Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,419
- Thread starter
- #41
Nyota yake imefifiaHadi jiwe anapiga goti ujue mambo sio mambo!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyota yake imefifiaHadi jiwe anapiga goti ujue mambo sio mambo!!
Na haya ndo mawazo ya wanaccm kuwa Rais anapitishwa na Tiss,sio kura za wananchi.kiama chenu kiko njiani,iko siku mtaona umuhimu Wa kura za wanachi wakati miti yote ikiteleza.Hivi mtu kabisa umekaa unawaza kwamba Magu anahofu ya kushindwa?
Lisu haungwi mkono na tasisi yeyote ya vyombo vya usalama sababu ya umbumbumbu wake wa kushindwa kujua awateke vipi.
Kaenda zanzibar kasema eti chadema haina maslahi na zanzibar. Hii kauli ina utata sana tasisi kama jeshi wanamuona huyu ni muhuni tu.
Kisha Amsterdam anapambana kufa kupona Lisu awe rais. Hiki kitu taasisi kama ya usalama wa taifa wanamuona Lisu kama kibaraka flani.
Yani Lisu sijui hata kama ana washauri