Ili kupunguza hasara, ATCL ifute safari kuelekea vituo visivyo na abiria, hasa Chato

Ili kupunguza hasara, ATCL ifute safari kuelekea vituo visivyo na abiria, hasa Chato

Unajua gharama za kupandisha ndege angani -take off, na kuishusha? Kwa yale madege makubwa makubwa? Unalirusha na kulishusha kwa Kila dakika tano? Halafu hivyo vinauli vya Chato mwanza ndio vifidie mafuta hayo? Haiwezekani, hiyo ruti ifutwe
Hakuna ndege kubwa inaenda chato. Kama hujui ukinyamaza unaficha mapungufu yako mengi sana
 
Ndege zote za abiria zinazotua chato ni turbprop airbusa huwa inatua mwanza direct coz distance ya chato mwanza ni ndogo kwa hiyo ndege hivo eoute ya mwanza via chato huenda bombadier
 
Ni wazi kwamba ndege ya ATCL inayokwenda Chato huwa inaenda tupu, bila abiria

Abiria pekee ni mama Janeth Magufuli na watoto wake au Kalemani.

Nashauri ruti hii ifutwe kwa maslahi ya taifa.
Umenena vema
 
Ni wazi kwamba ndege ya ATCL inayokwenda Chato huwa inaenda tupu, bila abiria

Abiria pekee ni mama Janeth Magufuli na watoto wake au Kalemani.

Nashauri ruti hii ifutwe kwa maslahi ya taifa.
Kupunguza safari za kwenda chato ni sawa na kumzuia ng'ombe asiende zizini kwake.
 
Kwa upotoshaji kama huu ni vyema sasa, mamlaka ya viwanja vya ndege wakaondoa ule ukiritimba wa kuzuia watu wasipige picha uwapo kwenye viwanja vya ndege.

Kama picha nilizowahi kupiga siku za nyuma na hivi karibuni wakati nikisafiri kwa Air Tanzania kupitia Chato, zisingefutwa kwa amri ya watu wa usalama pale Chato, hakika chiembe angeumbuka kwenye uzi huu.

Mimi naruka mara moja au mbili kwa mwaka kupitia route hiyo ya Dar-Mwanza via Chato, mara zote ndege huwa imejaa sana watu na mizigo yao. Hivi ni sababu zipi za kiusalama zinazozuia watu wasipige picha za ukumbusho?....Nawaza tu.
 
Ndege zote za abiria zinazotua chato ni turbprop airbusa huwa inatua mwanza direct coz distance ya chato mwanza ni ndogo kwa hiyo ndege hivo eoute ya mwanza via chato huenda bombadier
Kama ATCL bado inakwenda CHATO basi huo ni upumbavu mtupu. ATCL haitokuja rekodi faida kwa maamuzi ya hasara ili kuwaridhisha wanasiasaa
 
Kuna watu wanauchambua uwanja wa Chato ili hali usafiri wao ni mabasi, maroli ya mizigo na magari ya magazeti...pilipili wasio itumia inawawasha kweli kweli...Uchambuzi wa hii route muwaachie wanatumia ndege, hasa wale wanaoend mwanza via chato wao ndo hua wanaona idadi ya watu wanaoshuka chato...Nyie wengine mjikite kwenye route za Kilimanjaro Express.
 
Ni wazi kwamba ndege ya ATCL inayokwenda Chato huwa inaenda tupu, bila abiria

Abiria pekee ni mama Janeth Magufuli na watoto wake au Kalemani.

Nashauri ruti hii ifutwe kwa maslahi ya taifa.
🤣🤣🤣🤣 Hoja Iko vizuri ila Sasa kuwataja hao uliowataja ndio sijaelewa
 
Unajua gharama za kupandisha ndege angani -take off, na kuishusha? Kwa yale madege makubwa makubwa? Unalirusha na kulishusha kwa Kila dakika tano? Halafu hivyo vinauli vya Chato mwanza ndio vifidie mafuta hayo? Haiwezekani, hiyo ruti ifutwe
Tuandikie hizo gharama chiembe
 
Unajua gharama za kupandisha ndege angani -take off, na kuishusha? Kwa yale madege makubwa makubwa? Unalirusha na kulishusha kwa Kila dakika tano? Halafu hivyo vinauli vya Chato mwanza ndio vifidie mafuta hayo? Haiwezekani, hiyo ruti ifutwe
KIA ~Arusha nayo ifutwe
 
Rubondo national park,burigi park,migodi iliyo maeneo ya karibu na chato mfano pale karoro na geita+bandari ya mganza.

Chato ni mji potential sana ni vile tu palitokea raisi ndo maana panaonekana kupendelewa.
 
Route ya Chato hakuna hasara na sasa ndege inaenda mara tatu kwa wiki badala ya mara mbili. Wawekezaji migodini hawapitii tena Mwanza airport. Rwanda na Uganda ni karibu kutokea Chato bila kusahau mbuga za wanyama Burigi...
 
Uwanja wa ndege chato umejengwa bila sababu ya maana zaidi ya mtu mmoja kutaka ashuke na ndege kijijini kwao,leo hii wafuasi masalia wanadai Atcl inatua mara 3 kwa wiki je kuna ndege nyingine inatua japo mara moja kwa wiki? Je inawezekanaje ujengwe uwanja kwa mabilioni ya pesa lengo likiwa kutua ndege moja tu? Ukweli tumshukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu kwa sababu kama angeendelea kuishi angeiingiza nchi kwenye umasikini mkubwa sana kuliko huu aliotuachia,alikuwa mbinafsi sana.
 
Back
Top Bottom