ni kweli uchaguzi mkuu huu utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki kama alivyoahidi rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, tumwaminie na tusiwe na shaka yoyote kabisa licha ya yeye pia kuwa mmoja wa wagombea.

Ushauri huu nauweka kwa points format na kuwaomba wana jf, tuirudishe ile jf ya zamani ya kujadili hoja iliyo mezani kwa kupangua hoja kwa hoja na sio kujibu hoja kwa viroja ikiwemo mtindo mpya wa wana jf wa kisasa kumjadili mtoa hoja badala ya kuijadili hoja iliyo mezani. Karibuni sana.
  1. Ushauri huu wa bure nimeuekekeza kwa vyama viwili tuu vya Chadema na ACT, kwasababu kwa maoni yangu hivi ndio vyama viwili pekee ambayo vimeonyesha at least some seriousness ya kiasi fulani kwa upinzani, kwa vyama vingine vyote vya upinzani, ikitokea vikashinda hata kiti kimoja cha ubunge au udiwani, ushindi huo utatokana na personal merits za mgombea individually na sio kutokana na strength ya chama chake. Tukiongelea upinzani Tanzania ya leo, tunaongelea Chadema na ACT Wazalendo.
  2. Ukiondoa CCM, hakuna chama kingine chochote cha siasa nchini Tanzania ambacho kina the ability, capacity na capabilities za kusimamisha wagombea majimbo yote na kata zote, hivyo pazia la NEC litakapofungwa, kuna wagombea wa CCM wa ubunge na udiwani watapita bila kupingwa hivyo kwenye majimbo yao, wagombea watatangazwa moja kwa moja na hawatapigiwa kura, ila kura za urais zitapigwa. Hii itakuwa ni dalili ya kwanza ya uthibitisho wa udhaifu wa upinzani wa Tanzania na nyota njema ya dalili ya ushindi wa kishindo wa CCM katika uchaguzi Mkuu huru na wa haki
  3. Kwa vile zoezi la upigaji kura kwa kura zote zinapigwa vituoni very transparently na zinahesabiwa hapo hapo vituoni very transparently mbele ya mawakala, na matokeo hadi ya urais yanabandikwa kwenye ubao wa matangazo very transparently ili kila mmoja aone,
  4. Hakuna namna yoyote ya kufanya rigging ya matokeo ya kura zilizopigwa vituoni kwa uhuru na uwazi na matokeo yakabandikwa ubaoni.
  5. Kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, kuruhusu matokeo yote hadi ya urais kuhesabiwa vituoni na kubandikwa ubaoni, hii maana yake ni NEC inaendesha zoezi la uchaguzi very transparently with no any schemes and nothing to hide.
  6. Kitendo cha matokeo kubandikwa ubaoni, hiyo maana yake is to make it public ili kila mtu ayaone na kujiridhisha.
  7. Hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kutumia simu janja yake kupiga picha karatasi za matokeo ya kila kituo kwa lengo la kutunza kumbukumbu.
  8. Nawashauri Chadema na ACT Wazalendo, wawatume wanachama wao na wafuasi wao nchi nzima, watumie simu janja zao, kupiga picha matokeo ya kila kituo, kisha kufanya an independent tallying zao. Hakuna kosa lolote kisheria kufanya an independent tallying, kosa ni kutangaza matokeo, hivyo hii independent tallying ifanyike kwa kutunza tuu kumbukumbu na kujiridhisha ili mwisho wa siku waje ku compare notes na matokeo ya NEC.
