Ili kuwatuliza mashabiki wenye hasira kufungwa na Raja Casablanca FC jana nina uhakika hili kutokea muda wowote

Ili kuwatuliza mashabiki wenye hasira kufungwa na Raja Casablanca FC jana nina uhakika hili kutokea muda wowote

Ama kabla ya Mechi na Azam FC Keshokutwa Jumanne au baada Kocha Mkuu wa Simba SC atafungashiwa Virago ( atafukuzwa ) pamoja na baadhi ya Watendaji wa Benchi la Ufundi na Timu atapewa Kocha Msaidizi Juma Mgunda na Kocha wa Vijana sasa Selemani Matola atarejeshwa Kikosini kumsaidia Mgunda na hawa Watamalizia Msimu wote na Simba SC.

Na tena kama leo Yanga SC itamfunga TP Mazembe kwa Mkapa haya Maamuzi ya Kuachana na Kocha Mbrazili Robertinho Oliviera yatafanyika haraka ili Kuwatuliza Mashabiki wa Simba SC ambao watakuwa na Hasira za Kufungwa Goli 3 kwa 0 na Raja Casablanca FC jana na huku wakiwa Wanataniwa na Watani zao Yanga SC.

Ahueni ( pona pona ) ya Kocha Mkuu wa Simba SC na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa itatokea endapo tu na Yanga SC nao leo Watafungwa na TP Mazembe FC kwa Mkapa kwakuwa Wote watachekana na Presha haitokuwa Kubwa ila Yanga SC ikishinda leo na ikitokea na Jumanne Simba SC akafungwa au akatoka Sare / Suluhu na Azam FC katika Mechi yao ya NBC Premier League tegemeeni huu Utabiri wangu wa Kocha Mkuu wa Simba SC Mbrazili na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa na Mgunda na Matola Kukabidhiwa Timu mpaka mwisho wa Msimu.

Ukibarikiwa na Mwenyezi Mungu hasa kuwa Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person kama MINOCYCLINE ni raha sana.

Nilionya mapema kwa kuja na Uzi Wiki Mbili kabla ya Simba SC kucheza Jana na Raja Casablanca FC Jana kuwa Raja Casablanca FC wako juu ya Simba SC katika kila Idara na kwamba Simba SC itafungwa tu nikaishia Kupuuzwa, Kutukanwa na Kudhihakiwa na kama Kawaida nilichokisema Kikatokea kwa Mkapa Jana.

Na hata hili la Kocha Mkuu wa Simba SC na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa ama kabla ya Mechi na Azam FC Jumanne au baada nina uhakika kuwa linaenda kutokea na pona pona ya Kocha Mkuu wa Simba SC kutofukuzwa ni kama na Yanga SC nao leo Watafungwa na TP Mazembe FC kwa Mkapa na Jumanne Simba SC ikimfunga Azam FC katika NBC Premier League vinginevyo anaenda Kufukuzwa na Mgunda pamoja na Matola watakabidhiwa Timu hadi mwisho wa Msimu.
Mwendawazimu uliyebarikiwa kuwa na smart phone na kuanzisha nyuzi hapa jf.

Jana ulikesha uwanjani unaroga Simba asifungwe.Na wewe ndio mmoja wa watu uliowaaminisha mashabibiki wa Simba eti kwa mlichokifanya uwanjani Raja hawatoki!

Leo unaweweseka tu na tabiri za kipuuzi.
 
Narudia tena, (Witch doctor), Mgunda, hatamuacha Robertinho na Simba salama.
Labda wamtoe.
 
Ama kabla ya Mechi na Azam FC Keshokutwa Jumanne au baada Kocha Mkuu wa Simba SC atafungashiwa Virago ( atafukuzwa ) pamoja na baadhi ya Watendaji wa Benchi la Ufundi na Timu atapewa Kocha Msaidizi Juma Mgunda na Kocha wa Vijana sasa Selemani Matola atarejeshwa Kikosini kumsaidia Mgunda na hawa Watamalizia Msimu wote na Simba SC.

Na tena kama leo Yanga SC itamfunga TP Mazembe kwa Mkapa haya Maamuzi ya Kuachana na Kocha Mbrazili Robertinho Oliviera yatafanyika haraka ili Kuwatuliza Mashabiki wa Simba SC ambao watakuwa na Hasira za Kufungwa Goli 3 kwa 0 na Raja Casablanca FC jana na huku wakiwa Wanataniwa na Watani zao Yanga SC.

