Ili kuvunja circle ya umasikini tuliyo nayo watu weusi ni muda sasa tuzingatie "FAMILY BUSINESS"

Ili kuvunja circle ya umasikini tuliyo nayo watu weusi ni muda sasa tuzingatie "FAMILY BUSINESS"

Na watoto wenyewe ndio hawa wanaovaa MILEGEZO, hata ukimuuliza MASWALI YA UFAHAMU hajui chochote.

Anajua tu SIMBA na YANGA na MAYELE. Kichwa kimejaa ukurutu.

Ukimpa biashara yako anaimaliza ndani ya mwaka mmoja. Anatumbua hela na kwenda kula na MADEM. Ati MADEM!! Na amevaa mlegezo.

Ukizaa hakikisha unazaa watoto wenye akili timamu. Ni ngumu sana kupata mtoto timamu. WENGI NI MAZOMBI.

Yale MACHANJO YALE na MADAWA UCHWARA YA UZAZI. Taifa linazalisha MAZOMBI wanaotembea wima.

Hawawezi kuhoji, hawawezi kuuliza, hawawezi kufikiri, wanachojua ni SIMBA na YANGA.
Inakuaje Mtoto wako anavaa milegezo na wewe mzazi upo. Huoni kuna pahala hujatimiza wajibu wako
 
Hatuwezi, tumeshindwa hata kuwaiga wanavyoziendesha Nchi zao kwa ufanisi, hata Falme zao zina tija kuliko zetu mfano Mfalme Mswati wa Swaziland anachoweza ni kuwakaza mabikira wa Kinguni na kubadilisha jina la Nchi kuwa la kiukoo.
 
Huko sahihi Mkuu, Ndugu yako yuko Dar na huu ni mwaka wa 10 kwake hakuna umeme na nguzo iko nyumba ya 6 mtu kama huyo hivi kweli mnaweza kuchangia mawazo ya kibiashara.
Shida nyingi za wa Tz ni Sisi wenyewe, yaani shida inaanzia kwenye familia zetu, mtu moja kulisha watu watano na zaidi na hao watu ni watu wazima sio watoto. Hivyo Ile Sera ya wenzetu wa ulaya ya kwamba MTU akifika miaka 18 na hayupo Shule au chuoni aanze kujitegemea ndio tutajenga nidhamu ya uzalishaji na kujitegemea. Lakini hili la kuona ni Haki yako kulishwa na Baba, Mama au Kaka na Dada zako au hata watoto wa ndugu ndio tuharibu, familia na Taifa Kwa jumla.
 
Wa Africa hasa wa bongo kutoboa nibahatisana wengi wanatoboa kwasababu ya wizi ama ufisadi wa malizauma sio kwa juhudi zao binafsi katika kazi halali.

Watu hawapendi kujituma wenyewe mpaka walazimishwe,na hawathamini muda, ukiwapangia majukumu na kuwapa target wanakuita kazikinoga [emoji38][emoji38], Sasa unajiuliza hawawatu wanataka kufanya kazi ya namnagani ambayo hauna malengo.



Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Ulichoongea mtoa mada ndiyo hicho kimenijenga hata sasa.
Mzee wangu wakati wa ujana kuanzia primary hadi secondary alinitumikisha sana kazi za shamba hadi ilifikia muda nikawa na mchukia lakini baada ya kuanza kujitegemea uzoefu nilioupata kwa mzee wangu umenisaidia sana
 
Ni lazima mzazi amjulishe mtoto nini anafanya na kwa nini anafanikiwa ububu hausaidii
Kuna wazazi wamejaribu unachokisema ila wameambulia majuto makuuu.

Kuna ndg yetu mzee wake ana pesa sanaa (alifeli la saba ila mzee kamfanyia mpango lyamungo sec(ni vipaji maalum enzi hizo) akidhani kijana atachota maarifa kwa kukutanishwa na manguli wa elimu) ila alifeli na aka kataa kuendelea na kitabu akadai anataka aanze biashara...

Akakubaliwa mzee wake n muuzaji wa matairi ya magari akamkonect na wahindi wamfunze jinsi ya kupata mzigo dubei at 18yrs old...akawa anaenda.

Madada ya mjini yanayojua kunusa hela yakamkwida akawa n mtu wa starehe huyo diamond akasome.

Mzee akamfukuza kwenye biashara zake akajitegemee akampa 200mil sasa nnavyoandika hapa ana watoto kama saba kila mtu na mama yake...anagombania mali za mzee wake as alikuja kufariki.

Wazeee wenye mali wako ila wakiona ivyo wanaumia sanaa wakikumbuka walivyojibana ila watoto hawajui.

Cha kufanya labda kuwe na system ya malezi kama ya kifalme kwa kijana mmoja ambae ndio atabeba jukumu la kuendeleza mali.
 
Sisi wa Africa pekee hatuwezi nakuapia, ukitaka family business labda kwanza uchanganye dam , katafute mcanada mmarekani au mjapani uko muoe akiwa bado binti then mpe map ya malengo na jinsi unayotaka ila ukioa mmatumbi mwenzetu, umejiroga kiasili sisi hayo mambo yatuyawezi vichwa vyetu vimejaa ugali wagumu kufata maelekezo.
 
Ili kuvunja poverty circle tuliyo nayo ni muda sasa kuanzisha na kuzingatia miradi au biashara za kifamilia.

Tujifunze kwa hawa ndugu zetu watu weupe.

Tusione ufahari mradi, kilimo au biashara kufahamiwa na mtu mmoja tu kwenye familia akifa yeye na yenyewe inakufa naye unabaki mgogoro wa mali kila mtu akitaka chake.

Dunia sasa inabadilika ni vyema nasi kubadilika wanafamilia na wazazi wasione sifa kuwa fichia white watoto wao na kuwafukuza ili wakabangaize hovyo kwenye umasikini kwa kuanza kwenye zero.

Ni muda sasa ujuzi kuanza kuamishiana tukiwa hai iwe ujuzi wa biashara, kilimo, kazi nyingine yoyote kutoka kwa baba/mama kwenda kwa mtoto naye anafanya hivyo kwa watoto wake nao wanafanya hivyo kwa watoto wao inakuwa muendelezo.

Kupambana sasa na umasikini inabidi tulinde hata kile kidogo tulicho nacho na kukikuza ili kiongezeke ukubwa.

Tusione mila na tamaduni za wahindi na waarabu kuhusu mali ni za hovyo bali tuzione ni bora kabisa kuigwa katika kuvunja umasikini unao tuzunguka.

Tuamke sasa.
Na siku hizi Wazazi tumekuwa wavivu,eti urithi wa Mtoto ni Elimu,Elimu sio Mali.Mo Dewji angepewa Elimu pekee bila Mali labda leo tungekuwa hata hatumjui.
 
Hatuwezi tumeshindwa, hata kuwaiga wanavyoendesha Nchi zao, kwa ufanisi hata Falme zao zina tija kuliko zetu mfano Mfalme wa Swaziland anachoweza ni kuwakaza mabikira wa Kinguni na kubadilisha jina la Nchi kuwa la kiukoo.
Haaaaaah balaah
 
Back
Top Bottom