Uchaguzi 2020 Ili kuondoa kelele za kutotendewa haki, nawashauri CHADEMA na ACT wekeni Mawakala kila Kituo ili kujiridhisha, Uchaguzi Mkuu ni huru na wa haki

Uchaguzi 2020 Ili kuondoa kelele za kutotendewa haki, nawashauri CHADEMA na ACT wekeni Mawakala kila Kituo ili kujiridhisha, Uchaguzi Mkuu ni huru na wa haki

Wazo lako Ni zuri lakini kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa Kuna kipind Mawakala wa Vyama vya upinzani walifukuzwa kutoka kwenye vituo vya uchaguzi na wengine walikamatwa na polisi. Bila Shaka ilikuwa kwenye chaguzi za marudio. Kwa vitendo Kama hivi hata Wapinzani wakiweka Mawakala kila sehemu haiwezi kusaidia Kama tu CCM wakiamua kufanya figisu.
Ninao uhakika kuwa ndugu Mayala alikuwa Tanzania kipindi cha miaka 5 iliyo pita.....sasa basi, hebu mnisaidie tatizo ni elimu, malezi, au kitu gani???....maana hata yaliyo wazi mtu mzima akiyakana, inakuwa aibu kwa wenye busara.
 
Wanabodi
Declaration of Interest
Naomba kuanza na ku declare interest kuwa mimi ni Kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM ambaye ni muumini wa haki na demokrasia ya kweli ndani ya Bunge. Nautoa ushauri huu kwa dhati ya moyo wangu, licha ya ukada wangu kwa chama changu, CCM.

Asiyekubali Kushindwa Sio Mshindani. Tumechoka na Kelele za Kutotendewa Haki Kila Mnaposhindwa!
Kufuatia kilio cha wapinzani kutotendewa haki chaguzi zote za nyuma kila wanaposhindwa, na uchaguzi huu kwenye urais, kuna wengi tayari tunajua upinzani unakwenda kushindwa, hivyo kuliko kusubiria vilio vya kelele za kutokutendewa haki, sasa tunapojiandaa kwa Uchanguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo October 28, nautoa ushauri huu sababu tayari hisia za kutotendewa haki zimeanza kujitokeza miongoni mwa wapinzani kuwa uchaguzi Mkuu ujao hautakuwa huru na wa haki, hivyo kufuatia wasiwasi huo kwa wapinzani, licha ya mimi kuwa ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, ninatoa ushauri very honestly kwa wapinzani, kuwa ni kweli uchaguzi mkuu huu utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki kama alivyoahidi rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, tumwaminie na tusiwe na shaka yoyote kabisa licha ya yeye pia kuwa mmoja wa wagombea.