  9. Naamini kabisa NEC itatenda haki, haitazuia independent tallying, bali kusisitiza hao wafanya independent tallying wasithubutu kutangaza matokeo ya independent tallying zao, hata kama mgombea wao ataonekana emeshinda kwa matokeo ya vituoni, halafu matokeo ya NEC yakawa otherwise wise, they'll have a strong case to argue supported by undisputed documentary evidence.
  10. Kwa vile NEC nayo inatangaza matokeo ya majimbo from returning officers direct kadri yanavyopokelewa, kama wapinzani wana ushahidi usiotia shaka kuwa matokeo ya tallying ya NEC ni tofauti na independent tallying zao, na matokeo ya ubunge na udiwani yanapingwa mahakamani, Mhimili wa Mahakama uko chini ya mtu muadilifu sana, namfahamu uadilifu wake, kwasababu alikuwa mwalimu wangu pale UDSM, Prof. Ibrahim Juma, hivyo vijana wake watatenda haki.
  11. Ushauri huu wa bure ni kufuatia ukweli wa trends za hali halisi ya kisiasa nchini Tanzania zinazoonyesha hakuna ubishi kwenye urais ni mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli anakwenda kushinda urais kwa ushindi wa kishindo kufuatia track record yake supported by the deliverable visible tangible developments ya maendeleo ya kuonekanika vs empty promises za wapinzani wake,
  12. hivyo ushindi huu kwa CCM ni ushindi msafi, very clean, clear undisputed sweet victory uliopatikana kwenye uchaguzi huru na wa haki.
  13. Na kwa vile wapinzani nao watakuwa na ushahidi wa uhalali wa matokeo baada ya kujiridhisha kupitia ushauri huu wa bandiko hili, for the sake of national unity,
  14. Nawashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo, nao wawepo ukumbini pale Dodoma siku ya kutangazwa kwa matokeo ya urais ya NEC, nao wampongeze mshindi, na mshindi awapongeze alioshindana nao.
  15. Nimewashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo tuu, kwasababu nafahamu kuwa wagombea urais wengine wote wa vyama vyote watakuwepo.
  16. Na siku ya kuapishwa kwa rais Magufuli kwa awamu ya pili, pia wawepo pale Uwanja wa Jamhuri na kuhitimisha rasmi zoezi la Uchaguzi.
  17. Kazi iliyobaki ni kujenga nchi
  18. Na kwa vile CCM itakuwa imepata ushindi wa kishindo, hivyo Bunge lijalo litakuwa ni one party CCM dominated parliament, ili to make sense of Bunge la vyama vingi, tutamshauri mshindi kuwateua baadhi ya alioshindana nao au wapinzani makini kati ya zile nafasi zake 10 za uteuzi ili wakalete changamoto Bungeni ya kulichangamsha Bunge kuonekana ni Bunge la vyama vingi kweli
  19. Na kufuatia Watanzania kuonyesha imani kubwa kwake na kwa CCM, then awamu ijayo, hakuna haja ya kupiga marufuku mikutano na maandamano ya vyama vya siasa. He has nothing to loose kwa kuiacha demokrasia ushamiri
  20. Tutapata Tanzania ya neema yenye kuzingatia demokrasia, haki za binaadamu na uhuru mkubwa zaidi wa habari, and if ikimpendeza pia atawapatia Watanzania Katiba mpya, and you never know, anaweza kushangaa, mwaka 2025, nchi inzima ikafanya maandamano kushinikiza ukomo wa vipindi viwili vya urais uondolewe kwasababu katiba ni ya watu na sauti ya watu ni sauti ya Mungu, Vox Pupuli is Vox Dei
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
We jamaa akili zako uliziachaga sokoni hauko sawa kichwani
 
