Uchaguzi 2020 Ili kuondoa utata kuwe na mawakala wa vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi katika vituo vyote na wapewe 'nakala' za matokeo

Na haya ndo mawazo ya wanaccm kuwa Rais anapitishwa na Tiss,sio kura za wananchi.kiama chenu kiko njiani,iko siku mtaona umuhimu Wa kura za wanachi wakati miti yote ikiteleza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…