Ushauri huu nauweka kwa points format na kuwaomba wana jf, tuirudishe ile jf ya zamani ya kujadili hoja iliyo mezani kwa kupangua hoja kwa hoja na sio kujibu hoja kwa viroja ikiwemo mtindo mpya wa wana jf wa kisasa kumjadili mtoa hoja badala ya kuijadili hoja iliyo mezani. Karibuni sana.
  1. Ushauri huu wa bure nimeuekekeza kwa vyama viwili tuu vya Chadema na ACT, kwasababu kwa maoni yangu hivi ndio vyama viwili pekee ambayo vimeonyesha at least some seriousness ya kiasi fulani kwa upinzani, kwa vyama vingine vyote vya upinzani, ikitokea vikashinda hata kiti kimoja cha ubunge au udiwani, ushindi huo utatokana na personal merits za mgombea individually na sio kutokana na strength ya chama chake. Tukiongelea upinzani Tanzania ya leo, tunaongelea Chadema na ACT Wazalendo.
  2. Ukiondoa CCM, hakuna chama kingine chochote cha siasa nchini Tanzania ambacho kina the ability, capacity na capabilities za kusimamisha wagombea majimbo yote na kata zote, hivyo pazia la NEC litakapofungwa, kuna wagombea wa CCM wa ubunge na udiwani watapita bila kupingwa hivyo kwenye majimbo yao, wagombea watatangazwa moja kwa moja na hawatapigiwa kura, ila kura za urais zitapigwa. Hii itakuwa ni dalili ya kwanza ya uthibitisho wa udhaifu wa upinzani wa Tanzania na nyota njema ya dalili ya ushindi wa kishindo wa CCM katika uchaguzi Mkuu huru na wa haki
  3. Kwa vile zoezi la upigaji kura kwa kura zote zinapigwa vituoni very transparently na zinahesabiwa hapo hapo vituoni very transparently mbele ya mawakala, na matokeo hadi ya urais yanabandikwa kwenye ubao wa matangazo very transparently ili kila mmoja aone,
  4. Hakuna namna yoyote ya kufanya rigging ya matokeo ya kura zilizopigwa vituoni kwa uhuru na uwazi na matokeo yakabandikwa ubaoni.
  5. Kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, kuruhusu matokeo yote hadi ya urais kuhesabiwa vituoni na kubandikwa ubaoni, hii maana yake ni NEC inaendesha zoezi la uchaguzi very transparently with no any schemes and nothing to hide.
  6. Kitendo cha matokeo kubandikwa ubaoni, hiyo maana yake is to make it public ili kila mtu ayaone na kujiridhisha.
  7. Hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kutumia simu janja yake kupiga picha karatasi za matokeo ya kila kituo kwa lengo la kutunza kumbukumbu.
  8. Nawashauri Chadema na ACT Wazalendo, wawatume wanachama wao na wafuasi wao nchi nzima, watumie simu janja zao, kupiga picha matokeo ya kila kituo, kisha kufanya an independent tallying zao. Hakuna kosa lolote kisheria kufanya an independent tallying, kosa ni kutangaza matokeo, hivyo hii independent tallying ifanyike kwa kutunza tuu kumbukumbu na kujiridhisha ili mwisho wa siku waje ku compare notes na matokeo ya NEC.
  9. Naamini kabisa NEC itatenda haki, haitazuia independent tallying, bali kusisitiza hao wafanya independent tallying wasithubutu kutangaza matokeo ya independent tallying zao, hata kama mgombea wao ataonekana emeshinda kwa matokeo ya vituoni, halafu matokeo ya NEC yakawa otherwise wise, they'll have a strong case to argue supported by undisputed documentary evidence.
  10. Kwa vile NEC nayo inatangaza matokeo ya majimbo from returning officers direct kadri yanavyopokelewa, kama wapinzani wana ushahidi usiotia shaka kuwa matokeo ya tallying ya NEC ni tofauti na independent tallying zao, na matokeo ya ubunge na udiwani yanapingwa mahakamani, Mhimili wa Mahakama uko chini ya mtu muadilifu sana, namfahamu uadilifu wake, kwasababu alikuwa mwalimu wangu pale UDSM, Prof. Ibrahim Juma, hivyo vijana wake watatenda haki.
  11. Ushauri huu wa bure ni kufuatia ukweli wa trends za hali halisi ya kisiasa nchini Tanzania zinazoonyesha hakuna ubishi kwenye urais ni mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli anakwenda kushinda urais kwa ushindi wa kishindo kufuatia track record yake supported by the deliverable visible tangible developments ya maendeleo ya kuonekanika vs empty promises za wapinzani wake,
  12. hivyo ushindi huu kwa CCM ni ushindi msafi, very clean, clear undisputed sweet victory uliopatikana kwenye uchaguzi huru na wa haki.
  13. Na kwa vile wapinzani nao watakuwa na ushahidi wa uhalali wa matokeo baada ya kujiridhisha kupitia ushauri huu wa bandiko hili, for the sake of national unity,
  14. Nawashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo, nao wawepo ukumbini pale Dodoma siku ya kutangazwa kwa matokeo ya urais ya NEC, nao wampongeze mshindi, na mshindi awapongeze alioshindana nao.
  15. Nimewashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo tuu, kwasababu nafahamu kuwa wagombea urais wengine wote wa vyama vyote watakuwepo.
  16. Na siku ya kuapishwa kwa rais Magufuli kwa awamu ya pili, pia wawepo pale Uwanja wa Jamhuri na kuhitimisha rasmi zoezi la Uchaguzi.
  17. Kazi iliyobaki ni kujenga nchi
  18. Na kwa vile CCM itakuwa imepata ushindi wa kishindo, hivyo Bunge lijalo litakuwa ni one party CCM dominated parliament, ili to make sense of Bunge la vyama vingi, tutamshauri mshindi kuwateua baadhi ya alioshindana nao au wapinzani makini kati ya zile nafasi zake 10 za uteuzi ili wakalete changamoto Bungeni ya kulichangamsha Bunge kuonekana ni Bunge la vyama vingi kweli
  19. Na kufuatia Watanzania kuonyesha imani kubwa kwake na kwa CCM, then awamu ijayo, hakuna haja ya kupiga marufuku mikutano na maandamano ya vyama vya siasa. He has nothing to loose kwa kuiacha demokrasia ushamiri
  20. Tutapata Tanzania ya neema yenye kuzingatia demokrasia, haki za binaadamu na uhuru mkubwa zaidi wa habari, and if ikimpendeza pia atawapatia Watanzania Katiba mpya, and you never know, anaweza kushangaa, mwaka 2025, nchi inzima ikafanya maandamano kushinikiza ukomo wa vipindi viwili vya urais uondolewe kwasababu katiba ni ya watu na sauti ya watu ni sauti ya Mungu, Vox Pupuli is Vox Dei
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Maelezo mareeefu ila pumba tupu,acha unafiki!
 
Paskali ulishirikisha ubongo wakati unaandika hayo? Uchaguzi wa zanzibar 2015 cuf walikosa nini ili kutangazwa washindi?
 
Wanabodi
Declaration of Interest
Naomba kuanza na ku declare interest kuwa mimi ni Kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM ambaye ni muumini wa haki na demokrasia ya kweli ndani ya Bunge. Nautoa ushauri huu kwa dhati ya moyo wangu, licha ya ukada wangu kwa chama changu, CCM.

Asiyekubali Kushindwa Sio Mshindani. Tumechoka na Kelele za Kutotendewa Haki Kila Mnaposhindwa!
Kufuatia kilio cha wapinzani kutotendewa haki chaguzi zote za nyuma kila wanaposhindwa, na uchaguzi huu kwenye urais, kuna wengi tayari tunajua upinzani unakwenda kushindwa, hivyo kuliko kusubiria vilio vya kelele za kutokutendewa haki, sasa tunapojiandaa kwa Uchanguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo October 28, nautoa ushauri huu sababu tayari hisia za kutotendewa haki zimeanza kujitokeza miongoni mwa wapinzani kuwa uchaguzi Mkuu ujao hautakuwa huru na wa haki, hivyo kufuatia wasiwasi huo kwa wapinzani, licha ya mimi kuwa ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, ninatoa ushauri very honestly kwa wapinzani, kuwa ni kweli uchaguzi mkuu huu utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki kama alivyoahidi rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, tumwaminie na tusiwe na shaka yoyote kabisa licha ya yeye pia kuwa mmoja wa wagombea.