Ahueni ( pona pona ) ya Kocha Mkuu wa Simba SC na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa itatokea endapo tu na Yanga SC nao leo Watafungwa na TP Mazembe FC kwa Mkapa kwakuwa Wote watachekana na Presha haitokuwa Kubwa ila Yanga SC ikishinda leo na ikitokea na Jumanne Simba SC akafungwa au akatoka Sare / Suluhu na Azam FC katika Mechi yao ya NBC Premier League tegemeeni huu Utabiri wangu wa Kocha Mkuu wa Simba SC Mbrazili na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa na Mgunda na Matola Kukabidhiwa Timu mpaka mwisho wa Msimu.

Ukibarikiwa na Mwenyezi Mungu hasa kuwa Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person kama MINOCYCLINE ni raha sana.

Nilionya mapema kwa kuja na Uzi Wiki Mbili kabla ya Simba SC kucheza Jana na Raja Casablanca FC Jana kuwa Raja Casablanca FC wako juu ya Simba SC katika kila Idara na kwamba Simba SC itafungwa tu nikaishia Kupuuzwa, Kutukanwa na Kudhihakiwa na kama Kawaida nilichokisema Kikatokea kwa Mkapa Jana.

Na hata hili la Kocha Mkuu wa Simba SC na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa ama kabla ya Mechi na Azam FC Jumanne au baada nina uhakika kuwa linaenda kutokea na pona pona ya Kocha Mkuu wa Simba SC kutofukuzwa ni kama na Yanga SC nao leo Watafungwa na TP Mazembe FC kwa Mkapa na Jumanne Simba SC ikimfunga Azam FC katika NBC Premier League vinginevyo anaenda Kufukuzwa na Mgunda pamoja na Matola watakabidhiwa Timu hadi mwisho wa Msimu.

Ama kabla ya Mechi na Azam FC Keshokutwa Jumanne au baada Kocha Mkuu wa Simba SC atafungashiwa Virago ( atafukuzwa ) pamoja na baadhi ya Watendaji wa Benchi la Ufundi na Timu atapewa Kocha Msaidizi Juma Mgunda na Kocha wa Vijana sasa Selemani Matola atarejeshwa Kikosini kumsaidia Mgunda na hawa Watamalizia Msimu wote na Simba SC.

Na tena kama leo Yanga SC itamfunga TP Mazembe kwa Mkapa haya Maamuzi ya Kuachana na Kocha Mbrazili Robertinho Oliviera yatafanyika haraka ili Kuwatuliza Mashabiki wa Simba SC ambao watakuwa na Hasira za Kufungwa Goli 3 kwa 0 na Raja Casablanca FC jana na huku wakiwa Wanataniwa na Watani zao Yanga SC.

Ahueni ( pona pona ) ya Kocha Mkuu wa Simba SC na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa itatokea endapo tu na Yanga SC nao leo Watafungwa na TP Mazembe FC kwa Mkapa kwakuwa Wote watachekana na Presha haitokuwa Kubwa ila Yanga SC ikishinda leo na ikitokea na Jumanne Simba SC akafungwa au akatoka Sare / Suluhu na Azam FC katika Mechi yao ya NBC Premier League tegemeeni huu Utabiri wangu wa Kocha Mkuu wa Simba SC Mbrazili na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa na Mgunda na Matola Kukabidhiwa Timu mpaka mwisho wa Msimu.

Ukibarikiwa na Mwenyezi Mungu hasa kuwa Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person kama MINOCYCLINE ni raha sana.

Nilionya mapema kwa kuja na Uzi Wiki Mbili kabla ya Simba SC kucheza Jana na Raja Casablanca FC Jana kuwa Raja Casablanca FC wako juu ya Simba SC katika kila Idara na kwamba Simba SC itafungwa tu nikaishia Kupuuzwa, Kutukanwa na Kudhihakiwa na kama Kawaida nilichokisema Kikatokea kwa Mkapa Jana.

Na hata hili la Kocha Mkuu wa Simba SC na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa ama kabla ya Mechi na Azam FC Jumanne au baada nina uhakika kuwa linaenda kutokea na pona pona ya Kocha Mkuu wa Simba SC kutofukuzwa ni kama na Yanga SC nao leo Watafungwa na TP Mazembe FC kwa Mkapa na Jumanne Simba SC ikimfunga Azam FC katika NBC Premier League vinginevyo anaenda Kufukuzwa na Mgunda pamoja na Matola watakabidhiwa Timu hadi mwisho wa Msimu.
Mtamlsumu kocha wenu bure wakati washambuliaji wenu wote wazee na haya ni mashindano makubwa. Sasa ulitegemea wazee Kama Bocco, Chama, Saido wafanye nini? Ongeza Baba Esther, Hussein, Mzamiru, Onyango, Sawadodo.
 