We jamaa akili zako uliziachaga sokoni hauko sawa kichwani
Mkuu yomboo , kiukweli kupitia post yako hii, nikajikuta nalisoma upya bandiko hili, ili isije kuwa ni kweli siko sawa kichwani, kwasababu hata wale vichaa, wanaotembea utupu, wanawashangaa watu wanaovaa nguo, wanaficha nini!.

Hivyo nimelipitia bandiko hili mwanzo mwisho, sijaona popote ambapo siko sawa!. Kwavile kila mtu has the right to his/her own opinion, nayaheshimu mawazo yako, ila ingenisaidia sana naa kuwasaidia wasomaji wetu humu, kwa kushea your views ni nini hakiko sawa.
P
 
Wewe ni MPUMBAVU wa hali ya juu. Na WAPUMBAVU kama wewe Nchini kwetu ni tatizo kubwa sana.

Wanabodi
Declaration of Interest
Naomba kuanza na ku declare interest kuwa mimi ni Kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM ambaye ni muumini wa haki na demokrasia ya kweli ndani ya Bunge. Nautoa ushauri huu kwa dhati ya moyo wangu, licha ya ukada wangu kwa chama changu, CCM.

Asiyekubali Kushindwa Sio Mshindani. Tumechoka na Kelele za Kutotendewa Haki Kila Mnaposhindwa!
Kufuatia kilio cha wapinzani kutotendewa haki chaguzi zote za nyuma kila wanaposhindwa, na uchaguzi huu kwenye urais, kuna wengi tayari tunajua upinzani unakwenda kushindwa, hivyo kuliko kusubiria vilio vya kelele za kutokutendewa haki, sasa tunapojiandaa kwa Uchanguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo October 28, nautoa ushauri huu sababu tayari hisia za kutotendewa haki zimeanza kujitokeza miongoni mwa wapinzani kuwa uchaguzi Mkuu ujao hautakuwa huru na wa haki, hivyo kufuatia wasiwasi huo kwa wapinzani, licha ya mimi kuwa ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, ninatoa ushauri very honestly kwa wapinzani, kuwa ni kweli uchaguzi mkuu huu utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki kama alivyoahidi rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, tumwaminie na tusiwe na shaka yoyote kabisa licha ya yeye pia kuwa mmoja wa wagombea.