Ushauri huu nauweka kwa points format na kuwaomba wana jf, tuirudishe ile jf ya zamani ya kujadili hoja iliyo mezani kwa kupangua hoja kwa hoja na sio kujibu hoja kwa viroja ikiwemo mtindo mpya wa wana jf wa kisasa kumjadili mtoa hoja badala ya kuijadili hoja iliyo mezani. Karibuni sana.
  1. Ushauri huu wa bure nimeuekekeza kwa vyama viwili tuu vya Chadema na ACT, kwasababu kwa maoni yangu hivi ndio vyama viwili pekee ambayo vimeonyesha at least some seriousness ya kiasi fulani kwa upinzani, kwa vyama vingine vyote vya upinzani, ikitokea vikashinda hata kiti kimoja cha ubunge au udiwani, ushindi huo utatokana na personal merits za mgombea individually na sio kutokana na strength ya chama chake. Tukiongelea upinzani Tanzania ya leo, tunaongelea Chadema na ACT Wazalendo.
  2. Ukiondoa CCM, hakuna chama kingine chochote cha siasa nchini Tanzania ambacho kina the ability, capacity na capabilities za kusimamisha wagombea majimbo yote na kata zote, hivyo pazia la NEC litakapofungwa, kuna wagombea wa CCM wa ubunge na udiwani watapita bila kupingwa hivyo kwenye majimbo yao, wagombea watatangazwa moja kwa moja na hawatapigiwa kura, ila kura za urais zitapigwa. Hii itakuwa ni dalili ya kwanza ya uthibitisho wa udhaifu wa upinzani wa Tanzania na nyota njema ya dalili ya ushindi wa kishindo wa CCM katika uchaguzi Mkuu huru na wa haki
  3. Kwa vile zoezi la upigaji kura kwa kura zote zinapigwa vituoni very transparently na zinahesabiwa hapo hapo vituoni very transparently mbele ya mawakala, na matokeo hadi ya urais yanabandikwa kwenye ubao wa matangazo very transparently ili kila mmoja aone,
  4. Hakuna namna yoyote ya kufanya rigging ya matokeo ya kura zilizopigwa vituoni kwa uhuru na uwazi na matokeo yakabandikwa ubaoni.
  5. Kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, kuruhusu matokeo yote hadi ya urais kuhesabiwa vituoni na kubandikwa ubaoni, hii maana yake ni NEC inaendesha zoezi la uchaguzi very transparently with no any schemes and nothing to hide.
  6. Kitendo cha matokeo kubandikwa ubaoni, hiyo maana yake is to make it public ili kila mtu ayaone na kujiridhisha.
  7. Hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kutumia simu janja yake kupiga picha karatasi za matokeo ya kila kituo kwa lengo la kutunza kumbukumbu.
  8. Nawashauri Chadema na ACT Wazalendo, wawatume wanachama wao na wafuasi wao nchi nzima, watumie simu janja zao, kupiga picha matokeo ya kila kituo, kisha kufanya an independent tallying zao. Hakuna kosa lolote kisheria kufanya an independent tallying, kosa ni kutangaza matokeo, hivyo hii independent tallying ifanyike kwa kutunza tuu kumbukumbu na kujiridhisha ili mwisho wa siku waje ku compare notes na matokeo ya NEC.
  9. Naamini kabisa NEC itatenda haki, haitazuia independent tallying, bali kusisitiza hao wafanya independent tallying wasithubutu kutangaza matokeo ya independent tallying zao, hata kama mgombea wao ataonekana emeshinda kwa matokeo ya vituoni, halafu matokeo ya NEC yakawa otherwise wise, they'll have a strong case to argue supported by undisputed documentary evidence.
  10. Kwa vile NEC nayo inatangaza matokeo ya majimbo from returning officers direct kadri yanavyopokelewa, kama wapinzani wana ushahidi usiotia shaka kuwa matokeo ya tallying ya NEC ni tofauti na independent tallying zao, na matokeo ya ubunge na udiwani yanapingwa mahakamani, Mhimili wa Mahakama uko chini ya mtu muadilifu sana, namfahamu uadilifu wake, kwasababu alikuwa mwalimu wangu pale UDSM, Prof. Ibrahim Juma, hivyo vijana wake watatenda haki.
  11. Ushauri huu wa bure ni kufuatia ukweli wa trends za hali halisi ya kisiasa nchini Tanzania zinazoonyesha hakuna ubishi kwenye urais ni mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli anakwenda kushinda urais kwa ushindi wa kishindo kufuatia track record yake supported by the deliverable visible tangible developments ya maendeleo ya kuonekanika vs empty promises za wapinzani wake,
  12. hivyo ushindi huu kwa CCM ni ushindi msafi, very clean, clear undisputed sweet victory uliopatikana kwenye uchaguzi huru na wa haki.
  13. Na kwa vile wapinzani nao watakuwa na ushahidi wa uhalali wa matokeo baada ya kujiridhisha kupitia ushauri huu wa bandiko hili, for the sake of national unity,
  14. Nawashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo, nao wawepo ukumbini pale Dodoma siku ya kutangazwa kwa matokeo ya urais ya NEC, nao wampongeze mshindi, na mshindi awapongeze alioshindana nao.
  15. Nimewashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo tuu, kwasababu nafahamu kuwa wagombea urais wengine wote wa vyama vyote watakuwepo.
  16. Na siku ya kuapishwa kwa rais Magufuli kwa awamu ya pili, pia wawepo pale Uwanja wa Jamhuri na kuhitimisha rasmi zoezi la Uchaguzi.
  17. Kazi iliyobaki ni kujenga nchi
  18. Na kwa vile CCM itakuwa imepata ushindi wa kishindo, hivyo Bunge lijalo litakuwa ni one party CCM dominated parliament, ili to make sense of Bunge la vyama vingi, tutamshauri mshindi kuwateua baadhi ya alioshindana nao au wapinzani makini kati ya zile nafasi zake 10 za uteuzi ili wakalete changamoto Bungeni ya kulichangamsha Bunge kuonekana ni Bunge la vyama vingi kweli
  19. Na kufuatia Watanzania kuonyesha imani kubwa kwake na kwa CCM, then awamu ijayo, hakuna haja ya kupiga marufuku mikutano na maandamano ya vyama vya siasa. He has nothing to loose kwa kuiacha demokrasia ushamiri
  20. Tutapata Tanzania ya neema yenye kuzingatia demokrasia, haki za binaadamu na uhuru mkubwa zaidi wa habari, and if ikimpendeza pia atawapatia Watanzania Katiba mpya, and you never know, anaweza kushangaa, mwaka 2025, nchi inzima ikafanya maandamano kushinikiza ukomo wa vipindi viwili vya urais uondolewe kwasababu katiba ni ya watu na sauti ya watu ni sauti ya Mungu, Vox Pupuli is Vox Dei
Mungu Ibariki Tanzania

Unajifanyw
Unajifanya kutushauri wakati Ndio tunachotaka
Waambieni tume wasilete mizengwe kwenye Habari ya mawakala
 
Wanabodi
Declaration of Interest
Naomba kuanza na ku declare interest kuwa mimi ni Kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM ambaye ni muumini wa haki na demokrasia ya kweli ndani ya Bunge. Nautoa ushauri huu kwa dhati ya moyo wangu, licha ya ukada wangu kwa chama changu, CCM.

