Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
Hakuna ndege kubwa inaenda chato. Kama hujui ukinyamaza unaficha mapungufu yako mengi sanaUnajua gharama za kupandisha ndege angani -take off, na kuishusha? Kwa yale madege makubwa makubwa? Unalirusha na kulishusha kwa Kila dakika tano? Halafu hivyo vinauli vya Chato mwanza ndio vifidie mafuta hayo? Haiwezekani, hiyo ruti ifutwe
Umenena vemaNi wazi kwamba ndege ya ATCL inayokwenda Chato huwa inaenda tupu, bila abiria
Abiria pekee ni mama Janeth Magufuli na watoto wake au Kalemani.
Nashauri ruti hii ifutwe kwa maslahi ya taifa.
Mimi siawahi kukaa kwenye mfumo wa wizi ila nachambua objectively.Kaeni pale tuwasokote, mmeiba sana
Kupunguza safari za kwenda chato ni sawa na kumzuia ng'ombe asiende zizini kwake.Ni wazi kwamba ndege ya ATCL inayokwenda Chato huwa inaenda tupu, bila abiria
Abiria pekee ni mama Janeth Magufuli na watoto wake au Kalemani.
Nashauri ruti hii ifutwe kwa maslahi ya taifa.
Huwezi kuongezea hasara ya wazi kulitia Taifa hasarakabla ya kwenda Chato shirika lilikua linachechemea na hata kama wakifuta safari za huko Chato bila mpango kazi shirika litaendelea kuyumba.
Kama ATCL bado inakwenda CHATO basi huo ni upumbavu mtupu. ATCL haitokuja rekodi faida kwa maamuzi ya hasara ili kuwaridhisha wanasiasaaNdege zote za abiria zinazotua chato ni turbprop airbusa huwa inatua mwanza direct coz distance ya chato mwanza ni ndogo kwa hiyo ndege hivo eoute ya mwanza via chato huenda bombadier
🤣🤣🤣🤣 Hoja Iko vizuri ila Sasa kuwataja hao uliowataja ndio sijaelewaNi wazi kwamba ndege ya ATCL inayokwenda Chato huwa inaenda tupu, bila abiria
Abiria pekee ni mama Janeth Magufuli na watoto wake au Kalemani.
Nashauri ruti hii ifutwe kwa maslahi ya taifa.
Ndege inaenda Chato mara 3 kwa wiki na abiria wamejaa.Bado ndege zinaenda Chato?
👍Huwezi kuongezea hasara ya wazi kulitia Taifa hasara
Tuandikie hizo gharama chiembeUnajua gharama za kupandisha ndege angani -take off, na kuishusha? Kwa yale madege makubwa makubwa? Unalirusha na kulishusha kwa Kila dakika tano? Halafu hivyo vinauli vya Chato mwanza ndio vifidie mafuta hayo? Haiwezekani, hiyo ruti ifutwe
Ushahidi ataupata wapi mkuu. Akisikia tu jina la MAKAMBA kunapwita kama aliyekuLa pilipili kichaaHuyo chiembe japo ana ubwege wake, lakini ushahidi wa hiki ulichoweka hapa unao?
KIA ~Arusha nayo ifutweUnajua gharama za kupandisha ndege angani -take off, na kuishusha? Kwa yale madege makubwa makubwa? Unalirusha na kulishusha kwa Kila dakika tano? Halafu hivyo vinauli vya Chato mwanza ndio vifidie mafuta hayo? Haiwezekani, hiyo ruti ifutwe