Bora utulie tu, sitegemei Simba Sc wamfukuze kocha mkuu kisa tumefungwa na timu iliyotuzidi uwezo kila idara, huo ndio uwanja wa kujifunza, tumeyaona mapungufu yetu kilichobaki tuyafanyie kazi.

Hili kundi kwangu naona bado Simba Sc ana nafasi, kwasababu timu tatu zilizobaki zina uwezo wa kufanana na Simba Sc, hazina ubora kama wa Raja, ni Simba tu wajipange wazicheze karata zao vizuri kwa game zilizobaki.

Simba SC waanzie na Vipers away, hakuna lisilowezekana, na kama ikitokea Raja akashinda nyumbani kwa Horoya, then Simba akija kumfunga Horoya zaidi ya goli mbili nyumbani, mambo yatapendeza tu..
Horoya sio wajinga kama nyie
 
Usiwaze kuwa Yanga atafungwa Leo,, Yanga kwa kikosi kile sio Timu ya kufungwa Nyumbani tena BAO kama hizo za Makolo. Sahau mkuu, Kwa ushindi wowote Leo Yanga twapenya
Kikosi cha mazembe unakijua?
 
Bora utulie tu, sitegemei Simba Sc wamfukuze kocha mkuu kisa tumefungwa na timu iliyotuzidi uwezo kila idara, huo ndio uwanja wa kujifunza, tumeyaona mapungufu yetu kilichobaki tuyafanyie kazi.

Hili kundi kwangu naona bado Simba Sc ana nafasi, kwasababu timu tatu zilizobaki zina uwezo wa kufanana na Simba Sc, hazina ubora kama wa Raja, ni Simba tu wajipange wazicheze karata zao vizuri kwa game zilizobaki.

Simba SC waanzie na Vipers away, hakuna lisilowezekana, na kama ikitokea Raja akashinda nyumbani kwa Horoya, then Simba akija kumfunga Horoya zaidi ya goli mbili nyumbani, mambo yatapendeza tu..
Team tatu zipoje izo ukimtoa Raja?
 
Mkuu coaching nmeona Iko sawa.
Na mumsgukuru sana robertinho anajua kuzuia golinyingi zisiwanyeshee.

Hapo me sikuona ubaya wa coacher.
 
Vipi ule uzi wako wa laja kuingia mtegoni mwa Simba😅, vipi ule uzi wako wa Alphard nyeus ya Yanga😅.... Leo umehamia kwa kocha tena... Timu ni timu mbovu Sana.
 
Usiwaze kuwa Yanga atafungwa Leo,, Yanga kwa kikosi kile sio Timu ya kufungwa Nyumbani tena BAO kama hizo za Makolo. Sahau mkuu, Kwa ushindi wowote Leo Yanga twapenya
Shida inaanzia kujinasibu Sana ,baadae mnakimbiaga nyuzi.
Mpira hauko hivo ndugu ,Jana as Vita kakalishwa nyumbani kwake.
Wewe ombea tu mshinde Ila kuweka uhakika kuwa yanga hawez kufungwa nyumbani nadhan unajitakia pressure za bure tu.mpira una matokea ya kikatili Sana ,tupunguze kujiamin Sana ,timu zetu hazina uwezo Kama tunavyoaaminishwa na mitandao ya kijamii .
Mpira wa bongo ni maneno tu Ila uhalisia haupo Ivo.
 
Ama kabla ya Mechi na Azam FC Keshokutwa Jumanne au baada Kocha Mkuu wa Simba SC atafungashiwa Virago ( atafukuzwa ) pamoja na baadhi ya Watendaji wa Benchi la Ufundi na Timu atapewa Kocha Msaidizi Juma Mgunda na Kocha wa Vijana sasa Selemani Matola atarejeshwa Kikosini kumsaidia Mgunda na hawa Watamalizia Msimu wote na Simba SC.

Na tena kama leo Yanga SC itamfunga TP Mazembe kwa Mkapa haya Maamuzi ya Kuachana na Kocha Mbrazili Robertinho Oliviera yatafanyika haraka ili Kuwatuliza Mashabiki wa Simba SC ambao watakuwa na Hasira za Kufungwa Goli 3 kwa 0 na Raja Casablanca FC jana na huku wakiwa Wanataniwa na Watani zao Yanga SC.

