Ili kupunguza hasara, ATCL ifute safari kuelekea vituo visivyo na abiria, hasa Chato

Ili kupunguza hasara, ATCL ifute safari kuelekea vituo visivyo na abiria, hasa Chato

Route ya Chato hakuna hasara na sasa ndege inaenda mara tatu kwa wiki badala ya mara mbili. Wawekezaji migodini hawapitii tena Mwanza airport. Rwanda na Uganda ni karibu kutokea Chato bila kusahau mbuga za wanyama Burigi...
Kuna ndege gani nyingine zinatua huko kibiashara? Usitetee upuuzi wa mtu mmoja mbinafsi.
 
Ulisoma mpaka la ngapi? Umefuzu kwa upumbavu? Tanzania kuna vyama zaidi ya 15 vilivyo sahiliwa mbona unaonesha ofisi ya chama kimoja tu?
Kila unayetofautiana nae mawazo lazima Awe CHADEMA?
Kwa sababu ndicho chama pekee kilichojaza wahuni,kuanzia viongozi wake waandamizi mpaka wafuasi wake!
JamiiForums-939037617.jpg
 
Ni wazi kwamba ndege ya ATCL inayokwenda Chato huwa inaenda tupu, bila abiria

Abiria pekee ni mama Janeth Magufuli na watoto wake au Kalemani.

Nashauri ruti hii ifutwe kwa maslahi ya taifa.
Hii inaonyesha shirika linaendeshwa na watu wasio na akili.
Hata konda awe mjinga namna gani hawezi kupeleka daladala ruti isiyo na abiria.
Tukiendelea na huu uongozi wa ATCL Kuna siku wataanzisha ruti ya Lushoto. Japo Mimi Ni mpenzi wa kupanda ndege lkn siwashauri walete ndege Bumbuli.
 
Uwanja wa ndege chato umejengwa bila sababu ya maana zaidi ya mtu mmoja kutaka ashuke na ndege kijijini kwao,leo hii wafuasi masalia wanadai Atcl inatua mara 3 kwa wiki je kuna ndege nyingine inatua japo mara moja kwa wiki? Je inawezekanaje ujengwe uwanja kwa mabilioni ya pesa lengo likiwa kutua ndege moja tu? Ukweli tumshukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu kwa sababu kama angeendelea kuishi angeiingiza nchi kwenye umasikini mkubwa sana kuliko huu aliotuachia,alikuwa mbinafsi sana.
Pale kuna Burigi national park na Geita ambayo uchumi wake upo juu sana rejea mapato ya TRA kwa upande wa utalii kuwepo kiwanja cha ndege ni sahihi kabisa. Burigi itakapojulikana duniani kutakuwa na Air trafic kubwa ni uala la muda tu na promotion kutoka TANAPA
 
Pale kuna Burigi national park na Geita ambayo uchumi wake upo juu sana rejea mapato ya TRA kwa upande wa utalii kuwepo kiwanja cha ndege ni sahihi kabisa. Burigi itakapojulikana duniani kutakuwa na Air trafic kubwa ni uala la muda tu na promotion kutoka TANAPA
Hiyo burigi yenyewe ni hifadhi ya mchongo tu kama alivyofanya kwenye miradi mingine,pale ni usanii tu hakuna chochote cha maana kubalini tu yule mungu wenu kuna mambo alikosea sana kwa sababu ya ubinafsi.
 
Uwanja wa ndege chato umejengwa bila sababu ya maana zaidi ya mtu mmoja kutaka ashuke na ndege kijijini kwao,leo hii wafuasi masalia wanadai Atcl inatua mara 3 kwa wiki je kuna ndege nyingine inatua japo mara moja kwa wiki? Je inawezekanaje ujengwe uwanja kwa mabilioni ya pesa lengo likiwa kutua ndege moja tu? Ukweli tumshukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu kwa sababu kama angeendelea kuishi angeiingiza nchi kwenye umasikini mkubwa sana kuliko huu aliotuachia,alikuwa mbinafsi sana.
Kuna viwanja vingi tu vinajengwa na havina tuti yoyote. Kuna hifadhi kule watalii wataenda na ndege zitatua nyingi tu
 
Ni ujinga serikali kununua ndege na kuzikodisha, ni kutengeneza mazingira ya ufisadi
 
