Ili nipate uteuzi ni lazima kuwa kada wa CCM au niwe Chawa wa Mama?

Naomba ufafanuzi hapo kwa mapadre tu. Hao watu kwani wana uhusiano na serikali ya mama
 
Huo ujinga aliuleta mpumafu Mmoja Magufuli. . huwezi teua from nowhere paaaa ... Mkurugenzi hata file movement hajui... Paaa DC ... Hata Decentralization Act (Sheria ya Ugatuaji wa Madaraka) inakataaa akajiwahi ...walipohoji ... Mara Vuuuu akaivuta TAMISEMI (TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ambayo inatakiwa kikatiba na kisheria kusimamiwa na Waziri Mkuu) akaivuta kwake paaaaap... Asihojiwe ..na huyu mama naye kaingie mkenge mnamsifu tu ... Waziri Mkuu Kwa sasa ni Ceremonial Figure tu hana mamlaka yeyote .... Ni kidole pistol ...
 
Huu uzi utamuumiza sana yule member anaitwa Lucas Mwa-farm!
Maana alijua chawa pro max na promo kibao majukwaani lakn kapigwa kata funua kwenye teuzi sasa hv hata keyboard haijui.
Tumtegemee siku chache zijazo abadili ID af aanze kuiponda sirikali
 
Hata mimi sijui, lakn mdogo wangu alipata uteuz ngaz ya kata kwa kupendekezwa na paroko kwa RAS kwenye gambe.

dogo anapga noti tu, hata hajui kuna mishahara.
 
Hata mimi sijui, lakn mdogo wangu alipata uteuz ngaz ya kata kwa kupendekezwa na paroko kwa RAS kwenye gambe.

dogo anapga noti tu, hata hajui kuna mishahara.

Uteuzi Gani huo wa level ya kata una mkwanja hivyo?

#YNWA
 
Kwani mkuu hukuona teuzi za ma DED kuna vitoto vidogo vikada vikipewa uDED wakati eneo hilo hilo kuna wakongwe kama wewe mnao jua halmashauri nje ndani?
 
Wengi wao ni vipenyo japo sio wote
Baadhi yao sio wengi wao. Na sehemu nzuri sana ya kufanya recruitment ya hawa ni seminari, mtu aliyetoka seminari ni jasusi mzuri kiasilia
 
kama unafanya kazi halmashauri hakikisha unakua mkuu wa idara, hapo ndio utaanza kuisogelea mbingu. otherwise kuwa mvumilivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…