Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AahaaaaNi wazi kwamba ndege ya ATCL inayokwenda Chato huwa inaenda tupu, bila abiria
Abiria pekee ni mama Janeth Magufuli na watoto wake au Kalemani.
Nashauri ruti hii ifutwe kwa maslahi ya taifa.
Tunawajua waajiriwa wa January Makamba humu JamiiForums ukiwemo wewe chiembeNi wazi kwamba ndege ya ATCL inayokwenda Chato huwa inaenda tupu, bila abiria
Abiria pekee ni mama Janeth Magufuli na watoto wake au Kalemani.
Nashauri ruti hii ifutwe kwa maslahi ya taifa.
Aahaaaa
Chadema ni saccos ya ajabu sanaTunawajua waajiriwa wa January Makamba humu JamiiForums ukiwemo wewe chiembe View attachment 2582908
ATCL ndiyo kwanza imeongeza safari kwenda Chato kutoka mbili hadi tatu.Ni wazi kwamba ndege ya ATCL inayokwenda Chato huwa inaenda tupu, bila abiria
Abiria pekee ni mama Janeth Magufuli na watoto wake au Kalemani.
Nashauri ruti hii ifutwe kwa maslahi ya taifa.
Ulisoma mpaka la ngapi? Umefuzu kwa upumbavu? Tanzania kuna vyama zaidi ya 15 vilivyo sahiliwa mbona unaonesha ofisi ya chama kimoja tu?Tunawajua waajiriwa wa January Makamba humu JamiiForums ukiwemo wewe chiembe View attachment 2582908
Saccos inakufanya hulali? Una ID 100 kidogo?Chadema ni saccos ya ajabu sana
Ungesema ifute safari za chato. Mkuu inaelekea wewe ndege unaziona angani tu hata haujawahi kuiona imetua, mara zote nimepita mwanza kupitia chato pale tulikuwa tunashusha abiria sio chini ya 20 hadi 30 na kubeba kwa idadi hiyo hiyo. Sasa umefanya utafiti gani sijui hadi upendekeze kufutwa ruti ya mwanza kupitia chato in short hakuna safari ya dar chato bali ni mwanza via chato distance ya dakika 15 ndo inakufanya utoe mapovu kiasi hichoNi wazi kwamba ndege ya ATCL inayokwenda Chato huwa inaenda tupu, bila abiria
Abiria pekee ni mama Janeth Magufuli na watoto wake au Kalemani.
Nashauri ruti hii ifutwe kwa maslahi ya taifa.
Punguani aliyeleta bunge kibogoyo la chama kimoja ndiyo chanzo cha haya yote. Yaani tumetoka kwenye mfumo wa chama kimoja muda mreefu yeye katirudisha kwa ufedhuli wakeChadema ni saccos ya ajabu sana
Wasukuma mna akili za hovyo kama wanyama tu! Hizi propaganda achieni watu wenye akili wazipange.Tunawajua waajiriwa wa January Makamba humu JamiiForums ukiwemo wewe chiembe View attachment 2582908
Huyo chiembe japo ana ubwege wake, lakini ushahidi wa hiki ulichoweka hapa unao?Tunawajua waajiriwa wa January Makamba humu JamiiForums ukiwemo wewe chiembe View attachment 2582908
Nyumbu wanateseka sana na ChatoUngesema ifute safari za chato. Mkuu inaelekea wewe ndege unaziona angani tu hata haujawahi kuiona imetua, mara zote nimepita mwanza kupitia chato pale tulikuwa tunashusha abiria sio chini ya 20 hadi 30 na kubeba kwa idadi hiyo hiyo. Sasa umefanya utafiti gani sijui hadi upendekeze kufutwa ruti ya mwanza kupitia chato in short hakuna safari ya dar chato bali ni mwanza via chato distance ya dakika 15 ndo inakufanya utoe mapovu kiasi hicho
Unajua gharama za kupandisha ndege angani -take off, na kuishusha? Kwa yale madege makubwa makubwa? Unalirusha na kulishusha kwa Kila dakika tano? Halafu hivyo vinauli vya Chato mwanza ndio vifidie mafuta hayo? Haiwezekani, hiyo ruti ifutweUngesema ifute safari za chato. Mkuu inaelekea wewe ndege unaziona angani tu hata haujawahi kuiona imetua, mara zote nimepita mwanza kupitia chato pale tulikuwa tunashusha abiria sio chini ya 20 hadi 30 na kubeba kwa idadi hiyo hiyo. Sasa umefanya utafiti gani sijui hadi upendekeze kufutwa ruti ya mwanza kupitia chato in short hakuna safari ya dar chato bali ni mwanza via chato distance ya dakika 15 ndo inakufanya utoe mapovu kiasi hicho
Kwanza unao utaalam hata wa biashara au na wewe umeona uandike tu .Ni wazi kwamba ndege ya ATCL inayokwenda Chato huwa inaenda tupu, bila abiria
Abiria pekee ni mama Janeth Magufuli na watoto wake au Kalemani.
Nashauri ruti hii ifutwe kwa maslahi ya taifa.
Kaeni pale tuwasokote, mmeiba sanaKwanza unao utaalam hata wa biashara au na wewe umeona uandike tu .
ATCL (na mashirika yote ya ndege) inao wataalam ambao hufanya upembuzi yakinifu wa kitaalan kabla ya kuanzisha route. Pili route/biashara inapoanzishwa sio lazima itengeneze faida papo hapo wakati mwingine wataalqm wana foresee kuwa baada ya muda fulani trend itaanza kubadilika na kuanza kupunguza hasara hatimaye kuleta faida kanili.
Ni vizuri mtu atoe ushauri kwa, jambo ambalo ana weledi nalo.
Hata hii ripoti ya CAG wengi wameichukulia kama dini vile wakati kuna naeneo inawezekana kabisa amekomoa asiowapenda kwani naye ni binadamu.
Nb: Binafsi ripoti ya CAG kuna wizi mkubwa ameubainisha na ni kweli umefanyika lakini pia inawezekana kuna ufisadi mwingine ameufunika hakuutaja.. pia kuna maamuzi amedai kulitia hasara taifa lakini si kweli kuwa ni hasara bali ni mtazamo wake
Siku zote mtu akitaka kuchambua jambo aweke chuki/ mahaba pembeni halafu aepuke kusoma kama kasuku.