Kuna viwanja vingi tu vinajengwa na havina tuti yoyote. Kuna hifadhi kule watalii wataenda na ndege zitatua nyingi tu
Hakuna mtalii ataenda kwenye Zoo ile ni Zoo kubwa tu mbuga gani wanyama wanapelekwa kama mizigo hata wale Faru weusi kutoka SA uwa wanaletwa kwa sababu maalum kwamba ni aina ambayo haipo hapa nchini na pia ni wanyama waliopo kwenye hatari ya kutoweka ulimwenguni,muwe mnakubali tu kwamba mtu wenu kuna baadhi ya mambo alikosea kwa sababu ya ubinafsi.
 
Ni wazi kwamba ndege ya ATCL inayokwenda Chato huwa inaenda tupu, bila abiria

Abiria pekee ni mama Janeth Magufuli na watoto wake au Kalemani.

Nashauri ruti hii ifutwe kwa maslahi ya taifa.
We ni mpumbaf wa akili sijui unachokitafuta ni nini ..au unadhan Chato hakuna wananchi kule Wala wafanyabiashara.....tatizo watu mnaosokomezwa sindano matakon..huwa mnawashwa kama kondoo. . ndio maana mwishowe mnakuwa mashoga wa kiswahili.. mnajarib kuleta na kupandikiza chuki ya ubaguzi na ukabila kwa malengo mnayoyayajua..mkome..lazima niwatetee watani zangu, nao Wana haki katika nchi hii kama watanzania wengine kutumia Mali za nchi...isitoshe hakuna anayepanda bure...na tafadhali msiwafundishe ATCL kazi..wale ni wataalam waliobobea katika kazi hiyo...huna elimu yoyote ya kuweza kutoa ushauri wa biashara Ile...huna...wewe ni lafa tu kama Malafa wengine
 
Hakuna mtalii ataenda kwenye Zoo ile ni Zoo kubwa tu mbuga gani wanyama wanapelekwa kama mizigo hata wale Faru weusi kutoka SA uwa wanaletwa kwa sababu maalum kwamba ni aina ambayo haipo hapa nchini na pia ni wanyama waliopo kwenye hatari ya kutoweka ulimwenguni,muwe mnakubali tu kwamba mtu wenu kuna baadhi ya mambo alikosea kwa sababu ya ubinafsi.
Wewe huelewi chochote unakazi ya kutumwa na mashoga wenzakoo tu..hiv unadhan watanzania wooote Ni wajinga..kama wewe..peleka uharo wako kule
 
We ni mpumbaf wa akili sijui unachokitafuta ni nini ..au unadhan Chato hakuna wananchi kule Wala wafanyabiashara.....tatizo watu mnaosokomezwa sindano matakon..huwa mnawashwa kama kondoo. . ndio maana mwishowe mnakuwa mashoga wa kiswahili.. mnajarib kuleta na kupandikiza chuki ya ubaguzi na ukabila kwa malengo mnayoyayajua..mkome..lazima niwatetee watani zangu, nao Wana haki katika nchi hii kama watanzania wengine kutumia Mali za nchi...isitoshe hakuna anayepanda bure...na tafadhali msiwafundishe ATCL kazi..wale ni wataalam waliobobea katika kazi hiyo...huna elimu yoyote ya kuweza kutoa ushauri wa biashara Ile...huna...wewe ni lafa tu kama Malafa wengine
Naona umetoka kuliwa mtaroni
 
Ni wazi kwamba ndege ya ATCL inayokwenda Chato huwa inaenda tupu, bila abiria

Abiria pekee ni mama Janeth Magufuli na watoto wake au Kalemani.

Nashauri ruti hii ifutwe kwa maslahi ya taifa.
Mmmh, chuki ni hatari
 
Hiyo burigi yenyewe ni hifadhi ya mchongo tu kama alivyofanya kwenye miradi mingine,pale ni usanii tu hakuna chochote cha maana kubalini tu yule mungu wenu kuna mambo alikosea sana kwa sababu ya ubinafsi.
Angekosea angefikishaje nchi katika uchumi wa Kati...yeye na Dr Samia..tatizo lenu mnamzungumza watu badala ya kuzungumza issues..BADO ccm itaendelea kuongoza milele....
 
Back
Top Bottom