Asiyekubali Kushindwa Sio Mshindani. Tumechoka na Kelele za Kutotendewa Haki Kila Mnaposhindwa!
Kufuatia kilio cha wapinzani kutotendewa haki chaguzi zote za nyuma kila wanaposhindwa, na uchaguzi huu kwenye urais, kuna wengi tayari tunajua upinzani unakwenda kushindwa, hivyo kuliko kusubiria vilio vya kelele za kutokutendewa haki, sasa tunapojiandaa kwa Uchanguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo October 28, nautoa ushauri huu sababu tayari hisia za kutotendewa haki zimeanza kujitokeza miongoni mwa wapinzani kuwa uchaguzi Mkuu ujao hautakuwa huru na wa haki, hivyo kufuatia wasiwasi huo kwa wapinzani, licha ya mimi kuwa ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, ninatoa ushauri very honestly kwa wapinzani, kuwa ni kweli uchaguzi mkuu huu utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki kama alivyoahidi rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, tumwaminie na tusiwe na shaka yoyote kabisa licha ya yeye pia kuwa mmoja wa wagombea.

Ushauri huu nauweka kwa points format na kuwaomba wana jf, tuirudishe ile jf ya zamani ya kujadili hoja iliyo mezani kwa kupangua hoja kwa hoja na sio kujibu hoja kwa viroja ikiwemo mtindo mpya wa wana jf wa kisasa kumjadili mtoa hoja badala ya kuijadili hoja iliyo mezani. Karibuni sana.
  1. Ushauri huu wa bure nimeuekekeza kwa vyama viwili tuu vya Chadema na ACT, kwasababu kwa maoni yangu hivi ndio vyama viwili pekee ambayo vimeonyesha at least some seriousness ya kiasi fulani kwa upinzani, kwa vyama vingine vyote vya upinzani, ikitokea vikashinda hata kiti kimoja cha ubunge au udiwani, ushindi huo utatokana na personal merits za mgombea individually na sio kutokana na strength ya chama chake. Tukiongelea upinzani Tanzania ya leo, tunaongelea Chadema na ACT Wazalendo.
  2. Ukiondoa CCM, hakuna chama kingine chochote cha siasa nchini Tanzania ambacho kina the ability, capacity na capabilities za kusimamisha wagombea majimbo yote na kata zote, hivyo pazia la NEC litakapofungwa, kuna wagombea wa CCM wa ubunge na udiwani watapita bila kupingwa hivyo kwenye majimbo yao, wagombea watatangazwa moja kwa moja na hawatapigiwa kura, ila kura za urais zitapigwa. Hii itakuwa ni dalili ya kwanza ya uthibitisho wa udhaifu wa upinzani wa Tanzania na nyota njema ya dalili ya ushindi wa kishindo wa CCM katika uchaguzi Mkuu huru na wa haki
  3. Kwa vile zoezi la upigaji kura kwa kura zote zinapigwa vituoni very transparently na zinahesabiwa hapo hapo vituoni very transparently mbele ya mawakala, na matokeo hadi ya urais yanabandikwa kwenye ubao wa matangazo very transparently ili kila mmoja aone,
  4. Hakuna namna yoyote ya kufanya rigging ya matokeo ya kura zilizopigwa vituoni kwa uhuru na uwazi na matokeo yakabandikwa ubaoni.
  5. Kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, kuruhusu matokeo yote hadi ya urais kuhesabiwa vituoni na kubandikwa ubaoni, hii maana yake ni NEC inaendesha zoezi la uchaguzi very transparently with no any schemes and nothing to hide.
  6. Kitendo cha matokeo kubandikwa ubaoni, hiyo maana yake is to make it public ili kila mtu ayaone na kujiridhisha.
  7. Hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kutumia simu janja yake kupiga picha karatasi za matokeo ya kila kituo kwa lengo la kutunza kumbukumbu.
  8. Nawashauri Chadema na ACT Wazalendo, wawatume wanachama wao na wafuasi wao nchi nzima, watumie simu janja zao, kupiga picha matokeo ya kila kituo, kisha kufanya an independent tallying zao. Hakuna kosa lolote kisheria kufanya an independent tallying, kosa ni kutangaza matokeo, hivyo hii independent tallying ifanyike kwa kutunza tuu kumbukumbu na kujiridhisha ili mwisho wa siku waje ku compare notes na matokeo ya NEC.
  9. Naamini kabisa NEC itatenda haki, haitazuia independent tallying, bali kusisitiza hao wafanya independent tallying wasithubutu kutangaza matokeo ya independent tallying zao, hata kama mgombea wao ataonekana emeshinda kwa matokeo ya vituoni, halafu matokeo ya NEC yakawa otherwise wise, they'll have a strong case to argue supported by undisputed documentary evidence.
  10. Kwa vile NEC nayo inatangaza matokeo ya majimbo from returning officers direct kadri yanavyopokelewa, kama wapinzani wana ushahidi usiotia shaka kuwa matokeo ya tallying ya NEC ni tofauti na independent tallying zao, na matokeo ya ubunge na udiwani yanapingwa mahakamani, Mhimili wa Mahakama uko chini ya mtu muadilifu sana, namfahamu uadilifu wake, kwasababu alikuwa mwalimu wangu pale UDSM, Prof. Ibrahim Juma, hivyo vijana wake watatenda haki.
  11. Ushauri huu wa bure ni kufuatia ukweli wa trends za hali halisi ya kisiasa nchini Tanzania zinazoonyesha hakuna ubishi kwenye urais ni mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli anakwenda kushinda urais kwa ushindi wa kishindo kufuatia track record yake supported by the deliverable visible tangible developments ya maendeleo ya kuonekanika vs empty promises za wapinzani wake,
  12. hivyo ushindi huu kwa CCM ni ushindi msafi, very clean, clear undisputed sweet victory uliopatikana kwenye uchaguzi huru na wa haki.
  13. Na kwa vile wapinzani nao watakuwa na ushahidi wa uhalali wa matokeo baada ya kujiridhisha kupitia ushauri huu wa bandiko hili, for the sake of national unity,
  14. Nawashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo, nao wawepo ukumbini pale Dodoma siku ya kutangazwa kwa matokeo ya urais ya NEC, nao wampongeze mshindi, na mshindi awapongeze alioshindana nao.
  15. Nimewashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo tuu, kwasababu nafahamu kuwa wagombea urais wengine wote wa vyama vyote watakuwepo.
  16. Na siku ya kuapishwa kwa rais Magufuli kwa awamu ya pili, pia wawepo pale Uwanja wa Jamhuri na kuhitimisha rasmi zoezi la Uchaguzi.
  17. Kazi iliyobaki ni kujenga nchi
  18. Na kwa vile CCM itakuwa imepata ushindi wa kishindo, hivyo Bunge lijalo litakuwa ni one party CCM dominated parliament, ili to make sense of Bunge la vyama vingi, tutamshauri mshindi kuwateua baadhi ya alioshindana nao au wapinzani makini kati ya zile nafasi zake 10 za uteuzi ili wakalete changamoto Bungeni ya kulichangamsha Bunge kuonekana ni Bunge la vyama vingi kweli
  19. Na kufuatia Watanzania kuonyesha imani kubwa kwake na kwa CCM, then awamu ijayo, hakuna haja ya kupiga marufuku mikutano na maandamano ya vyama vya siasa. He has nothing to loose kwa kuiacha demokrasia ushamiri
  20. Tutapata Tanzania ya neema yenye kuzingatia demokrasia, haki za binaadamu na uhuru mkubwa zaidi wa habari, and if ikimpendeza pia atawapatia Watanzania Katiba mpya, and you never know, anaweza kushangaa, mwaka 2025, nchi inzima ikafanya maandamano kushinikiza ukomo wa vipindi viwili vya urais uondolewe kwasababu katiba ni ya watu na sauti ya watu ni sauti ya Mungu, Vox Pupuli is Vox Dei
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Mwaka huu patawaka
 