Ushauri huu nauweka kwa points format na kuwaomba wana jf, tuirudishe ile jf ya zamani ya kujadili hoja iliyo mezani kwa kupangua hoja kwa hoja na sio kujibu hoja kwa viroja ikiwemo mtindo mpya wa wana jf wa kisasa kumjadili mtoa hoja badala ya kuijadili hoja iliyo mezani. Karibuni sana.
  1. Ushauri huu wa bure nimeuekekeza kwa vyama viwili tuu vya Chadema na ACT, kwasababu kwa maoni yangu hivi ndio vyama viwili pekee ambayo vimeonyesha at least some seriousness ya kiasi fulani kwa upinzani, kwa vyama vingine vyote vya upinzani, ikitokea vikashinda hata kiti kimoja cha ubunge au udiwani, ushindi huo utatokana na personal merits za mgombea individually na sio kutokana na strength ya chama chake. Tukiongelea upinzani Tanzania ya leo, tunaongelea Chadema na ACT Wazalendo.
  2. Ukiondoa CCM, hakuna chama kingine chochote cha siasa nchini Tanzania ambacho kina the ability, capacity na capabilities za kusimamisha wagombea majimbo yote na kata zote, hivyo pazia la NEC litakapofungwa, kuna wagombea wa CCM wa ubunge na udiwani watapita bila kupingwa hivyo kwenye majimbo yao, wagombea watatangazwa moja kwa moja na hawatapigiwa kura, ila kura za urais zitapigwa. Hii itakuwa ni dalili ya kwanza ya uthibitisho wa udhaifu wa upinzani wa Tanzania na nyota njema ya dalili ya ushindi wa kishindo wa CCM katika uchaguzi Mkuu huru na wa haki
  3. Kwa vile zoezi la upigaji kura kwa kura zote zinapigwa vituoni very transparently na zinahesabiwa hapo hapo vituoni very transparently mbele ya mawakala, na matokeo hadi ya urais yanabandikwa kwenye ubao wa matangazo very transparently ili kila mmoja aone,
  4. Hakuna namna yoyote ya kufanya rigging ya matokeo ya kura zilizopigwa vituoni kwa uhuru na uwazi na matokeo yakabandikwa ubaoni.
  5. Kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, kuruhusu matokeo yote hadi ya urais kuhesabiwa vituoni na kubandikwa ubaoni, hii maana yake ni NEC inaendesha zoezi la uchaguzi very transparently with no any schemes and nothing to hide.
  6. Kitendo cha matokeo kubandikwa ubaoni, hiyo maana yake is to make it public ili kila mtu ayaone na kujiridhisha.
  7. Hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kutumia simu janja yake kupiga picha karatasi za matokeo ya kila kituo kwa lengo la kutunza kumbukumbu.
  8. Nawashauri Chadema na ACT Wazalendo, wawatume wanachama wao na wafuasi wao nchi nzima, watumie simu janja zao, kupiga picha matokeo ya kila kituo, kisha kufanya an independent tallying zao. Hakuna kosa lolote kisheria kufanya an independent tallying, kosa ni kutangaza matokeo, hivyo hii independent tallying ifanyike kwa kutunza tuu kumbukumbu na kujiridhisha ili mwisho wa siku waje ku compare notes na matokeo ya NEC.
  9. Naamini kabisa NEC itatenda haki, haitazuia independent tallying, bali kusisitiza hao wafanya independent tallying wasithubutu kutangaza matokeo ya independent tallying zao, hata kama mgombea wao ataonekana emeshinda kwa matokeo ya vituoni, halafu matokeo ya NEC yakawa otherwise wise, they'll have a strong case to argue supported by undisputed documentary evidence.
  10. Kwa vile NEC nayo inatangaza matokeo ya majimbo from returning officers direct kadri yanavyopokelewa, kama wapinzani wana ushahidi usiotia shaka kuwa matokeo ya tallying ya NEC ni tofauti na independent tallying zao, na matokeo ya ubunge na udiwani yanapingwa mahakamani, Mhimili wa Mahakama uko chini ya mtu muadilifu sana, namfahamu uadilifu wake, kwasababu alikuwa mwalimu wangu pale UDSM, Prof. Ibrahim Juma, hivyo vijana wake watatenda haki.
  11. Ushauri huu wa bure ni kufuatia ukweli wa trends za hali halisi ya kisiasa nchini Tanzania zinazoonyesha hakuna ubishi kwenye urais ni mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli anakwenda kushinda urais kwa ushindi wa kishindo kufuatia track record yake supported by the deliverable visible tangible developments ya maendeleo ya kuonekanika vs empty promises za wapinzani wake,
  12. hivyo ushindi huu kwa CCM ni ushindi msafi, very clean, clear undisputed sweet victory uliopatikana kwenye uchaguzi huru na wa haki.
  13. Na kwa vile wapinzani nao watakuwa na ushahidi wa uhalali wa matokeo baada ya kujiridhisha kupitia ushauri huu wa bandiko hili, for the sake of national unity,
  14. Nawashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo, nao wawepo ukumbini pale Dodoma siku ya kutangazwa kwa matokeo ya urais ya NEC, nao wampongeze mshindi, na mshindi awapongeze alioshindana nao.
  15. Nimewashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo tuu, kwasababu nafahamu kuwa wagombea urais wengine wote wa vyama vyote watakuwepo.
  16. Na siku ya kuapishwa kwa rais Magufuli kwa awamu ya pili, pia wawepo pale Uwanja wa Jamhuri na kuhitimisha rasmi zoezi la Uchaguzi.
  17. Kazi iliyobaki ni kujenga nchi
  18. Na kwa vile CCM itakuwa imepata ushindi wa kishindo, hivyo Bunge lijalo litakuwa ni one party CCM dominated parliament, ili to make sense of Bunge la vyama vingi, tutamshauri mshindi kuwateua baadhi ya alioshindana nao au wapinzani makini kati ya zile nafasi zake 10 za uteuzi ili wakalete changamoto Bungeni ya kulichangamsha Bunge kuonekana ni Bunge la vyama vingi kweli
  19. Na kufuatia Watanzania kuonyesha imani kubwa kwake na kwa CCM, then awamu ijayo, hakuna haja ya kupiga marufuku mikutano na maandamano ya vyama vya siasa. He has nothing to loose kwa kuiacha demokrasia ushamiri
  20. Tutapata Tanzania ya neema yenye kuzingatia demokrasia, haki za binaadamu na uhuru mkubwa zaidi wa habari, and if ikimpendeza pia atawapatia Watanzania Katiba mpya, and you never know, anaweza kushangaa, mwaka 2025, nchi inzima ikafanya maandamano kushinikiza ukomo wa vipindi viwili vya urais uondolewe kwasababu katiba ni ya watu na sauti ya watu ni sauti ya Mungu, Vox Pupuli is Vox Dei
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
 
Back
Top Bottom