Ili kuvunja circle ya umasikini tuliyo nayo watu weusi ni muda sasa tuzingatie "FAMILY BUSINESS"

Ili kuvunja circle ya umasikini tuliyo nayo watu weusi ni muda sasa tuzingatie "FAMILY BUSINESS"

kwenye familia nyingi zakiafrika kama ni baba au mama ndie breadwinner akishafariki tu mali zote zinaisha na familia iliyobakia nyuma utajiri wao wote unatoweka kwasababu behind utajiri wote wafamilia kuna makafara,masharti na ndagu zakutosha ambozo mzazi amejifunga navyo nasio rahisi kuweka wazi mchongo wakishirikina kwa watoto wake au kizazi chake kijacho hivyo akifariki tu anaondoka na utajiri wote wafamilia
Mtu muwongo sana kama ww. Ww familia yako imejaa ulozi unasema wengine. Pamban na kwako na walozi yenu.
 
Inakuaje Mtoto wako anavaa milegezo na wewe mzazi upo. Huoni kuna pahala hujatimiza wajibu wako
Anasema mutoto yake. Kwasab amecopy yale ya ulaya, inamsumbua kwa mkichwa, ona anasema waafrika kama yy hatoki huko. yy amelegea kwa kichwa. hopeless afrikan
 
Ww huo mtazami waki umebadilisha? Ww umeajiri famikia yako una biashara au una ropoka
Tulia mkuu, ukiona kuna mada sehemu soma, elewa kisha toa mchango wako katika mada husika. Tabia ya kushambulia mchangiaji ni tabia za watu wenye matatizo ya kimalezi.

Mwisho kabisa, kama una msongo wa mawazo, mitandaoni sio sehemu sahihi ya wewe kuwepo. Tafuta tiba!
 
Tulia mkuu, ukiona kuna mada sehemu soma, elewa kisha toa mchango wako katika mada husika. Tabia ya kushambulia mchangiaji ni tabia za watu wenye matatizo ya kimalezi.

Mwisho kabisa, kama una msongo wa mawazo, mitandaoni sio sehemu sahihi ya wewe kuwepo. Tafuta tiba!
Unatumia vipimo gani ww? Kajitibu mnyewe. Shutup
 
Tulia unaonekana una msongo wa mawazo! Muone daktari kwa msaada zaidi maana unakoelekea hali itakuwa mbaya sana.
kamvimbie nyanyak njoo na Id yako apa qmaneen, songa ukafirwe
 
Back
Top Bottom