Pascall kaka yangu, hebu tuache bana.

Humu JamiiForum ninaamini hakuna mtu ambaye hana akili timamu, wala hakuna wendawazimu, kila member ni mzima kiakili. Huwezi ukamdanganya mtu yoyote JF kirahisi hivi.

Naomba nikutoe kasoro kidogo hapo katika para yako ya kwanza ya "DECLARATION OF INTEREST" kwanza. Kuna sentensi moja umeisahau kuiandika mwishoni na tungekuona wewe ni mkweli toka moyoni. Sentensi yenyewe ni :- MIMI PASCALL MAYALLA NAANDIKA HII MAKALA ILI NIMKOSHE ROHO MH. RAIS ILI ANIKUMBUKE KATIKA UTEUZI WAKE WA WABUNGE WA VITI MAALUM/WAKUU WA MIKOA/WAKUU WA WILAYA AU HATA UKATIBU MKUU.

Turudi kwenye kiini cha makala yako, swala la uchaguzi wa haki nchini Tanzania ni hakuna, na haijawahi kutokea, na halitatokea mpaka yatakapo fanyika mawili, kati ya haya;
1) KATIBA YA NCHI IBADILISHWE

2) RAIA WAINGIE MTAANI NA WAKICHAFUE KWELI KWELI.
Paschal mwacheni atafute ukuu wa mkoa baada ya uchaguzi
 
Mwaka huu nenda kapige kura , hakuna kura ya mtu itakayoibiwa. ..........Mh. Tundu Lissu.
Baada ya uchaguzi:
Nimeibiwa kura zoooote...hahhhahaha
Hii tabia ya kutokukubali matokeo inabidi tuitafitie dawa
Naunga mkono hoja, tena kuna akina sisi, tuliwashauri vizuri kabisa kabla
p
 
licha ya mimi kuwa ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, ninatoa ushauri very honestly kwa wapinzani, kuwa ni kweli uchaguzi mkuu huu utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki kama alivyoahidi rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, tumwaminie na tusiwe na shaka yoyote kabisa licha ya yeye pia kuwa mmoja wa wagombea.
Wewe hua unamwamini??!
 
Pasko
You are the best
Leo Lissu anasema hawakuwa na mawakala!!!!!!
Mkuu Waberoya , thanks, na kiukweli, jf tunaisaidia sana nchi hii na Mungu anaona, japo Mkuu Maxence Melo , anateseka sana na kesi mahakamani kwa ajili ya jf, lakini Mungu anasimama nae, na anabarikiwa sana, kwasababu ni kwa kuteswa kwake sisi tunaponywa!.

Na jf sio tuu tunasaidia wapinzani au Watanzania, amini nakuambia, tunamsaidia sana tuu, japo hasemi, wala there's no public recognition, lakini moyoni anajua, ukosoaji wa humu jf unamsaidia kuliko wasifiaji!


P
 
We jamaa Ni mmoja Kati ya watu walinifanyaga nikawa member hapa ulikua smart Sana Ila Sasa hivi umevua ngozi ya kondoo ukatuonesha na canine mazima
 
Pasko

You are the best


Leo Lissu anasema hawakuwa na mawakala!!!!!!
Hawakuwa na mawakala kwa sababu hawakuweka wakala au hawakuwa na wakala kwa sababu mawakala walizuiwa?! Ona sasa huyo Pascal Mayalla unayemwita the best anavyokutandika kwa tusi la reja reja kukuwekea uzi wa zamani wa "Kati ya Wakosoaji wa Rais Magufuili na Serikali yake, na wasifiaji, nani wanamsaidia zaidi"?

Yaani msifiaji mwenzako amekutwisha na tusi la kisiasa kwa sababu bila shaka anafahamu ni kwanini TL alisema hawakuwa na mawakala tofauti na hivyo unavyojaribu kumaanisha!!!
 
