Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
- #41
Wazazi ndio wanachangia yote haya. Malezi yetu mengi ni ya hovyo na useless lazima tuambizane ukweliMitoto ya watu weusi Mingi ni mijinga mijinga haijitambui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazazi ndio wanachangia yote haya. Malezi yetu mengi ni ya hovyo na useless lazima tuambizane ukweliMitoto ya watu weusi Mingi ni mijinga mijinga haijitambui
Tuanze na familia zetu wenyewe yaani damu zetu wenyeweHuko sahihi Mkuu, Ndugu yako yuko Dar na huu ni mwaka wa 10 kwake hakuna umeme na nguzo iko nyumba ya 6 mtu kama huyo hivi kweli mnaweza kuchangia mawazo ya kibiashara.
Tuanze na familia zetu wenyewe kwanzaunajaribu kuwekeza hao hao ndugu wanakuibia na kukuroga/kukuzindika pia.
ni shida
Changamoto sana. Anza na wanao wajengee msingi mpya wa fikra za kimaendeleo wewe ukiwa msimamizi wao ukiwa hai.Kuna akina sisi ambao ni wazazi wa wazazi wetu! Yani umezaliwa kwenye Lindi la umaskini umejikongoja kuweka mazingira sawa ya kuingiza kipato ila Kila ukijaribu kutuna kihela wanunue tofali zinapigwa juu kwa juu tena na baba mzazi wako.mpaka unajiuliza hivi huyu ni mzazi kweli au Mimi ndio mzazi! Kweli Africa tuna laana.
Si ajabu list hii watu wenye asili ya Asia ndio wameijaza
Umeandika pointi nyingi sana.Mkuu, hoja zako ni nzuri sae.
These families are tied to the government. They're lobbyists and tax frauds.
Umenyoosha maelezoMkuu, hoja zako ni nzuri sana lakini mimi ninaamini katika kubadili mitazamo ya watu.
Watoto wako wanapaswa kufanana na wewe, sidhani kama unaweza kuwa na watoto wanne na kati yao wote wakawa wajinga/vilaza na wakajaa ukurutu vichwani. Na tunaposema biashara ya familia nzima hatumaanishi familia nzima inakuwa katika uongozi, wengine wanakuwa waajiriwa tu katika huo mradi.
Ni kwasababu sisi waafrika hasa watanzania maana hawa ndio ninawajua zaidi ni wabinafsi sana ndio maana hata ukitaka kuanzisha wazo la mradi wa familia utapingwa sana na wale ambao ndio wenye uwezo mkubwa kwenye familia. Ni kwasababu tunaona sisi tumemaliza na hao ndugu maskini tutaendelea kuwatupia vihela pale watakapohitaji. Ila swali la msingi ni tutawasaidia hadi lini?
Nina rafiki ambaye kwenye familia yake(kwao) yeye pekee ndio mwenye pesa nyingi, ndugu zake wote ni njaa kali na mara kwa mara yeye ndio kimbilio. Sasa huwa namuuliza utawapa misaada midogo midogo ndugu zako hadi lini? Kwanini usianzishe biashara ambayo utaisimamia na ukawaajiri ndugu zako wasio na kazi humo na watoto wao, ukianguka leo watamkimbilia nani?
Kwahiyo ni kubadili mtazamo tu, hata hao wahindi kama akina MO sio wote kwenye familia wenye akili ya biashara, ndio maana MO ndio yupo mbele wengine huwasikii sana lakini huwezi kuwakuta na bahasha za kaki wakipeleka CV zako zikaguliwe.
Hoja yako ni nzuri mno , lakini wabongo wengi wanapenda kutukuzwa , yaani wengi wanataka wawe juu ili waabudiwe na ndugu zaoIli kuvunja poverty circle tuliyo nayo ni muda sasa kuanzisha na kuzingatia miradi au biashara za kifamilia.
Tujifunze kwa hawa ndugu zetu watu weupe.
Tusione ufahari mradi, kilimo au biashara kufahamiwa na mtu mmoja tu kwenye familia akifa yeye na yenyewe inakufa naye unabaki mgogoro wa mali kila mtu akitaka chake.
Dunia sasa inabadilika ni vyema nasi kubadilika wanafamilia na wazazi wasione sifa kuwa fichia white watoto wao na kuwafukuza ili wakabangaize hovyo kwenye umasikini kwa kuanza kwenye zero.
Ni muda sasa ujuzi kuanza kuamishiana tukiwa hai iwe ujuzi wa biashara, kilimo, kazi nyingine yoyote kutoka kwa baba/mama kwenda kwa mtoto naye anafanya hivyo kwa watoto wake nao wanafanya hivyo kwa watoto wao inakuwa muendelezo.
Kupambana sasa na umasikini inabidi tulinde hata kile kidogo tulicho nacho na kukikuza ili kiongezeke ukubwa.
Tusione mila na tamaduni za wahindi na waarabu kuhusu mali ni za hovyo bali tione ni bora kabisa kuigwa katika kuvunja umasikini unao tuzunguka.
Tuamke sasa.
Daddy, hiki kingereza ni cha kwako au NAOTA 🥺😲😲😲😲These families are tied to the government. They're lobbyists using tz as a tax haven.
I'm not buying all that 'generational wealth' and 'rags to riches' bullshit.
Wala SI elimu kubwa Bali Shamba/duka/garage kubwa la familia na kila mwanafamilia kuchangia iwe nguvu kazi au finance.Tuna hitaji elimu kubwa katika hili kuanzia chini kabisa. Hakiwezekani Watanzania wenzetu wa races hizo wanafanya vyema katika hili na kuvunja circle of poverty katika jamii yao Ila sisi hatutaki hiki kitu.
Sisi tuendelee kupeleka watoto chuo kikuu Ili waje waajiriwe na hao watoto waliofeli form 4.Kweli bila hivyo tuta endelea kuogelea kwenye umasikini na kuanza kuona wahindi, waarabu wachawi na wezi kumbe tatizo lina anzia kwetu wenyewe.
Hoja yako ni nzuri mno , lakini wabongo wengi wanapenda kutukuzwa , yaani wengi wanataka wawe juu ili waabudiwe na ndugu zao
Binafsi mimi najenga nyumba idadi ya watoto wangu ...Na labda nipate misukosuko ila naset mambo waishi kama peponi ...Naomba Mungu anipe ujuzi kipata zaidi.Muhimu watoto na familia kwa ujumla kuwajuza shughuli tunazo fanya A-Z.
Lazima tusafirishe ujuzi tukiwa hai, hii haipaswi kuwa hiari bali lazima tunapaswa kuvunja circle of poverty kwenye jamii yetu kwa nguvu kwa kupenda au hata kwa kutokupenda.
Tuna changamoto nyingi za kuzikabiliHoja yako ni nzuri mno , lakini wabongo wengi wanapenda kutukuzwa , yaani wengi wanataka wawe juu ili waabudiwe na ndugu zao
Yes lazima fikra zibadilike kwanza bila hivyo kazi bureHoja nzuri Sana Ila kumsaidia mwafrika anza na kumbadilisha mtazamo
SureWala SI elimu kubwa Bali Shamba/duka/garage kubwa la familia na kila mwanafamilia kuchangia iwe nguvu kazi au finance.