Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais Magufuli atashinda zaidi ya 80%!
Sasaivi amehamia kuoa mke wa pili😂😂😂Single zake za kutumia miradi ya maendeleo kusaka kura zimebuma sana
Na akishinda ajiandae kwa arrest warrant ya ICC, Ataibuliwa madude yake yote ya mkiru hadi la Ben saaananeSio kwa kura.
Yote hayo ni uthibitisho kuwa Magufuli amekosa kibali cha wananchi.Yote haya ni anahangaika sana kama kithibitisho kuwa anawahitaji wananchi kuliko wananchi wanavyomuhitaji yeye.Kwani hicho nacho unaona ni hoja? Si hicho amecheza hadi muziki!!
Hii picha ni ya leo??
Amsterdam limekuwa kiunganishi sio maan kila kukicha mnapambana kuudnganya ummaHivi mtu kabisa umekaa unawaza kwamba Magu anahofu ya kushindwa?...
Ni mafisafi na wezi wa mali za umma ndiyo ambao hawatampa kura Magufuli lakini watz walio wengi kura zao ni kwa Rais Magufuli tuuu!Uchaguzi ukiwa huru,fear and transparentMagufuli hawezi shinda, maana watu wote wenye akili timamu wanaojipenda na kuipenda Tanzania hawawezi kumpa kura magu
Who told you kwamba wananchi hawamhitaji Magufuli. Acha kuwasemea watz subiri tarehe 28/10/2020 ndiyo tutajua kama kweli unachokisema ama la!Yote hayo ni uthibitisho kuwa Magufuli amekosa kibali cha wananchi.Yote haya ni anahangaika sana kama kithibitisho kuwa anawahitaji wananchi kuliko wananchi wanavyomuhitaji yeye.
Kama kwa kipindi cha miaka mitano amefanya mambo makubwa sana iweje leo hii awahitaji wananchi kuliko wananchi wanavyomuhitaji yeye??
Na wale waliomuondoa prof Assad kwenye ofisi ya umma baada ya kuhoji 1.5 T iko wapi naamini hawatampa maguNi mafisafi na wezi wa mali za umma ndiyo ambao hawatampa kura Magufuli lakini watz walio wengi kura zao ni kwa Rais Magufuli tuuu!
Pamoja na kwamba Magufuli amepiga kampeni kwa miaka mitano na miezi hii miwili ya NEC lakini ukifuatilia vizuri kampeni zake, utagundua kuwa ana hofu zaidi ya kushindwa kupata kura za kumuwezesha kushinda uchaguzi ikiwa na maana kwamba asilimia kubwa anaamini anaweza kushindwa...
Nasema wananchi hawamuhitaji Magufuli kwa sababu sijaona wakimpigia Magufuli magoti ila nimeona Magufuli akiwapigia wananchi magoti.Hii maana yake ni kwamba Magufuli anawahitaji wananchi kuliko wananchi wanavyomuhitaji MagufuliWho told you kwamba wananchi hawamhitaji Magufuli. Acha kuwasemea watz subiri tarehe 28/10/2020 ndiyo tutajua kama kweli unachokisema ama la!
Hali za maisha ya wananchiWho told you kwamba wananchi hawamhitaji Magufuli. Acha kuwasemea watz subiri tarehe 28/10/2020 ndiyo tutajua kama kweli unachokisema ama la!