Yaani huyu Babu anatunafikia balaa anaboa balaa..atuachr kwakweli na Hali zetu..kila mtu ashinde mechi zake
Ni kweli huu ni unafiki wa wazi, Mayala anatambuwa kuwa tatizo la uchaguzi ni kibwa. Chana kinaweza kuandaa wakala,wakala akanyimwa baruwa ya utambulisho, anaweza kupewa baruwa wakamzuia kuingia kituoni, anaweza kuingia kituoni akatimuliwa wakati wowote kwa mtutu wa bunduki.
 
Hawakuwa na mawakala kwa sababu hawakuweka wakala au hawakuwa na wakala kwa sababu mawakala walizuiwa?! Ona sasa huyo Pascal Mayalla unayemwita the best anavyokutandika kwa tusi la reja reja kukuwekea uzi wa zamani wa "Kati ya Wakosoaji wa Rais Magufuili na Serikali yake, na wasifiaji, nani wanamsaidia zaidi"?

Yaani msifiaji mwenzako amekutwisha na tusi la kisiasa kwa sababu bila shaka anafahamu ni kwanini TL alisema hawakuwa na mawakala tofauti na hivyo unavyojaribu kumaanisha!!!
Heshima ambayo tulikuwa tunampa hapa jukwaani haipo tena
 
Kama wanataka kuwa transparent huwa wanahofia nini vyama vya siasa vikifanya majumuisho based on hizo kura zilizobandikwa vituoni?
 
Wanabodi
Declaration of Interest
Naomba kuanza na ku declare interest kuwa mimi ni Kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM ambaye ni muumini wa haki na demokrasia ya kweli ndani ya Bunge. Nautoa ushauri huu kwa dhati ya moyo wangu, licha ya ukada wangu kwa chama changu, CCM.

Asiyekubali Kushindwa Sio Mshindani. Tumechoka na Kelele za Kutotendewa Haki Kila Mnaposhindwa!
Kufuatia kilio cha wapinzani kutotendewa haki chaguzi zote za nyuma kila wanaposhindwa, na uchaguzi huu kwenye urais, kuna wengi tayari tunajua upinzani unakwenda kushindwa, hivyo kuliko kusubiria vilio vya kelele za kutokutendewa haki, sasa tunapojiandaa kwa Uchanguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo October 28, nautoa ushauri huu sababu tayari hisia za kutotendewa haki zimeanza kujitokeza miongoni mwa wapinzani kuwa uchaguzi Mkuu ujao hautakuwa huru na wa haki, hivyo kufuatia wasiwasi huo kwa wapinzani, licha ya mimi kuwa ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, ninatoa ushauri very honestly kwa wapinzani, kuwa ni kweli uchaguzi mkuu huu utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki kama alivyoahidi rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, tumwaminie na tusiwe na shaka yoyote kabisa licha ya yeye pia kuwa mmoja wa wagombea.

