Hivi mtu kabisa umekaa unawaza kwamba Magu anahofu ya kushindwa?
Lisu haungwi mkono na tasisi yeyote ya vyombo vya usalama sababu ya umbumbumbu wake wa kushindwa kujua awateke vipi.
Kaenda zanzibar kasema eti chadema haina maslahi na zanzibar. Hii kauli ina utata sana tasisi kama jeshi wanamuona huyu ni muhuni tu.
Kisha Amsterdam anapambana kufa kupona Lisu awe rais. Hiki kitu taasisi kama ya usalama wa taifa wanamuona Lisu kama kibaraka flani.
Yani Lisu sijui hata kama ana washauri