- Thread starter
- #21
Watanzania tunaoona mbali tunasema akae miaka 20 ili aweke misingi ya nchi ikiwa vizuriHakika..
Amebakiza miaka 2 tuu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania tunaoona mbali tunasema akae miaka 20 ili aweke misingi ya nchi ikiwa vizuriHakika..
Amebakiza miaka 2 tuu....
Marekani na Tanzania ni mazingira tofauti.Mbona taifa kubwa la marekan rais anachaguliwa kila baada ya miaka minne,na aruhusiwi kukaa zaid ya miaka 8. Vp tukifananisha uchumi wao na gambia,uganda au zimbabwe ambapo marais wamekaa miaka zaid ya 30?
Kama ndo hivo tungeshamwongezeaga jk mbonalazima muda uongezwe ili tupige hatua za kimaendeleo.
Natamani ungekuwa karibu nikutandike risasi ya kichwaHapa leo tuelewane , Maana hata kwenye kupinga hua tunakua pamoja.
Tunahitaji Rais Akae Miaka 20 ili tuweze kupiga hatua ya kweli.
Miradi yenyewe ni kumalizia miundomsingi na miundombinu yote kama reli ya kisasa SGR, Miradi mikubwa ya Bara Bara inayoendelea nchi nzima, Bwawa hilo kubwa la kuzalisha umeme.
Akikaa na Akatulia Akamaliza kila kitu Alichoanzisha Basi nchi itakua imefika mbali na tutaziacha nchi nyingi za Afrika kimaendeleo.
Wasi Wasi wangu akiingia Rais mwingine ataharibu trend ya Miradi na tutajikuta kila alichoanzisha Rais Magufuli kinasimama na tutaishia hapo hivo tumuunge mkono akae Miaka hiyo 20 ili amalize kila kitu ndio astafu hapo itakua safi tu.
Mi natamani hata leo ang'atuke...Hapa leo tuelewane , Maana hata kwenye kupinga hua tunakua pamoja.
Tunahitaji Rais Akae Miaka 20 ili tuweze kupiga hatua ya kweli.
ndio tunatakiwa kumwongezea Rais Magufuli ili akamilushe mambo yake yote aliyoyaanzisha.Kama ndo hivo tungeshamwongezeaga jk mbona
kosa langu hasa ni lipi?Natamani ungekuwa karibu nikutandike risasi ya kichwa
Umbali gani anaoona mtanzania??? Hapo kinyume chake ni kweli...Watanzania tunaoona mbali tunasema akae miaka 20 ili aweke misingi ya nchi ikiwa vizuri
Anatakiwa Akae miaka 20 ili amalizie miradi yote aliyoanzisha.Mi natamani hata leo ang'atuke...
Rais Akubali sisi Watanzania tutaomba aongezewe miaka 20 ili tupae kiuchumi.Umbali gani anaoona mtanzania??? Hapo kinyume chake ni kweli...
Una takwimu inayoonesha kukua kiuchumi mkuu??Rais Akubali sisi Watanzania tutaomba aongezewe miaka 20 ili tupae kiuchumi.
ndio ni 7.3 haijawahi kutokea toka tupate uhuru.Una takwimu inayoonesha kukua kiuchumi mkuu??
Kama amekutuma kamwambie hujatukuta....Anatakiwa Akae miaka 20 ili amalizie miradi yote aliyoanzisha.
Watanzania wote tunataka aongoze miaka 20 ili amalizie miradi yake yote aliyoanzisha. wewe haujalijua hili tu.Kama amekutuma kamwambie hujatukuta....
Labda aongezewe aje aongoze familia yako,lazima muda uongezwe ili tupige hatua za kimaendeleo.
Umeambiwa hiyo si ndio?? Au unaona kwa vitendo?ndio ni 7.3 haijawahi kutokea toka tupate uhuru.
Watanzania wote tunataka Rais Amalizie miradi yake yote aliyoianzisha ni lazima akae miaka 20Mwenyewe anakiri kazi ya urais Ni ngumu ..sasa wewe Ni nani unayetaka tumuongezee hiyo miaka
ili amalizie miradi yake yote aliyoanzisha aongoze miaka 20Labda aongezewe aje aongoze familia yako,
takwimu ziko wazi mkuu au haufuatilii?Umeambiwa hiyo si ndio?? Au unaona kwa vitendo?