Ushauri huu nauweka kwa points format na kuwaomba wana jf, tuirudishe ile jf ya zamani ya kujadili hoja iliyo mezani kwa kupangua hoja kwa hoja na sio kujibu hoja kwa viroja ikiwemo mtindo mpya wa wana jf wa kisasa kumjadili mtoa hoja badala ya kuijadili hoja iliyo mezani. Karibuni sana.
  1. Ushauri huu wa bure nimeuekekeza kwa vyama viwili tuu vya Chadema na ACT, kwasababu kwa maoni yangu hivi ndio vyama viwili pekee ambayo vimeonyesha at least some seriousness ya kiasi fulani kwa upinzani, kwa vyama vingine vyote vya upinzani, ikitokea vikashinda hata kiti kimoja cha ubunge au udiwani, ushindi huo utatokana na personal merits za mgombea individually na sio kutokana na strength ya chama chake. Tukiongelea upinzani Tanzania ya leo, tunaongelea Chadema na ACT Wazalendo.
  2. Ukiondoa CCM, hakuna chama kingine chochote cha siasa nchini Tanzania ambacho kina the ability, capacity na capabilities za kusimamisha wagombea majimbo yote na kata zote, hivyo pazia la NEC litakapofungwa, kuna wagombea wa CCM wa ubunge na udiwani watapita bila kupingwa hivyo kwenye majimbo yao, wagombea watatangazwa moja kwa moja na hawatapigiwa kura, ila kura za urais zitapigwa. Hii itakuwa ni dalili ya kwanza ya uthibitisho wa udhaifu wa upinzani wa Tanzania na nyota njema ya dalili ya ushindi wa kishindo wa CCM katika uchaguzi Mkuu huru na wa haki
  3. Kwa vile zoezi la upigaji kura kwa kura zote zinapigwa vituoni very transparently na zinahesabiwa hapo hapo vituoni very transparently mbele ya mawakala, na matokeo hadi ya urais yanabandikwa kwenye ubao wa matangazo very transparently ili kila mmoja aone,
  4. Hakuna namna yoyote ya kufanya rigging ya matokeo ya kura zilizopigwa vituoni kwa uhuru na uwazi na matokeo yakabandikwa ubaoni.
  5. Kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, kuruhusu matokeo yote hadi ya urais kuhesabiwa vituoni na kubandikwa ubaoni, hii maana yake ni NEC inaendesha zoezi la uchaguzi very transparently with no any schemes and nothing to hide.
  6. Kitendo cha matokeo kubandikwa ubaoni, hiyo maana yake is to make it public ili kila mtu ayaone na kujiridhisha.
  7. Hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kutumia simu janja yake kupiga picha karatasi za matokeo ya kila kituo kwa lengo la kutunza kumbukumbu.
  8. Nawashauri Chadema na ACT Wazalendo, wawatume wanachama wao na wafuasi wao nchi nzima, watumie simu janja zao, kupiga picha matokeo ya kila kituo, kisha kufanya an independent tallying zao. Hakuna kosa lolote kisheria kufanya an independent tallying, kosa ni kutangaza matokeo, hivyo hii independent tallying ifanyike kwa kutunza tuu kumbukumbu na kujiridhisha ili mwisho wa siku waje ku compare notes na matokeo ya NEC.
  9. Naamini kabisa NEC itatenda haki, haitazuia independent tallying, bali kusisitiza hao wafanya independent tallying wasithubutu kutangaza matokeo ya independent tallying zao, hata kama mgombea wao ataonekana emeshinda kwa matokeo ya vituoni, halafu matokeo ya NEC yakawa otherwise wise, they'll have a strong case to argue supported by undisputed documentary evidence.
  10. Kwa vile NEC nayo inatangaza matokeo ya majimbo from returning officers direct kadri yanavyopokelewa, kama wapinzani wana ushahidi usiotia shaka kuwa matokeo ya tallying ya NEC ni tofauti na independent tallying zao, na matokeo ya ubunge na udiwani yanapingwa mahakamani, Mhimili wa Mahakama uko chini ya mtu muadilifu sana, namfahamu uadilifu wake, kwasababu alikuwa mwalimu wangu pale UDSM, Prof. Ibrahim Juma, hivyo vijana wake watatenda haki.
  11. Ushauri huu wa bure ni kufuatia ukweli wa trends za hali halisi ya kisiasa nchini Tanzania zinazoonyesha hakuna ubishi kwenye urais ni mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli anakwenda kushinda urais kwa ushindi wa kishindo kufuatia track record yake supported by the deliverable visible tangible developments ya maendeleo ya kuonekanika vs empty promises za wapinzani wake,
  12. hivyo ushindi huu kwa CCM ni ushindi msafi, very clean, clear undisputed sweet victory uliopatikana kwenye uchaguzi huru na wa haki.
  13. Na kwa vile wapinzani nao watakuwa na ushahidi wa uhalali wa matokeo baada ya kujiridhisha kupitia ushauri huu wa bandiko hili, for the sake of national unity,
  14. Nawashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo, nao wawepo ukumbini pale Dodoma siku ya kutangazwa kwa matokeo ya urais ya NEC, nao wampongeze mshindi, na mshindi awapongeze alioshindana nao.
  15. Nimewashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo tuu, kwasababu nafahamu kuwa wagombea urais wengine wote wa vyama vyote watakuwepo.
  16. Na siku ya kuapishwa kwa rais Magufuli kwa awamu ya pili, pia wawepo pale Uwanja wa Jamhuri na kuhitimisha rasmi zoezi la Uchaguzi.
  17. Kazi iliyobaki ni kujenga nchi
  18. Na kwa vile CCM itakuwa imepata ushindi wa kishindo, hivyo Bunge lijalo litakuwa ni one party CCM dominated parliament, ili to make sense of Bunge la vyama vingi, tutamshauri mshindi kuwateua baadhi ya alioshindana nao au wapinzani makini kati ya zile nafasi zake 10 za uteuzi ili wakalete changamoto Bungeni ya kulichangamsha Bunge kuonekana ni Bunge la vyama vingi kweli
  19. Na kufuatia Watanzania kuonyesha imani kubwa kwake na kwa CCM, then awamu ijayo, hakuna haja ya kupiga marufuku mikutano na maandamano ya vyama vya siasa. He has nothing to loose kwa kuiacha demokrasia ushamiri
  20. Tutapata Tanzania ya neema yenye kuzingatia demokrasia, haki za binaadamu na uhuru mkubwa zaidi wa habari, and if ikimpendeza pia atawapatia Watanzania Katiba mpya, and you never know, anaweza kushangaa, mwaka 2025, nchi inzima ikafanya maandamano kushinikiza ukomo wa vipindi viwili vya urais uondolewe kwasababu katiba ni ya watu na sauti ya watu ni sauti ya Mungu, Vox Pupuli is Vox Dei
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Yaani wewe unatia kichefu chefu
 
Wanabodi
Declaration of Interest
Naomba kuanza na ku declare interest kuwa mimi ni Kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM ambaye ni muumini wa haki na demokrasia ya kweli ndani ya Bunge. Nautoa ushauri huu kwa dhati ya moyo wangu, licha ya ukada wangu kwa chama changu, CCM.

Asiyekubali Kushindwa Sio Mshindani. Tumechoka na Kelele za Kutotendewa Haki Kila Mnaposhindwa!
Kufuatia kilio cha wapinzani kutotendewa haki chaguzi zote za nyuma kila wanaposhindwa, na uchaguzi huu kwenye urais, kuna wengi tayari tunajua upinzani unakwenda kushindwa, hivyo kuliko kusubiria vilio vya kelele za kutokutendewa haki, sasa tunapojiandaa kwa Uchanguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo October 28, nautoa ushauri huu sababu tayari hisia za kutotendewa haki zimeanza kujitokeza miongoni mwa wapinzani kuwa uchaguzi Mkuu ujao hautakuwa huru na wa haki, hivyo kufuatia wasiwasi huo kwa wapinzani, licha ya mimi kuwa ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, ninatoa ushauri very honestly kwa wapinzani, kuwa ni kweli uchaguzi mkuu huu utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki kama alivyoahidi rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, tumwaminie na tusiwe na shaka yoyote kabisa licha ya yeye pia kuwa mmoja wa wagombea.

