Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Lala hupo mpuuzi weweMwanakulitafuta mwanakulipata... ukijamba mi nakunyea mazima....eti ngono... Kwahiyo Hata Suleiman alikufa masikini kwa kuendekeza ngono muda wote sio!!! πππ Unamzani wa utajiri na umasikini nn! Ujinga Ni mzigo.
Nimbwindo Mimi sitafuniwi natafuna mwenyewe ...ahsante kwa taarifa ingawaje sijafu gua nisomeπππ ila unajua kinachoendelea kwenye hiyo Hifadhi ya jiwe!Lombo mpenda kutafuniwa, utatafunwa sana makalio yako.
Haya basi, chukua hiyo;
Kwa taarifa tu, Hifadhi ya Wanyama kwa kizungu huitwa Wildlife Sanctuary, usijesema na hii ni zoo.
Man made Wildlife Sanctuary in India
audi Mchambuzi said:
Hapo inatakiwa wananchi waanike dagaa full stop
Hatuna haja ya kugombana kwa kuwa sisi binadamu tulipewa akili na utashi na ile ni mali isiyohamishika mbona kuna mengi ya kufanyika endapo tutakuwa na mtizamo chanya kuhusiana na uwanja huo tena kwa faida kubwa tu kwa nchi cha msingi tuachane na mitizamo hasi tupambane kuupa kazi uwanja huo.Ndio kinachoenda kutokea ni suala la
Mkuu kwa MATAGA Kama wewe tutakesha najua Ulisajili Akaunt Jamii Forum Alhamis tarehe 18/03/2021 kwa kazi Maalum kumtetea maiti!
Endelea ...ila ukweli ndio huo ..Katiba yetu kweli Ina kasoro na Ukipata Amiri Jeshi Juha ...mtaumia ...!
Tumeshajifunza.... Mimi na Wewe tuungane kuleta KATIBA MPYA ILI KUEPUKA KUJA KUTAWALIWA NA IBILISI TENA!
Na Mungu Bila Shaka yupo nasi!
Wazo zuri ...Mambo menhine ya kujitakia ahaaπ°π°π°Hatuna haja ya kugombana kwa kuwa sisi binadamu tulipewa akili na utashi na ile ni mali isiyohamishika mbona kuna mengi ya kufanyika endapo tutakuwa na mtizamo chanya kuhusiana na uwanja huo tena kwa faida kubwa tu kwa nchi cha msingi tuachane na mitizamo hasi tupambane kuupa kazi uwanja huo.
Burigi π π€£ π pia ilitangazwa kama kitovu cha utaliiUpate hasara mara ngapi? Si tuliambiwa Chato ni hub ya kanda ya ziwa au masikio yangu yalikuwa mabovu?
Mradi pekeee wenye manufaa aliofanya jiwe ni SGR ZINGINE zote na hasara na ujinga mtu ikiwepo salenda Bridge waste of money labda ziwe meli za ziwe Victoria inawezekana ikaza za faidawe jamaa ni mpumbavu sana. yaani unasapoti Magufuli kwenda kujenga kiwanja cha ndege kwa mabilioni ya wavuja jasho huko porini? sasa zinarudije hizo hela zetu kwa uwekezaji huo wa kipuuzi? si angejenga air strip tu kama zilizopo sehemu mbalimbali nchini ingetosha? common sense tu inakataa kufanya hivyo hata kama alikuwa na mamlaka ya kujenga chochote kwa fedha za umma.
umeshawahi kumsikia mtu anamkosoa magufuli kwa ujenzi wa reli ya SGR? au kazi za tarura huko vijiji? hujiulizi kwa nini? Tumia akili basi kuandika vitu vya maana humu.
Nafikir huelewi maana ya faida na hasara.Sioni kama ni hasara kwa uwanja wa ndege kujengwa Chato. Kama ulivyoandika unaweza kutumiwa na jeshi kwa muda huu lakini kwa mipango ya miaka mingi ijayo wakati uwanja ule wa Mwanza ukiwa na shughuli nyingi ule wa Chato utakuwa ni uwanja msaidizi.
Tatizo letu watanzania ni kuendekeza siasa kwenye kila kitu. Kaskazini vipo viwanja vya ndege vingi na vinaigharimu pesa nyingi serikali katika kuvitunza lakini ule wa Chato unatazamwa kwa nongwa za ukabila!!.
Umeweka hoja ya uwanja mbadala kuwepo kwa sababu za kiulinzi, wenye akili zilizotulia watakuwa wamekuelewa.
Safi sana...Hivi hawa makamanda wamerogwa, mbona wanaongea maajabu? Chuki ya Magufuli na ubibafsi wenu unawatokea objectivity mnasahau yaliyopo.
Viwanja vyote vya ndege duniani viko vijijini, hutavikuta maghorofani. Kule CHADEMA kwa kina Mbowe kuna international airports 4 karibukaribu - kuna KIA kilometa 45 kutoka Arusha Airport na kilometa 17 kutoka Moshi Airport. Ukienda kilometa 200 tu kuna International airports mbili Nairobi wajatu nearest airports Chato ni Bukoba kilometa 120, Mwanza kilometa 287, Entebbe 500, Lubumbashi 400.
Na airports zote dunia nzina ni za kijeshi; zikihitajika zinakuwa chinu ya kamandi ya jeshi. Hiyo ni sababu ingine kubwa kuwa jeshi lina access na hiyo sehemu nyeti na kubwa ya nchi yetu mpakani na nchi zisizotabirika,
Kuhusu wanyama kuhamishwa hili nalo si la ajabu, Zoo zote duniani zina wanyama wa kuletwa. Hifadhi maarufu ya Serengeti ina mbwamwitu kutoka Mkomazi, na Mkomazi wana faru kutoka Ngorongoro, Czechoslavakia na Kruger huku Saanane National Park wana manyani kutoka Kigoma na mbuni kutoka Seronera.
Uwanja autolee wapi ?? Labda bahariniHivi mataga Rais SSH akianzisha mchakato wa kujenga international airport na miradi mingine ya kimkakati Kijijini kwao mtaambia nini watu??
watuwachie wenyewe tunarushia nyungo na kufanya mikutano ya kimataifaZinatua kunguru na njiwa tu
Hongera kwa kumhisi adui mtarajiwaTukumbuke lake zone ndio ukanda ulio zungukwa na nchi nyingi kuliko ukanda mwingine wowote ule na mkumbuke jirani au rafiki yako wa leo ndio adui yako wa kesho.
Kwa sasa uwanja wa ndege wa mwanza unatumika kwa madhumuni yote mawili lakini kwa asilimia ndogo za kijeshi na unatambulika kuwa uwanja wa kiraia, kwa Chato iwe tofauti utumike kwa asilimia nyingi kijeshi na chache kiraia, hata kama utajulikana kama uwanja wa kijeshi chato poa tu. Msipoteze muda mpeni mabeyo hicho kiwanja kina mfaa.
Ndiyo maana ya hubBurigi π π€£ π pia ilitangazwa kama kitovu cha utalii
Nasikia wanyama wote wamekufa ila wale tausi wa wizi wamezaana sanaNdiyo maana ya hub