Ahueni ( pona pona ) ya Kocha Mkuu wa Simba SC na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa itatokea endapo tu na Yanga SC nao leo Watafungwa na TP Mazembe FC kwa Mkapa kwakuwa Wote watachekana na Presha haitokuwa Kubwa ila Yanga SC ikishinda leo na ikitokea na Jumanne Simba SC akafungwa au akatoka Sare / Suluhu na Azam FC katika Mechi yao ya NBC Premier League tegemeeni huu Utabiri wangu wa Kocha Mkuu wa Simba SC Mbrazili na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa na Mgunda na Matola Kukabidhiwa Timu mpaka mwisho wa Msimu.

Ukibarikiwa na Mwenyezi Mungu hasa kuwa Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person kama MINOCYCLINE ni raha sana.

Nilionya mapema kwa kuja na Uzi Wiki Mbili kabla ya Simba SC kucheza Jana na Raja Casablanca FC Jana kuwa Raja Casablanca FC wako juu ya Simba SC katika kila Idara na kwamba Simba SC itafungwa tu nikaishia Kupuuzwa, Kutukanwa na Kudhihakiwa na kama Kawaida nilichokisema Kikatokea kwa Mkapa Jana.

Na hata hili la Kocha Mkuu wa Simba SC na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa ama kabla ya Mechi na Azam FC Jumanne au baada nina uhakika kuwa linaenda kutokea na pona pona ya Kocha Mkuu wa Simba SC kutofukuzwa ni kama na Yanga SC nao leo Watafungwa na TP Mazembe FC kwa Mkapa na Jumanne Simba SC ikimfunga Azam FC katika NBC Premier League vinginevyo anaenda Kufukuzwa na Mgunda pamoja na Matola watakabidhiwa Timu hadi mwisho wa Msimu.
Umeandika kanakwamba unakimbizwa hivyo Au unamihemko Sana Au jazba Fulani kiasi hujeleweki KBS japo ulichoandika ni bonge la hoja

Tukiacha hayo ukweli kocha huyo wa simba simwelewi kuanzia kuongea kwake hadi anachofundisha
 
Ama kabla ya Mechi na Azam FC Keshokutwa Jumanne au baada Kocha Mkuu wa Simba SC atafungashiwa Virago ( atafukuzwa ) pamoja na baadhi ya Watendaji wa Benchi la Ufundi na Timu atapewa Kocha Msaidizi Juma Mgunda na Kocha wa Vijana sasa Selemani Matola atarejeshwa Kikosini kumsaidia Mgunda na hawa Watamalizia Msimu wote na Simba SC.

Na tena kama leo Yanga SC itamfunga TP Mazembe kwa Mkapa haya Maamuzi ya Kuachana na Kocha Mbrazili Robertinho Oliviera yatafanyika haraka ili Kuwatuliza Mashabiki wa Simba SC ambao watakuwa na Hasira za Kufungwa Goli 3 kwa 0 na Raja Casablanca FC jana na huku wakiwa Wanataniwa na Watani zao Yanga SC.

Ahueni ( pona pona ) ya Kocha Mkuu wa Simba SC na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa itatokea endapo tu na Yanga SC nao leo Watafungwa na TP Mazembe FC kwa Mkapa kwakuwa Wote watachekana na Presha haitokuwa Kubwa ila Yanga SC ikishinda leo na ikitokea na Jumanne Simba SC akafungwa au akatoka Sare / Suluhu na Azam FC katika Mechi yao ya NBC Premier League tegemeeni huu Utabiri wangu wa Kocha Mkuu wa Simba SC Mbrazili na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa na Mgunda na Matola Kukabidhiwa Timu mpaka mwisho wa Msimu.

Ukibarikiwa na Mwenyezi Mungu hasa kuwa Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person kama MINOCYCLINE ni raha sana.

Nilionya mapema kwa kuja na Uzi Wiki Mbili kabla ya Simba SC kucheza Jana na Raja Casablanca FC Jana kuwa Raja Casablanca FC wako juu ya Simba SC katika kila Idara na kwamba Simba SC itafungwa tu nikaishia Kupuuzwa, Kutukanwa na Kudhihakiwa na kama Kawaida nilichokisema Kikatokea kwa Mkapa Jana.

Na hata hili la Kocha Mkuu wa Simba SC na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa ama kabla ya Mechi na Azam FC Jumanne au baada nina uhakika kuwa linaenda kutokea na pona pona ya Kocha Mkuu wa Simba SC kutofukuzwa ni kama na Yanga SC nao leo Watafungwa na TP Mazembe FC kwa Mkapa na Jumanne Simba SC ikimfunga Azam FC katika NBC Premier League vinginevyo anaenda Kufukuzwa na Mgunda pamoja na Matola watakabidhiwa Timu hadi mwisho wa Msimu.
.
Screenshot_20230219-143658_Instagram%20Lite.jpg
 
Back
Top Bottom