Ushauri huu nauweka kwa points format na kuwaomba wana jf, tuirudishe ile jf ya zamani ya kujadili hoja iliyo mezani kwa kupangua hoja kwa hoja na sio kujibu hoja kwa viroja ikiwemo mtindo mpya wa wana jf wa kisasa kumjadili mtoa hoja badala ya kuijadili hoja iliyo mezani. Karibuni sana.
  1. Ushauri huu wa bure nimeuekekeza kwa vyama viwili tuu vya Chadema na ACT, kwasababu kwa maoni yangu hivi ndio vyama viwili pekee ambayo vimeonyesha at least some seriousness ya kiasi fulani kwa upinzani, kwa vyama vingine vyote vya upinzani, ikitokea vikashinda hata kiti kimoja cha ubunge au udiwani, ushindi huo utatokana na personal merits za mgombea individually na sio kutokana na strength ya chama chake. Tukiongelea upinzani Tanzania ya leo, tunaongelea Chadema na ACT Wazalendo.
  2. Ukiondoa CCM, hakuna chama kingine chochote cha siasa nchini Tanzania ambacho kina the ability, capacity na capabilities za kusimamisha wagombea majimbo yote na kata zote, hivyo pazia la NEC litakapofungwa, kuna wagombea wa CCM wa ubunge na udiwani watapita bila kupingwa hivyo kwenye majimbo yao, wagombea watatangazwa moja kwa moja na hawatapigiwa kura, ila kura za urais zitapigwa. Hii itakuwa ni dalili ya kwanza ya uthibitisho wa udhaifu wa upinzani wa Tanzania na nyota njema ya dalili ya ushindi wa kishindo wa CCM katika uchaguzi Mkuu huru na wa haki
  3. Kwa vile zoezi la upigaji kura kwa kura zote zinapigwa vituoni very transparently na zinahesabiwa hapo hapo vituoni very transparently mbele ya mawakala, na matokeo hadi ya urais yanabandikwa kwenye ubao wa matangazo very transparently ili kila mmoja aone,
  4. Hakuna namna yoyote ya kufanya rigging ya matokeo ya kura zilizopigwa vituoni kwa uhuru na uwazi na matokeo yakabandikwa ubaoni.
  5. Kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, kuruhusu matokeo yote hadi ya urais kuhesabiwa vituoni na kubandikwa ubaoni, hii maana yake ni NEC inaendesha zoezi la uchaguzi very transparently with no any schemes and nothing to hide.
  6. Kitendo cha matokeo kubandikwa ubaoni, hiyo maana yake is to make it public ili kila mtu ayaone na kujiridhisha.
  7. Hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kutumia simu janja yake kupiga picha karatasi za matokeo ya kila kituo kwa lengo la kutunza kumbukumbu.
  8. Nawashauri Chadema na ACT Wazalendo, wawatume wanachama wao na wafuasi wao nchi nzima, watumie simu janja zao, kupiga picha matokeo ya kila kituo, kisha kufanya an independent tallying zao. Hakuna kosa lolote kisheria kufanya an independent tallying, kosa ni kutangaza matokeo, hivyo hii independent tallying ifanyike kwa kutunza tuu kumbukumbu na kujiridhisha ili mwisho wa siku waje ku compare notes na matokeo ya NEC.
  9. Naamini kabisa NEC itatenda haki, haitazuia independent tallying, bali kusisitiza hao wafanya independent tallying wasithubutu kutangaza matokeo ya independent tallying zao, hata kama mgombea wao ataonekana emeshinda kwa matokeo ya vituoni, halafu matokeo ya NEC yakawa otherwise wise, they'll have a strong case to argue supported by undisputed documentary evidence.
  10. Kwa vile NEC nayo inatangaza matokeo ya majimbo from returning officers direct kadri yanavyopokelewa, kama wapinzani wana ushahidi usiotia shaka kuwa matokeo ya tallying ya NEC ni tofauti na independent tallying zao, na matokeo ya ubunge na udiwani yanapingwa mahakamani, Mhimili wa Mahakama uko chini ya mtu muadilifu sana, namfahamu uadilifu wake, kwasababu alikuwa mwalimu wangu pale UDSM, Prof. Ibrahim Juma, hivyo vijana wake watatenda haki.
  11. Ushauri huu wa bure ni kufuatia ukweli wa trends za hali halisi ya kisiasa nchini Tanzania zinazoonyesha hakuna ubishi kwenye urais ni mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli anakwenda kushinda urais kwa ushindi wa kishindo kufuatia track record yake supported by the deliverable visible tangible developments ya maendeleo ya kuonekanika vs empty promises za wapinzani wake,
  12. hivyo ushindi huu kwa CCM ni ushindi msafi, very clean, clear undisputed sweet victory uliopatikana kwenye uchaguzi huru na wa haki.
  13. Na kwa vile wapinzani nao watakuwa na ushahidi wa uhalali wa matokeo baada ya kujiridhisha kupitia ushauri huu wa bandiko hili, for the sake of national unity,
  14. Nawashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo, nao wawepo ukumbini pale Dodoma siku ya kutangazwa kwa matokeo ya urais ya NEC, nao wampongeze mshindi, na mshindi awapongeze alioshindana nao.
  15. Nimewashauri wagombea wa urais wa Chadema na ACT Wazalendo tuu, kwasababu nafahamu kuwa wagombea urais wengine wote wa vyama vyote watakuwepo.
  16. Na siku ya kuapishwa kwa rais Magufuli kwa awamu ya pili, pia wawepo pale Uwanja wa Jamhuri na kuhitimisha rasmi zoezi la Uchaguzi.
  17. Kazi iliyobaki ni kujenga nchi
  18. Na kwa vile CCM itakuwa imepata ushindi wa kishindo, hivyo Bunge lijalo litakuwa ni one party CCM dominated parliament, ili to make sense of Bunge la vyama vingi, tutamshauri mshindi kuwateua baadhi ya alioshindana nao au wapinzani makini kati ya zile nafasi zake 10 za uteuzi ili wakalete changamoto Bungeni ya kulichangamsha Bunge kuonekana ni Bunge la vyama vingi kweli
  19. Na kufuatia Watanzania kuonyesha imani kubwa kwake na kwa CCM, then awamu ijayo, hakuna haja ya kupiga marufuku mikutano na maandamano ya vyama vya siasa. He has nothing to loose kwa kuiacha demokrasia ushamiri
  20. Tutapata Tanzania ya neema yenye kuzingatia demokrasia, haki za binaadamu na uhuru mkubwa zaidi wa habari, and if ikimpendeza pia atawapatia Watanzania Katiba mpya, and you never know, anaweza kushangaa, mwaka 2025, nchi inzima ikafanya maandamano kushinikiza ukomo wa vipindi viwili vya urais uondolewe kwasababu katiba ni ya watu na sauti ya watu ni sauti ya Mungu, Vox Pupuli is Vox Dei
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Hawa hata mwenyekiti wa tume angekuwa Edwin Mtei, mkurugenzi wa tume awe Allute Mugwai Lissu wajumbe wawe prof Safari na prof Baregu na ofisi za tume ziwe ufipa wasingeweza kutoboa kwa Magufuli uchaguzi huu.
 
Back
Top Bottom